JituMirabaMinne
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 3,381
- 9,744
Kinyume cha hapo hakuna rangi utaacha kuona.
Hizi ndio zile Mercedes Benz zinauzwa 2m unahisi km umeangukia dodo. 😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
siku hizi mnacheck matatizo ya gari kwa njia ya simu?View attachment 2112968
View attachment 2112970
Kinyume cha hapo hakuna rangi utaacha kuona.
Hizi ndio zile Mercedes Benz zinauzwa 2m unahisi km umeangukia dodo. 😂😂😂
siku hizi mnacheck matatizo ya gari kwa njia ya simu?
Kuna watu wabishi..hawezi uza mpka siku gani iache kutembea.
#MaendeleoHayanaChama
Still Ni dodo maana majina issue hapo Ni engine and you can cheaply order yenye Hali nzuri!View attachment 2112968
View attachment 2112970
Kinyume cha hapo hakuna rangi utaacha kuona.
Hizi ndio zile Mercedes Benz zinauzwa 2m unahisi km umeangukia dodo. 😂😂😂
Hawaja kusikia ongea sautiMods naomba mnibadilishie title isomeke hivi, "Gari yako ikifikia hatua hii hakuna rangi utaacha kuona".
Ungeweza kuandika hizo terminology kwa Kiswahili au kutudadavulia kwa lugha nyepesi ingekuwa na msaada mkubwa Sana kwetu tofauti na hicho ulichotubandikiaView attachment 2112968
View attachment 2112970
Kinyume cha hapo hakuna rangi utaacha kuona.
Hizi ndio zile Mercedes Benz zinauzwa 2m unahisi km umeangukia dodo. 😂😂😂
Still Ni dodo maana majina issue hapo Ni engine and you can cheaply order yenye Hali nzuri!
Huwezi Kuwa mjanja wa kila kitu, Gari Ni body always, the engine can be recovered
Hawaja kusikia ongea sauti
Ungeweza kuandika hizo terminology kwa Kiswahili au kutudadavulia kwa lugha nyepesi ingekuwa na msaada mkubwa Sana kwetu tofauti na hicho ulichotubandikia
Eti eh... Hiyo gari ni ya 98 hapo matatizo mengi ni short circuit za wire.
Utanunua engine mpya bado utalia kilio kikuu.
Yanini kuharibu uzi wa watu. Acha watu wajifunzeWewe umeongelea a general issue Na sio hiyo Gari, plus, we Fala kuna watu wanajua Magari kuliko wewe!
Swali langu ni kwa namna gani hizi diagnosis machines zipo reliable?Brand au chochote tu kinaaminika?Havichakachuliwi?View attachment 2112968
View attachment 2112970
Kinyume cha hapo hakuna rangi utaacha kuona.
Hizi ndio zile Mercedes Benz zinauzwa 2m unahisi km umeangukia dodo. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe umeongelea a general issue Na sio hiyo Gari, plus, we Fala kuna watu wanajua Magari kuliko wewe!
Kama body lipo vzr still ni dodo. Kuna watu watundu sana. Utaikuta mtaani ina engine ya toyota.
General issue gani ambayo nimeongea?
Hiyo gari nimepima mimi au unahisi hizo picha nimeokota?
Hakuna mahali me nimeandika najua magari kuliko mtu yoyote. Sijui we umetoa wapi hayo maneno?
We uliongelea kuhusu kununua engine nyingine ila mimi nikakuambia vitu vingi hapo ni short circuit na open circuit. Kwa gari hizo za ulaya uwezekano mkubwa ni kuchoka wiring.
Engine tu ina faults 13 we unajua ni vitu gani?