lunatoc
JF-Expert Member
- Aug 16, 2017
- 2,911
- 5,479
Stress Ni mbaya mkuu [emoji3]Wewe umeongelea a general issue Na sio hiyo Gari, plus, we Fala kuna watu wanajua Magari kuliko wewe!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Stress Ni mbaya mkuu [emoji3]Wewe umeongelea a general issue Na sio hiyo Gari, plus, we Fala kuna watu wanajua Magari kuliko wewe!
Swali langu ni kwa namna gani hizi diagnosis machines zipo reliable?Brand au chochote tu kinaaminika?Havichakachuliwi?..
Nimeuliza hivyo nikivifananisha na vile vimachine vya kupimia magonjwa kwenye kwenye kliniki nyingi za mitaani.Ukitoka hapo una magonjwa kama hamsa mia.
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Acha ushamba na usela m*vi.Wewe umeongelea a general issue Na sio hiyo Gari, plus, we Fala kuna watu wanajua Magari kuliko wewe!
Acha ushamba na usela m*vi.
Kama hujui kitu ni Bora ukae kimya tu
Natamani kua mtaalamu kama wewe.Siyo tu kucheck matatizo ya magari kwa simu.
Mpaka kufanya programming kwenye magari kama una uelewa na computer language zilizotumika kwenye magari unaweza kufanya kwa simu.
Audi Q7 menu ya ECU yake. Namba 11 ni coding.
View attachment 2113014
True.Siwezi kukubishia mkuu. Ila kifupi tu gari ina matengenezo mengi.
Atafute wire harness ya hiyo gari..!Eti eh... Hiyo gari ni ya 98 hapo matatizo mengi ni short circuit za wire.
Utanunua engine mpya bado utalia kilio kikuu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]mtaalam kutokana na hizo faults hapo hebu tuambie Ni genuine spare gani zinahitajika hapo Mkuu.
Siyo kidogo....Hiiiiii.. mayooo 🙄🙄🙄.. atatoboa akiwa kachoka sana
Atafute wire harness ya hiyo gari..!
Gari za diesel zipo complicated kuliko petrol.. mie gari za diesel hapana asieee.. hiyo benz pia itakuwa imetoka singapore tu 😂😂😂😂.. aliweke vizuri kidogo ahonge pisi ya maana taoanekana wa maana.. na kula mema vizurii tu kuliko kulichabanga kama chuma chakavuSiyo kidogo....
Mzee wa Benz hazina magonjwa umeona kitu hicho?😂😂
Halafu engine Diesel
Afu mim huwa roho inanisuta kumuuzia mtu kitu kibovu,yaan siwez,labda mtu mwenyew alazimisheitabidi kadi ya gari akaifungie TRA uko yaani gari isionekane barabarani tena, maana kuna watu kwa kuwauzia wenzao vitu vibovu hawajambo...
Gari za diesel zipo complicated kuliko petrol.. mie gari za diesel hapana asieee.. hiyo benz pia itakuwa imetoka singapore tu 😂😂😂😂.. aliweke vizuri kidogo ahonge pisi ya maana taoanekana wa maana.. na kula mema vizurii tu kuliko kulichabanga kama chuma chakavu
Mna share matatizo kiroho safiiAfu mim huwa roho inanisuta kumuuzia mtu kitu kibovu,yaan siwez,labda mtu mwenyew alazimishe
kwa sisi tusiojua magari
Mimi nataka kigari cha kuanzia maisha ambacho ni ecodomy, kina space ya wastan sio ndogo sana , spare zake zinapatikana kirahisi na bei nafuu
Bei kuanzia 10m kushuka chini naomba msaada wenu