Gari yako ikifikia hatua hii kauze tu kwawanaokata magari

Gari yako ikifikia hatua hii kauze tu kwawanaokata magari

kwa sisi tusiojua magari

Mimi nataka kigari cha kuanzia maisha ambacho ni ecodomy, kina space ya wastan sio ndogo sana , spare zake zinapatikana kirahisi na bei nafuu

Bei kuanzia 10m kushuka chini naomba msaada wenu
Mkuu hakuna gari la kuanzia maisha...gari ni gari tu lazima pesa ikutoke kulihudumia...hapo utaambiwa utafute vitz au IST au carina
 
General issue gani ambayo nimeongea?

Hiyo gari nimepima mimi au unahisi hizo picha nimeokota?

Hakuna mahali me nimeandika najua magari kuliko mtu yoyote. Sijui we umetoa wapi hayo maneno?

We uliongelea kuhusu kununua engine nyingine ila mimi nikakuambia vitu vingi hapo ni short circuit na open circuit. Kwa gari hizo za ulaya uwezekano mkubwa ni kuchoka wiring.

Engine tu ina faults 13 we unajua ni vitu gani?
Mkuu wiring harness nadhani zinauzwa kwaio engine yenyewe ipo fresh lakini ni hayo maswala ya wiring yananunulika...kuna sehemu niliwahi kuona watu wananunua wiring (Internal Combustion Engine), ECU, control panel ya caterpillar...
 
Labda nikurahisishie hivi,

Unapoweka mashine ya diagnosis yenyewe inachofanya ni kusoma taarifa za matatizo ambazo zimehifadhiwa kwenye mfumo wa computer wa gari. Hivo tu.

Hivyo ukiona mashine imekuletea fault jua hiyo fault ilihifadhiwa mahali ndio wewe umeweza kuiona.

Sijui umenielewa?
Mkuu,labda hujanielewa..
Nachouliza,hivi vimachine vipo ambavyo ni feki?.. visivyo na ubora?
Au kimashine chochote cha mfumo huo ni sawa tu..
Ndio nikataka kujua kama kuna reliable manufacturer(brand isiyo na shaka) ..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 

Kinyume cha hapo hakuna rangi utaacha kuona.

Hizi ndio zile Mercedes Benz zinauzwa 2m unahisi km umeangukia dodo. 😂😂😂
HaaahaaaHaaahaaa. Huwa nakutana na mercedes benz e class na audi a4 zina hali mbaya balaa cjui kwann. Unascan codes lkn majibu yanaogopesha, ila kama una roho ngumu unalitengeneza.

Kuna audi nlikaa nayo miezi kumi kumbe shida ipo kwenye CAN. Nikiscan naona control modules zote zinafail kumbe sabb hazipokei right messages. Hapo kwenye picha hizo codes za control modules ukikagua CAN lines nadhan unaweza tatua baadhi ya matatizo. Gari za europe zikipata ttzo kwenye CAN lines utaona maajabu ajabu sana na nyingi huwa haziwaki. Kwa case yangu kumbe kuna junction inayounganisha CAN lines za Instrument cluster, ABS na ECM ilikua imegeuzwa baada ya mafundi mechanic kubadili engine. That was 10 months job kumbe soln ni kugeuza connector.

Ufundi umeme wa magar inabidi uwe na roho ya paka.... coz matatizo huwa ni madogo sn ila kuyalocate ndio shida
 
Hizo faults zinaonekana nyingi kwa sababu diagnosis inakuambia alternative issues lakini ukipata workshop ya Benz na kuanza kupitia kila part inarekebishika..Kubadili engine ni last option.

Faults nyingi ni mfumo wa umeme ila ECM na transmission inaweza kuwa kipengele.Pia huyo mmiliki wa hii chuma alikuwa anaitreat hii Benz kama Spacio..
Japo benz kukuta imekufa control huwa ngumu sana. Anyway ukipata dealership software kama xentry inaweza rahisisha kazi
 
Still Ni dodo maana majina issue hapo Ni engine and you can cheaply order yenye Hali nzuri!

Huwezi Kuwa mjanja wa kila kitu, Gari Ni body always, the engine can be recovered
Daah kuna comment zinatia aibu hata kusoma.

Unaona control modules zimefail af unakimbilia kubadili engine kweli? Basi na hapo inabidi ubadili transmission sasa coz naona code ya TCM. Kubadili engine labda ukute codes zinazoonesha persistent overheating au misfire japo na hizo ukiikagua engine yako vzr unaweza tatua bila kubadili engine. Hio gari apate manual yake na wiring diagrams anaweza kuirecover mambo ya kubadili engine sio option hapo
 
HaaahaaaHaaahaaa. Huwa nakutana na mercedes benz e class na audi a4 zina hali mbaya balaa cjui kwann. Unascan codes lkn majibu yanaogopesha, ila kama una roho ngumu unalitengeneza.

Kuna audi nlikaa nayo miezi kumi kumbe shida ipo kwenye CAN. Nikiscan naona control modules zote zinafail kumbe sabb hazipokei right messages. Hapo kwenye picha hizo codes za control modules ukikagua CAN lines nadhan unaweza tatua baadhi ya matatizo. Gari za europe zikipata ttzo kwenye CAN lines utaona maajabu ajabu sana na nyingi huwa haziwaki. Kwa case yangu kumbe kuna junction inayounganisha CAN lines za Instrument cluster, ABS na ECM ilikua imegeuzwa baada ya mafundi mechanic kubadili engine. That was 10 months job kumbe soln ni kugeuza connector.

Ufundi umeme wa magar inabidi uwe na roho ya paka.... coz matatizo huwa ni madogo sn ila kuyalocate ndio shida

Kuna kazi unaitwa kufanya, ukiligundua tatizo unabaki unacheka mwenyewe.

Hapo unakuta walishabadili msururu wa vitu ila shida ilikuwa kawaya kamoja tu, au hata fuse.

Mfano mdogo tu, Nissan Ikitaka fuse ya glow plug code itakayosoma itakuwa na maelezo ya glow plug relay.

Ukienda kichwakichwa unabadili heater plug zote, Mwingine ndio atakimbilia kubadili relay ila ukianza kufatilia kwanini relay haipati umeme you will end up kwenye fuse au wiring yake kiujumla.
 
Nikiileta hii Toyota hiace hapo kwako nadhani hiyo mashine ya diagnosis utapiga shiti. Na chombo iko road daily inakula vichwa alfajiri mpaka usiku.
 
Nikiileta hii Toyota hiace hapo kwako nadhani hiyo mashine ya diagnosis utapiga shiti. Na chombo iko road daily inakula vichwa alfajiri mpaka usiku.

Umewahi kuona nimeleta Toyota ina fault nyingi humu ndani?

Af pia inategemea hiyo toyota ni ya mwaka gani?

Kama ni before 2004 basi wala hakutakuwa na chochote kipya.
 
Back
Top Bottom