PureView zeiss
JF-Expert Member
- Sep 5, 2016
- 10,786
- 35,916
Unaweza kufa Kwa kuchekaaaaHiyo no average ya km 22 / L, gari yako ina engine ya bajaji mkuu ? [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kufa Kwa kuchekaaaaHiyo no average ya km 22 / L, gari yako ina engine ya bajaji mkuu ? [emoji16]
Mbona sawa tu wengine wana terios kid cc kama hizo na wanasogea mahali[emoji2]almanusura niitaje suzuki jimmy yangu na cc 650[emoji16][emoji16][emoji16] mbona ningeumbuka[emoji16][emoji16][emoji16]
huu uzi haunifai[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23]almanusura niitaje suzuki jimmy yangu na cc 650[emoji16][emoji16][emoji16] mbona ningeumbuka[emoji16][emoji16][emoji16]
huu uzi haunifai[emoji16]
Mbona kama goma linabwia sana. Yangu higway kwa cc hizo hizo inatembea 9-10 km kwa lita. Ama unakuwaga kibati sana mwanzo mwisho?Chuma yangu cc2360
Full tank 60l
Inaenda km 460
Harrier 4 natumia almost 40-50lts Kwa KM500 inategemea na muda nasafiri, road traffic, uwepo wa 50km nk lakini kama hakuna hivyo vitu natumia around 40-45 ltsKwa hyo kwa Km 500 Natumia 90k au 100k
Fanya yafuatayo ili upate 22km/l: weka plugs mpya, weka fuel filter mpya, flush engine na engine flush au kerosine, fungua oil sample na isafishe vizuri, ifunge, funga oil filter mpya, weka engine Oil mpya- castrol, petrol weka ya kampuni ya totalHiyo no average ya km 22 / L, gari yako ina engine ya bajaji mkuu ? [emoji16]
Hata bajaj haifiki hizo kilometaSuzuki Alto model 2014,km 37 kwa lita na sio hybrid
Ungeweka kwa lita ingekuwa poa sana maana bei inabadilika kila kukicha na ni tofauti kutoka eneo/kituo kimoja na kingine.Kwangu mimi,
Gari Toyota Premio X
1.8 L
Mwanza_Arusha
Zaidi ya 700+Km
Mafuta ya 140k
Usiwe mvivu ingia tu hata kwenye web ya suzuki,angalia hilo toleo,utajua hujuiHata bajaj haifiki hizo kilometa
Kwa hio na ww una gari ?? Na inakupa hio mileage😁😁 au umeenda gugo manake kule wameandika 20-37 sasa na ww umechukua hio ya mwsho umeleta huku😁😁 we jamaa akili zako sio ..nakwambia hivi hata bajaj hupati hio mileageUsiwe mvivu ingia tu hata kwenye web ya suzuki,angalia hilo toleo,utajua hujui
Usiwe mvivu ingia tu hata kwenye web ya suzuki,angalia hilo toleo,utajua hujuiHata bajaj haifiki hizo kilometa
Narudia tena,nenda kwenye web ya kampuni husika ukapate taarifa sahihi kutoka kwa wazalishaji,habari za umri zinahusiana nn na uzi huu ndugu?Kwa hio na ww una gari ?? Na inakupa hio mileage😁😁 au umeenda gugo manake kule wameandika 20-37 sasa na ww umechukua hio ya mwsho umeleta huku😁😁 we jamaa akili zako sio ..nakwambia hivi hata bajaj hupati hio mileage
Huwez ukawa unamilik gari ya mjerumani halafu unawaza wese. Bora ukamilik FEKON from BeijingSubiri wajerumani weusi watakuja hapo kukujibu na mbwembwe kibao.
TVS a.k.a bajajChuna gani hii?