Gari yangu inakimbia sana!

Gari yangu inakimbia sana!

Namshauri mtoa mada anunue spika zile za kutangazia sumu ya panya afunge juu kiasha arekodi tangazo la kuwajulisha watumia barabara wenzake kuwa niko kwenye mashindano kwa kurudia rudia ili wenzake wajue na atakae taka amjoin ndipo tutakapojua kama kweli passo inakimbia! Yani hiyo gari ambayo unaweza funga tairi za bajaji na ikatembea anasema vanguard anaenda nayo sambamba??!! Acha masihara kijana
 
Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.

Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?

Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.

Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:

A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
  • IST zote
  • Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
  • Premio na mwenzie Allion
  • Nissan Dualis na X-trail
  • Rumion
  • RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)

B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
  • Subaru Forester (model karibu zote)
  • Ford Ranger (hii gari noma)
  • Toyota Hilux
  • Landcruiser (VX na jamii yake)
  • ALPHARD (toleo jipya)
  • Toyota Fortune
  • Discovery
  • BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
  • Toyota Crown
  • Brevis
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
  • Harrier na Vanguard
  • Range Rover
  • Subaru Impreza

Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.

Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).

View attachment 2738606
Bado sijakuelewa, hivi unalalamika au haulitaki gari lako kwa kuwa huwezi kushindana na magari mengine?
 
Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.

Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?

Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.

Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:

A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
  • IST zote
  • Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
  • Premio na mwenzie Allion
  • Nissan Dualis na X-trail
  • Rumion
  • RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)

B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
  • Subaru Forester (model karibu zote)
  • Ford Ranger (hii gari noma)
  • Toyota Hilux
  • Landcruiser (VX na jamii yake)
  • ALPHARD (toleo jipya)
  • Toyota Fortune
  • Discovery
  • BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
  • Toyota Crown
  • Brevis
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
  • Harrier na Vanguard
  • Range Rover
  • Subaru Impreza

Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.

Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).

View attachment 2738606
Nmeshamiliki passo na nnakubaliana na maneno yako
 
Siku nenda morogoro tu hapo tena mida ya usiku ambapo tochi zipo kwa machale kisha utaleta mrejesho, kuna raia wanatembea mzee

Nishawahi tembea mshale upo kwenye 150 naitafuta Mji Kasoro mida kama ya saa 3 tu na ushee kidogo usiku, lakini nilipitwa kama nimesimama, acha kabisa Tanzania kuna raia wanakanyaga gia ukitaka ligi utaumia

Kuna siku nlikuwa dodoma kule kama unaenda Iringa kuna sehemu panaitwa magorofani, nlienda mida ya saa kumi na mbili nlikuwa na safari ya iringa, nikapata gari private jamaa alikuwa anatoka arusha anaenda mbeya ana crown athlete nilijuta kukaa mbele saa tatu kasoro dakika kama 5 nlikuwa iringa tayari, aisee nilikuwa nikisoma kibati kwenye dash board nashikwa na wenge kinoma sababu jamaa alikuwa anatupia 120 kwenda mbele aisee yule jamaa, huku nyuma kuna mzee alikuwa anaimba mapambio ya mbinguni incase kuna kitu kitatokea, nilivyoshuka nlihis kama kuna mzigo nimeutua aisee…
 
80% ya wanajf wanaishi Maisha ya kufikirika tu mitandaoni, eti kila mtu jf ana gari na Kila member anaishi dar

Watu wengi wana magari lakini kuna jamaa zangu wanauza haya magari unakuta mtu status kaweka gari inauzwa hadi 3M sawa ni mkweche lakini ni gari sasa jiulize watu wangapi wana 3M humu ? Kwanini ninyi ni rahis kuamini mtu akisema hana kazi mwaka wa kumi huu anasota, ila akisema anasukuma anasukuma range mwaka wa kumi huu ni ngumu kuamini ? Me sion logic ya mtu kusema ana gari wakati hana, sijui lakini ila magari sikuiz sio ishue sana
 
Kuna project naisimamia pale Kibaha Mailimoja. Kwahiyo route za kutoka Makongo Juu kwenda Kibaha na kurudi daily hazikatiki. Zile njia sita kutoka Kimara hadi Mailimoja zimenipa nafasi kujua kumbe gari yangu inakimbia mazee.

Gari yenyewe ujue ni gari gani basi?

Ni Passo Racy, 1290CC. Ni ya mwaka 2007.

Kwa data nilizonazo (kwa kipindi cha miezi mitatu), nimegundua yafuatayo:

A: Gari nazozionea road, nawakimbiza nawaachia vumbi:
  • IST zote
  • Sienta, Raum, Runx, Allex, Swift, Nadia, Voltz (tuseme babywoka zote za Toyota)
  • Premio na mwenzie Allion
  • Nissan Dualis na X-trail
  • Rumion
  • RAV4 zote (isipokua lile toleo jipya linatumiwa na gari za serikali na ile Hybrid)

B: Gari ambazo nimeshindwa kufukuzana nazo:
  • Subaru Forester (model karibu zote)
  • Ford Ranger (hii gari noma)
  • Toyota Hilux
  • Landcruiser (VX na jamii yake)
  • ALPHARD (toleo jipya)
  • Toyota Fortune
  • Discovery
  • BMW (japo kuna baadhi navimbiana nao)
  • Toyota Crown
  • Brevis
C: Gari nazokwenda nazo ugoko kwa ugoko:
  • Harrier na Vanguard
  • Range Rover
  • Subaru Impreza

Sasa hivi focus yangu nijipime na kina Audi, Benz, Volkswagen and the like. Tatizo European cars nazokutana nazo barabarani ni chache sana. Halafu huwa nakutana nazo mida ambayo sipo kwenye kuanzisha ligi.

Changamoto nayopata ni gari inachelewa kuchanganya. Hasa pale taa zikiruhusu ndio wengi wanaponipiga bao. Lakini ikishachanganya nawapoteza karibu wote (ukitoa hao wa kwenye kundi B).

View attachment 2738606
hahahahahhahahahahahahaha.....hatari sana mkuu.
bonge la ndinga hilo.
 
Mkuu,

Makongo mpaka Kibaha unapitia barabara gani? Morogoro road unaingilia wapi? Barabara zikoje?
1. Makongo -> Goba -> Mbezi (Magufuli Terminal) -> Kibaha

2. Makongo -> Mlimani City -> Ubungo Flyover -> Kibaha

Barabara zote mkeka.
 
Back
Top Bottom