Gari yangu ya kwanza nimenunua, Nissan Dualis

Dualis Nyingi ni za Gearbox za CVT
Hizi gear box ni nzuri sana kama utafatisha mashart yake
Ni mbaya sana kama utachukulia poa
Weka oil sahihi hua inaandikwa katika dipstik
Ukichanganya madesa tu unaua gear box fasta
 
Umenikumbusha kitu hapo kwenye oil kuwa inatumia CVT sio hizi za kwetu Hydraulic
Ila kupita rafu rod usimuogopeshe gari hiyo inapita vizuri bila shida yoyote ili mradi tu isiwe mashimo makubwa; aende tu mdogo mdogo; Unataka asipeleke gari Kijijini desemba hii wakati IST inaenda?
 
Dualis Nyingi ni za Gearbox za CVT
Hizi gear box ni nzuri sana kama utafatisha mashart yake
Ni mbaya sana kama utachukulia poa
Weka oil sahihi hua inaandikwa katika dipstik
Ukichanganya madesa tu unaua gear box fasta
Kuna Dualis imetengenezwa na gear box isiyo ya CVT?
 
Gari zote hizi zenye shock absorber hazijatengenezewa mazingira ya off-road kuna zile kama Land cruiser mkonga, land Rover 109,etc ndizo maeneo yake.

Hizi hazitaki sana fujo ndio hautaona unahangaika na mafundi.
 
Kuna jamaa zangu kama wawili wana hii gari, mmoja anasema kainunua 2020 lakini hadi June 2022 keshabadili gear box mara tatu mwingine nae keshabadili mara moja wanasema shida kubwa ya hizi gari ni kwenye gear box je wenye uzoefu hii ni kweli maana baada ya maelezo Yao nimejikuta naogopa kutekeleza ndoto yangu ya kumiliki hii gari
 
Watakuwa wanaweka vilainishi vya traditional automatic transmission badala ya vilainishi vya continuous variable transmission (CVT). Ukifanya hilo kosa, dk 0 tu unaua gearbox.
 
A
Watakuwa wanaweka vilainishi vya traditional automatic transmission badala ya vilainishi vya continuous variable transmission (CVT). Ukifanya hilo kosa, dk 0 tu unaua gearbox.
Asante mkuu, kwa hiyo unanishauri nisiogope kuichukua Iko poa?
 
Gari zote hizi zenye shock absorber hazijatengenezewa mazingira ya off-road kuna zile kama Land cruiser mkonga, land Rover 109,etc ndizo maeneo yake.

Hizi hazitaki sana fujo ndio hautaona unahangaika na mafundi.
Turudi kwenye Uhalisia; ni watanzania wangapi wenye hizo Mkonga, Landrover nk?
Mbona magari ya kawaida yamejaa vijijini na yapiga mzigo bila shida
 
Hizo ni story za uongo. Amenunua gari kutoka kwa mtumiaji wa Tanzania au aliagiza used ya Japan?!
 
Turudi kwenye Uhalisia; ni watanzania wangapi wenye hizo Mkonga, Landrover nk?
Mbona magari ya kawaida yamejaa vijijini na yapiga mzigo bila shida
Haibadilishi ukweli kuwa hiyo gari imetengenezwa kwaajiri ya mazingira ya mjini. Huko kwenye makorogo na barabara za vumbi ni kulazimisha.
 
Wanaoharibu haya magari ni mafundi wababaishaji na wajuaji
 
Hakikisha unafaya exitingisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…