Lady of Destiny1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 588
- 851
- Thread starter
-
- #121
Jamani nimecheka kumbe saloon car Ni aina ya gari,mi nikajua Ni a.k.a labda ,nilihisi wadada wengi wanazo so Mara nyingi utazikuta saloon so ndo zikakatiwa hilo jina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125]Mkuu BMW nilishangaa ni SUV but ina cc chache mno kama saloon cars
Eti why?
Poa poaFatilia jins ya kuagiza then utakuja Dar kuchukua
Naamini watu wengi wanajua
Binafsi waga naagiza mwenyewe
Utaserve kama milion hivi au zaid
Bravo hii kitu nime iadimire sanaLady of Destiny, go for Toyota CAMI or Daihatsu Terios kids.
*Economy Fuel consumption
*Good Engine Efficiency
View attachment 1163443
mkuu kitimoto tamu sema utakua wa upande uleHizi ndo zisipendi kabisa Kama kitimoto hapana hapana
[emoji848][emoji848][emoji848]Chukua spacio new model na pia usinunue gari zenye umeme mwingi kama ractis mara nyingi zinawaka moto barabarani
[emoji7][emoji7][emoji7]Nipo makao makuu ya nchi mkuu
Habari za humu ndugu zangu
Baada ya kujikusanya kwa miaka kadhaa hatimaye na Mimi nitaanza kutembea nimekaa Kama wengine
Nimefikisha million kumi net
Nataka ninunue gari ,Ila Sina kabisa idea ya mambo ya kuzingatia, ninunue wapi? (Kwa mtu au show room), aina gani,na mambo mengine,nauliza wenye magari kila mtu ananiambia lake sijui nifate ushauri wa Nani
Kikubwa iwe inatumia mafuta kidogo
Karibuni kwa ushauri
Habari za humu ndugu zangu
Baada ya kujikusanya kwa miaka kadhaa hatimaye na Mimi nitaanza kutembea nimekaa Kama wengine
Nimefikisha million kumi net
Nataka ninunue gari ,Ila Sina kabisa idea ya mambo ya kuzingatia, ninunue wapi? (Kwa mtu au show room), aina gani,na mambo mengine,nauliza wenye magari kila mtu ananiambia lake sijui nifate ushauri wa Nani
Kikubwa iwe inatumia mafuta kidogo
Karibuni kwa ushauri
[/QUOT
Gari kama kifusi...
Habari za humu ndugu zangu
Baada ya kujikusanya kwa miaka kadhaa hatimaye na Mimi nitaanza kutembea nimekaa Kama wengine
Nimefikisha million kumi net
Nataka ninunue gari ,Ila Sina kabisa idea ya mambo ya kuzingatia, ninunue wapi? (Kwa mtu au show room), aina gani,na mambo mengine,nauliza wenye magari kila mtu ananiambia lake sijui nifate ushauri wa Nani
Kikubwa iwe inatumia mafuta kidogo
Karibuni kwa ushauri
Mmh kama na hii hujui tafuta ndg yako unaemwamini hata babayako muombe akutafutie IST nzuri ya CC 1290 hutojutia. La sivyo utapigwa na matapeli, umeskia ile stori ya yule mzee mstaafu morogoro?? Hahah