Gari za kidada

Gari za kidada

Mkuu BMW nilishangaa ni SUV but ina cc chache mno kama saloon cars

Eti why?
Jamani nimecheka kumbe saloon car Ni aina ya gari,mi nikajua Ni a.k.a labda ,nilihisi wadada wengi wanazo so Mara nyingi utazikuta saloon so ndo zikakatiwa hilo jina [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji125][emoji125]
 
chukua hiyo kitu hutajuta kwa hela uliyonayo hiyo tafuta odd 40 tu weka mzigo wote halafu kapige usingizi dk 90 zipite uvute hii ndinga. Mbonaa simple tu .
IMG_201908213_125640.jpg
IMG_201908213_125720.jpg
IMG_201908213_125751.jpg
 
Habari za humu ndugu zangu

Baada ya kujikusanya kwa miaka kadhaa hatimaye na Mimi nitaanza kutembea nimekaa Kama wengine

Nimefikisha million kumi net

Nataka ninunue gari ,Ila Sina kabisa idea ya mambo ya kuzingatia, ninunue wapi? (Kwa mtu au show room), aina gani,na mambo mengine,nauliza wenye magari kila mtu ananiambia lake sijui nifate ushauri wa Nani

Kikubwa iwe inatumia mafuta kidogo

Karibuni kwa ushauri


I have a friend anaeagiza magari kutoka Japan na last time aliniletea IST ya 2004 yenye Km 47,000 kwa only 10.3M

Naweza kukuunganisha nae mfanya biashara. Ana miliki kampuni ya hizi makitu
 
Hela ya mafuta na service vipo, tatizo sio kununua tatizo ni kulitunza
Habari za humu ndugu zangu

Baada ya kujikusanya kwa miaka kadhaa hatimaye na Mimi nitaanza kutembea nimekaa Kama wengine

Nimefikisha million kumi net

Nataka ninunue gari ,Ila Sina kabisa idea ya mambo ya kuzingatia, ninunue wapi? (Kwa mtu au show room), aina gani,na mambo mengine,nauliza wenye magari kila mtu ananiambia lake sijui nifate ushauri wa Nani

Kikubwa iwe inatumia mafuta kidogo

Karibuni kwa ushauri
[/QUOT
 
Habari za humu ndugu zangu

Baada ya kujikusanya kwa miaka kadhaa hatimaye na Mimi nitaanza kutembea nimekaa Kama wengine

Nimefikisha million kumi net

Nataka ninunue gari ,Ila Sina kabisa idea ya mambo ya kuzingatia, ninunue wapi? (Kwa mtu au show room), aina gani,na mambo mengine,nauliza wenye magari kila mtu ananiambia lake sijui nifate ushauri wa Nani

Kikubwa iwe inatumia mafuta kidogo

Karibuni kwa ushauri
offer fina.jpg
 
Mmh kama na hii hujui tafuta ndg yako unaemwamini hata babayako muombe akutafutie IST nzuri ya CC 1290 hutojutia. La sivyo utapigwa na matapeli, umeskia ile stori ya yule mzee mstaafu morogoro?? Hahah

Bora 1490 hiyo ya 1290 haina nguvu.
 
Back
Top Bottom