Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe namba tuwasiliane, ni ya mwaka gani? Imetembea km ngapi? Imetumika wapi? Ina histori ya ajali?View attachment 629395View attachment 629396View attachment 629397View attachment 629398View attachment 629399inauzwa mil 7.7
Punguf tunaongea.
Wakuu si wengine hata huto hatuna, mnatuvunja moyo ndoto za kumiliki mikokoHata mimi, pia paso na kikobe kile, mie kobe hata lifti sipendi
Duuuh ningekuwa na hela cjui ingekuwaje
Hivi kwa nn mtu unajikuta unachukia kitu tu? Na yale napenda kuna watu pia wanayachukia[emoji85]
Yaan Mungu ana maajabu kila kona, kaweka vi element kwenye mbongo zetu na zinatofautianaYan kila mtu anakitu ana penda na vitu hapend..ni jambo la kawaida yan mi mwenye kuna magar nauza ila siyapendi sema wapo watu wanayapenda na wananunua kwa gharama adi unashangaa..
Nisamehe mkuu, mimi tu siyapendi ni roho yangu tu jaman ila wengine wanayapendaWakuu si wengine hata huto hatuna, mnatuvunja moyo ndoto za kumiliki mikoko
Daah hii nimeielewaView attachment 628846View attachment 628847View attachment 628848hyo M 9.5 ukitaka unaweka namba DK au DL mkuu
Kama kuna kupungua nichek pmView attachment 627220View attachment 627221View attachment 627222
IST bado mpya inauzika kwa mil 7.5
Nichek 0679502252 tufanye biashara
IMEUZWA TAYARI
Shkamoo Magu
Hiyo hata ukipewa bure ucpokee kama ipo ya hiyo beiNataka Noah kwa 5ml kama ipo
Milion tatu mkuu kama unataka nikupe
Mkuu 3.5 kama upo tayar njoo pmSpacio inauzwa m 6
Mkuu naomba fanya sita nakuja kuichek