FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Kutokana na kukithiri kwa foleni za barabarani, kwa sasa kuna haja ya kuanza kuagiza yale magari yanayopaa angani. Magari haya yatakuwa dual in nature,
yaani yatakuwa na uwezo wa kutembea barabarani na kupaa temporarily whenever necessary tena especially kwenye road junctions kama za tazara, buguruni na ubungo ambapo panakuwaga na foleni za kibakaji na za kimbwa mno! Hatuhitaji mradi wa BRT, what we need is flying cars!
DON FRANCIS
================================
UPDATE: 17/07/2017
Hatimaye Dubai zinauzwa kama njugu sasa, ona video
=================================
UPDATE: 12/01/2019
Uber waja na 'AIR TAXI'
=================================
Update: 29/01/2022
Gari limefaulu majaribio ya kwanza
=======================
Update: 01/02/2023
yaani yatakuwa na uwezo wa kutembea barabarani na kupaa temporarily whenever necessary tena especially kwenye road junctions kama za tazara, buguruni na ubungo ambapo panakuwaga na foleni za kibakaji na za kimbwa mno! Hatuhitaji mradi wa BRT, what we need is flying cars!
DON FRANCIS
================================
UPDATE: 17/07/2017
Hatimaye Dubai zinauzwa kama njugu sasa, ona video
=================================
UPDATE: 12/01/2019
Uber waja na 'AIR TAXI'
=================================
Update: 29/01/2022
Gari limefaulu majaribio ya kwanza
=======================
Update: 01/02/2023