Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mafuta ya videbe haya si tutaishiwa angani tuje tuporomokee ikulu
Ngalikihinja si unabeba kidumu chako cha mafuta...ukiona karibia yanaisha,unatua juu pale ikulu...unajaza then unaendelea na safari hahahaaaaNa mafuta ya videbe haya si tutaishiwa angani tuje tuporomokee ikulu
Hapo safi ukiwaona trafki tu wanakupungia mkono we unakanyaga wese kuelekea juu, mbona watatukoma.
Vipi, kwema mkuu?
Hahahah.., ok.., ila i was damn serious jaman...Hahahaaaaaaaaaaaa teh teh nadhani hii topic mkuu francis ni ya kufungia mwaka,nimesoma tena coments nimecheka sana.......
ajali za angan zitazidi....
Watu watafaidi semina na kuenda kuona wenzetu wanafanyeje! chezea serikali wewe.Traffic watakoma pale science maana kuvizia kusoma road licence itakuwa tabu kwakuwa kama sijalipa nikiwaona tu napaosha juu!
Ebana hizi vitu zipo kweli au cnema tu?.
Ni cinema tuu, kiuhalisia, endapo zitafika basi utovu wa nidhamu wa madereva utakuwa ni zero kwa traffic na pia yataongeza ujambazi. Yatakuwa pia ghali, wachache watayamudu. Wazo zuri ila miaka 150 ijayo kwa Tz.
Habari hiyo ni pigo kwetu sisi wenye vyoo vya pasportsize
Sasa kama una uwezo wa kutembea na kidumu chenye mafuta tele si uyaweke kwenye tenki..??? Nakwambia na kama ingekuwa gari zinapiga honi baada ya mafuta kukaribia HERUFI E, ungesikia makelele mjini hapa....Ngalikihinja si unabeba kidumu chako cha mafuta...ukiona karibia yanaisha,unatua juu pale ikulu...unajaza then unaendelea na safari hahahaaaa
Hapo safi ukiwaona trafki tu wanakupungia mkono we unakanyaga wese kuelekea juu, mbona watatukoma.