Gari zinazo paa angani kutinga showrooms mwakani

Gari zinazo paa angani kutinga showrooms mwakani

Na mafuta ya videbe haya si tutaishiwa angani tuje tuporomokee ikulu

Mkuu umenichekesha sana.......kila nikisoma hii coment nacheka sana,sipati picha ikidondokea ikulu itakuwaje........naona watahisi kuna nchi ya kigeni inataka kuipiga tanzania hahahaaaaa
 
Habari hiyo ni pigo kwetu sisi wenye vyoo vya pasportsize
 
ajali za angan zitazidi....

Watu watafaidi semina na kuenda kuona wenzetu wanafanyeje! chezea serikali wewe.Traffic watakoma pale science maana kuvizia kusoma road licence itakuwa tabu kwakuwa kama sijalipa nikiwaona tu napaosha juu!
 
Watu watafaidi semina na kuenda kuona wenzetu wanafanyeje! chezea serikali wewe.Traffic watakoma pale science maana kuvizia kusoma road licence itakuwa tabu kwakuwa kama sijalipa nikiwaona tu napaosha juu!

Nadhan kama hii kitu itakuja....lzma kunasheria kali za kuku guide... maana angan patakuwa fujo japo n wachache watakaoweza ku afford
 
Ebana hizi vitu zipo kweli au cnema tu?.

Ni cinema tuu, kiuhalisia, endapo zitafika basi utovu wa nidhamu wa madereva utakuwa ni zero kwa traffic na pia yataongeza ujambazi. Yatakuwa pia ghali, wachache watayamudu. Wazo zuri ila miaka 150 ijayo kwa Tz.
 
Ni cinema tuu, kiuhalisia, endapo zitafika basi utovu wa nidhamu wa madereva utakuwa ni zero kwa traffic na pia yataongeza ujambazi. Yatakuwa pia ghali, wachache watayamudu. Wazo zuri ila miaka 150 ijayo kwa Tz.

Apo sawa maana nimeogopa kidogo.
 
Ngalikihinja si unabeba kidumu chako cha mafuta...ukiona karibia yanaisha,unatua juu pale ikulu...unajaza then unaendelea na safari hahahaaaa
Sasa kama una uwezo wa kutembea na kidumu chenye mafuta tele si uyaweke kwenye tenki..??? Nakwambia na kama ingekuwa gari zinapiga honi baada ya mafuta kukaribia HERUFI E, ungesikia makelele mjini hapa....
 
Nimeishawahi kuona kitu kama hich DW tv nadhan kilikua kipind cha science and technology lakin ilikua zilkua kama pik piik za matairi matatu zinazoweza kupaa na zilikua maalamu kwaajil ya polis kupambana na uhalifu wa barabarani kama kuna mtu amewah kuona hio anaweza kuiweka clear hapa
 
Back
Top Bottom