Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Mzee humu kuna watu hawako tayari kupokea maarifa. Unahangaika nao wengine wakati wanakokotoa vya kuandika wanagugo kwanza, ninakushauri wengine waache usiwajibu, hawa wenye maswali yenye tija na wanaokubali hoja kinzani wakaielew ndio tunaowataka hapa
Upo sahihi...mfano nimemuuluxa swali ,Ana maoni gani kuhusu Historian ya TANU iliyoanikwa na Sheikh Ulotu Abubakar Ulotu! Rejea Uzi no 205!
 
Huyu Mzee Mohamed Said ni useless kabisa! Kila kitu yeye ni kuingiza hisia za udini! Hiyo UDOM wewe unadhani inaongozwa kama kijiwe cha kahawa unakoshindia ukipiga domo kutwa! Uamuzi wa kutojenga au kujenga Msikiti chuoni hauwezi kuchukuliwa na mtu mmoja!
Bibi Titi alipigania harakati za kudai uhuru na si kuuinua uislam, Wewe kizuka jaribu kutumia akili!
Hilo ndilo tatizo lake

Ova
 
Mbona unaficha ukweli kwamba huyo Bi Titi alishiriki kutaka kuipindua Serikali akakamatwa na kushtakiwa kwa kosa ya uhaini na wenzie na kufungwa kabla ya kupewa msamaha na Nyerere?
Ikiwa uliyoyaandika ni sahihi kwanini leo hii huyu anayeitwa mhaini aadhimishwe na kupewa heshima yote hii? Angekuwa mhaini kweli asingepewa heshima anayopewa hivi sasa.
 
Huyu Mzee Mohamed Said ni useless kabisa! Kila kitu yeye ni kuingiza hisia za udini! Hiyo UDOM wewe unadhani inaongozwa kama kijiwe cha kahawa unakoshindia ukipiga domo kutwa! Uamuzi wa kutojenga au kujenga Msikiti chuoni hauwezi kuchukuliwa na mtu mmoja!
Bibi Titi alipigania harakati za kudai uhuru na si kuuinua uislam, Wewe kizuka jaribu kutumia akili!
Matusi hayasaidii kitu. Hoja hujibiwa kwa hoja. Hivi unataka kutuambia Waislam wa UDOM ni wajinga waamue tu kujenga msikiti pasina kuruhusiwa na mamlaka? Je, kuna shida gani kwenye taasisi za elimu nchini kuwa na nyumba za ibada? Mbona UDSM kuna kanisa na msikiti na taaluma inaendelea?
 
Matusi hayasaidii kitu. Hoja hujibiwa kwa hoja. Hivi unataka kutuambia Waislam wa UDOM ni wajinga waamue tu kujenga msikiti pasina kuruhusiwa na mamlaka? Je, kuna shida gani kwenye taasisi za elimu nchini kuwa na nyumba za ibada? Mbona UDSM kuna kanisa na msikiti na taaluma inaendelea?
Tunaomba utupe ushahidi usio na mashaka kwamba Huyo Kabaka aliubomoa kwa sababu zake binafsi (hasa chuki za kidini) na kukiuka taratibu zote za kimamlaka.

Haingii akili karne ya leo taasisi kubwa kama UDOM eti mtu avunje msikiti kisa tu ana chuki na waislam bila kujua ni madhara gani yanaweza kutokea katika jamii hasa msuguano wa kiimani.

Ndio maana tusema haya mambo yawekwe wazi ila hoja za kujificha ficha bila ushahidi usio tia shaka mnafanya watu waendelee Kuwaita 'lia lia' jambo ambalo halipendezi kwenye jamii ya watu waliostraabika.
 
Saint,
Suala hili si la kujadiliwa na lugha za kejeli za "lialia."

Serikali inajua tatizo hili na iko kimya.

Kwa sababu maalum.

Soma historia ya uhuru wa Tanganyika kuna mengi utajifunza.

Ndipo unaweza ukawa na maarifa ya kukusaidia kujadili.
Mentality yako mpaka leo ,unaona kama waislam walikandamizwa na mpaka leo hii
Unaona hivyo

Ova
 
Ikiwa uliyoyaandika ni sahihi kwanini leo hii huyu anayeitwa mhaini aadhimishwe na kupewa heshima yote hii? Angekuwa mhaini kweli asingepewa heshima anayopewa hivi sasa.
Unataka kutuaminisha kuwa hakushiriki/kutuhumiwa na kosa lolote la uhaini?
 
Tunaomba utupe ushahidi usio na mashaka kwamba Huyo Kabaka aliubomoa kwa sababu zake binafsi (hasa chuki za kidini) na kukiuka taratibu zote za kimamlaka.

Haingii akili karne ya leo taasisi kubwa kama UDOM eti mtu avunje msikiti kisa tu ana chuki na waislam bila kujua ni madhara gani yanaweza kutokea katika jamii hasa msuguano wa kiimani.

Ndio maana tusema haya mambo yawekwe wazi ila hoja za kujificha ficha bila ushahidi usio tia shaka mnafanya watu waendelee Kuwaita 'lia lia' jambo ambalo halipendezi kwenye jamii ya watu waliostraabika.
Huyu Babu hawezi kujibu hoja hii, kwake hata Waislam wapewe Baraza lote la Mawaziri bado atakwambia mfumo wa 20:80 unaendelezwa!
Nafikirri kwa umri wake hawezi kubadilika!
 
Huyu Babu hawezi kujibu hoja hii, kwake hata Waislam wapewe Baraza lote la Mawaziri bado atakwambia mfumo was 20:80 unaendelezwa!
Narikirri kwa umri wake hawezi kubbadilika!
Yaani ni mtu wa kulialia tu

Ova
 
Chige,
Jibu nimekupa jibu hulitaki.

Unakuwa Shylock na ratili yake ya nyama anayodai kwa Bassanio.
Kama umesahau, hapa chini ndo maswali ambayo nimekuuliza:-
Mohamed Said, hebu twende taratbu...

1. Bibi Titi Mohamed anafahamika katika historia ya Tanzania kama kiongozi wa Waislamu katika kada yoyote, au anatambulika kama mwana-siasa aliyepigania uhuru wa Tanganyika na Mwenyekiti wa UWT?

2. Huyo Gaudensia Kabaka alikuwepo kwenye sherere za kumuenzi Bibi Titi akiwa na kofia ya Utawa au akiwa na kofia ya Uenyekiti wa UWT?

3. Wale walioenda kumuona mtoto wa Bibi Titi, walikuwa ni viongozi wa Kiislamu au CCM?

4. Paliwahi kuwa na tuhuma kwamba Mwalimu Nyerere alifanya sahihi kumtia korokoroni Bibi Ti

5. Kwamba:-

Ni umoja upi huo ambao uliasisiwa na mama zenu?! Umoja wa Wanawake wa Kiislamu Tanzania, au Umoja wa Wanawake Tanzania?!
Sasa hiyo simulizi ya Salum Abdallah na Fredrick Mchaulu zinajibu swali lipi kati ya hayo?!

Habari za Salum Abdallah na Fredrick Mchaulu zinahusiana nini na hoja yako yako ya kuingiza udini kwenye kila jambo?!

Sio kwamba jibu lako silitaki bali kama nilivyokueleza, YOUR ANSWERS ARE IRRELEVANT... hayaendani, japo punje na yale niliyokuuliza!! Hayaendani, hata chembe na mada uliyoleta!!
Shakespeare "Merchant of Venice."

Umesoma historia ya babu yangu aliyepigania uhuru wa Tanganyika.

Babu yangu kaweka rekodi ya kihistoria ambayo hadi leo hajavunjwa nadhani Afrika nzima.

Kaongoza migomo mitatu 1947, 1949 na 1960 dhidi ya dhulma za Waingereza.

Mchochezi.
Hizi ni General Strikes.

Mgomo wa 1960 ndilo taji lenyewe ulidumu siku 82.

Unapata tabu kutambua achievement hizi na unasema ni, "rrelevant."
Ndiyo ni IRRELEVANT, kwa sababu hapa hatubishanii achievements za babu zako bali tunabishania dasturi yako ya kupendelea kuingiza udni kwa kila haja!!

Au ni hizo achievements za hao babu zako ndizo zinazokupa uhalali wa kupendelea mada za udini?!

Narudia, HOJA NI UDINI KWENYE MADA ZAKO, NA SIO ACHIEVEMENTS ZA WAZEE WAKO...
Lazima niheshimu fikra zako lakini kwangu nakutia kwenye mizani na kupata uzito wako.

Vyuo Vikuu wananisukuma niandike historia ya Salum Abdallah babu yangu.

Wanataka kujua kwa miezi mitatu wafanyakazi walikuwa wanajikimu vipi?

Nawagusia kuwa East Germany walitoa msaada wa fedha kwa TRAU halikadhalika chama cha wafanyakazi wa reli Uingereza.

Wananisukuma kila uchao niwape mswada wachape kitabu.

Wewe huoni chochote hapo wala hushangai kuwa babu yangu hajatajwa katika Labour politics za Tanganyika.
Ninachoona hapo ni tambo zako, na wala sina shida nazo lakini hizo tambo haziendani na nilichokuuliza wala na mada yenyewe!!!

Kama umesahau mada uliyoanzisha mwenyewe, inahusu kukereka kwako kwa hatua ya Gaudensia Kabaka aliyefukuza chuo Waislamu wa UDOM, na pia kubomoa msikiti wa UDOM lakini pamoja na yote hayo, "leo hii" anaenda kumuenzi Bibi Titi!!

Sasa hayo yanahusiana vipi na simulizi za akina Salum Abdallah?

Hayo yanahusiana vipi na achivements za babu zako?
Haya ndiyo maswali nikijadiliana ba walimu wangu wa historia Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam.

Unataka mimi nikujibu maswali yako.

Hapana.
Basi utakuwa mtu wa ajabu kupita maelezo, kwa sababu maswali niliyokuuliza yanahusiana na mada yako hii, badala ya kujibu, unaleta simulizi za achiements za babu zako ambazo hazina uhusiano wowote na mada hii!!!
Mimi niko darasani hapa nasomesha historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Jipime uwezo wako.
Kwa hapo umethibitisha huna uwezo wa kuelewa unachoulizwa! Na wala huna uwezo wa kuoanisha mada zako na achievements za babu zako!!

Sina shaka kuhusu uwezo wangu kwa sababu, nilichokuuliza kinahusiana kwa 100% na mada uliyoileta lakini unaleta maelezo yasiyohusiana hata kwa 1% sio tu na kile nilichokuuliza, bali hata mada yako mwenyewe!!!
Je, ulikuwa unamjua Salum Abdallah?
Nilikuwa simfahamu, na sidhani kama nilikuwa nalazimika kumfahamu... lakini vyovyote iwavyo, suala la Salum Abdallah halina uhusiano wowote na maswali niliyokuuliza ambayo kwa 100% yametokana na hoja yako hii hapa:-

GAUDENSIA KABAKA MWENYEKITI WA UWT?

Mwenyekiti wa UWT Gaudensia Kabaka ndiye aliyehusika kuwafukuza Waislam 11 Chuo Kikuu Cha Dodoma na kusimamisha ujenzi wa msikiti hapo chuoni ambao ujenzi wake ulishaidhinishwa.

Leo yupo katika sherehe za kumuenzi Bi. Titi Mohamed.

Huyu ndiye kiongozi aliyewafukuza wajukuu wa Bi. Titi hapo chuoni na kuzuia ujenzi wa msikiti.

Kwa yale aliyopigania Bi. Titi Mohamed na wanawake wote katika TANU ya enzi zile huu ni msiba mkubwa.

Huyu Mama hastahili kuongoza wala kunasibishwa na umoja huu ulioasisiwa na mama zetu akina Bi. Titi, Bi. Hawa bint Maftah, Bi. Zarula bint Abdulrahman kwa kuwataja wachache.
NOW TELL ME, hayo uliyoandika yanahusiana vipi na achievements za akina Salum Abdallah?!

Kama unataka kuleta simulizi za akina Salum Abdallah na achievements zao, well and good lakini simulizi hizo hazihusiani na maswali niliyokuuliza!!
 
Huyu mzee anataka kutuharibia amani ya nchi..apigwe ban ya maisha humu..asilete hoja zake potofu za kutaka kupandikiza chuki za udini kwa watanzania..fanatic mkubwa.

#MaendeleoHayanaChama
Na kila anapouliza swali hili, analeta hoja ambazo hazihusiani kabisa na anachoulizwa!!
 
Mzee Mohamed Saidi nakusalim,

Bandiko limekaa kiudini sana hili! ilhali inafahamika tokea mwanzo hao wazee unaowatetea( babu zako) na kutaka historia yao iandikwe upya hawakua na tofauti na wananchi wengi waliojitoa kwa hali na mali kufanikisha uhuru wa taifa letu mfano ni parastatle organisation za kipindi hicho. Watanganyika wapo wengi ambao historia inawakumbuka kwa uzalendo wao vinginevyo historia itakua ndefu sana tukianza kuangazia mpaka maisha binafsi ya hawa waasisi hasa katika muktadha wa dini.

Kwa kifupi unataka historia iandikwe upya ikiwaangazia wanaharakati wa kiislamu zaidi na siasa zao za kutafuta uhuru wakishirikiana na Nyerere kana kwamba wao pekee waiislamu ndio walioleta uhuru katika taifa. Msisitizo wako upo katika dini zaidi wakati suala la uhuru wetu lilikua la kitaifa zaidi.

Binafsi sio muumini wa udini huu unaoutaka tutangulize zaidi utaifa na sio kuleta mambo yanayotugawa sie kama taifa. Angalia machafuko katika nchi nyingi yaliyosababishwa na dini mpaka leo hamna amani kabisa.

J K Nyerere alikuwa na karama kubwa ya uongozi na ndio sababu ya yeye kukubalika na hao wazee wako kufanikisha harakati za uhuru wetu..pia J K Nyerere alikua smart, influential na persuasive enough mpaka kufanikisha uhuru wetu akishirikiana na wapigania uhuru wengine. Hii inamfanya awe muasisi wa Taifa letu, mapungufu hayakosekaniki kama binadamu kuna mahali aliteleza.
 
Mzee Mohamed Saidi nakusalim,

Bandiko limekaa kiudini sana hili! ilhali inafahamika tokea mwanzo hao wazee unaowatetea( babu zako) na kutaka historia yao iandikwe upya hawakua na tofauti na wananchi wengi waliojitoa kwa hali na mali kufanikisha uhuru wa taifa letu mfano ni parastatle organisation za kipindi hicho. Watanganyika wapo wengi ambao historia inawakumbuka kwa uzalendo wao vinginevyo historia itakua ndefu sana tukianza kuangazia mpaka maisha binafsi ya hawa waasisi hasa katika muktadha wa dini.

Kwa kifupi unataka historia iandikwe upya ikiwaangazia wanaharakati wa kiislamu zaidi na siasa zao za kutafuta uhuru wakishirikiana na Nyerere kana kwamba wao pekee waiislamu ndio walioleta uhuru katika taifa. Msisitizo wako upo katika dini zaidi wakati suala la uhuru wetu lilikua la kitaifa zaidi.

Binafsi sio muumini wa udini huu unaoutaka tutangulize zaidi utaifa na sio kuleta mambo yanayotugawa sie kama taifa. Angalia machafuko katika nchi nyingi yaliyosababishwa na dini mpaka leo hamna amani kabisa.

J K Nyerere alikuwa na karama kubwa ya uongozi na ndio sababu ya yeye kukubalika na hao wazee wako kufanikisha harakati za uhuru wetu..pia J K Nyerere alikua smart, influential na persuasive enough mpaka kufanikisha uhuru wetu akishirikiana na wapigania uhuru wengine. Hii inamfanya awe muasisi wa Taifa letu, mapungufu hayakosekaniki kama binadamu kuna mahali aliteleza.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Umesema vyema
 
Mzee Mohamed Saidi nakusalim,

Bandiko limekaa kiudini sana hili! ilhali inafahamika tokea mwanzo hao wazee unaowatetea( babu zako) na kutaka historia yao iandikwe upya hawakua na tofauti na wananchi wengi waliojitoa kwa hali na mali kufanikisha uhuru wa taifa letu mfano ni parastatle organisation za kipindi hicho. Watanganyika wapo wengi ambao historia inawakumbuka kwa uzalendo wao vinginevyo historia itakua ndefu sana tukianza kuangazia mpaka maisha binafsi ya hawa waasisi hasa katika muktadha wa dini.

Kwa kifupi unataka historia iandikwe upya ikiwaangazia wanaharakati wa kiislamu zaidi na siasa zao za kutafuta uhuru wakishirikiana na Nyerere kana kwamba wao pekee waiislamu ndio walioleta uhuru katika taifa. Msisitizo wako upo katika dini zaidi wakati suala la uhuru wetu lilikua la kitaifa zaidi.

Binafsi sio muumini wa udini huu unaoutaka tutangulize zaidi utaifa na sio kuleta mambo yanayotugawa sie kama taifa. Angalia machafuko katika nchi nyingi yaliyosababishwa na dini mpaka leo hamna amani kabisa.

J K Nyerere alikuwa na karama kubwa ya uongozi na ndio sababu ya yeye kukubalika na hao wazee wako kufanikisha harakati za uhuru wetu..pia J K Nyerere alikua smart, influential na persuasive enough mpaka kufanikisha uhuru wetu akishirikiana na wapigania uhuru wengine. Hii inamfanya awe muasisi wa Taifa letu, mapungufu hayakosekaniki kama binadamu kuna mahali aliteleza.

Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Tatizo lake ana chembechembe za udini

Ova
 
Kama umesahau, hapa chini ndo maswali ambayo nimekuuliza:-

Sasa hiyo simulizi ya Salum Abdallah na Fredrick Mchaulu zinajibu swali lipi kati ya hayo?!

Habari za Salum Abdallah na Fredrick Mchaulu zinahusiana nini na hoja yako yako ya kuingiza udini kwenye kila jambo?!

Sio kwamba jibu lako silitaki bali kama nilivyokueleza, YOUR ANSWERS ARE IRRELEVANT... hayaendani, japo punje na yale niliyokuuliza!! Hayaendani, hata chembe na mada uliyoleta!!

Ndiyo ni IRRELEVANT, kwa sababu hapa hatubishanii achievements za babu zako bali tunabishania dasturi yako ya kupendelea kuingiza udni kwa kila haja!!

Au ni hizo achievements za hao babu zako ndizo zinazokupa uhalali wa kupendelea mada za udini?!

Narudia, HOJA NI UDINI KWENYE MADA ZAKO, NA SIO ACHIEVEMENTS ZA WAZEE WAKO...

Ninachoona hapo ni tambo zako, na wala sina shida nazo lakini hizo tambo haziendani na nilichokuuliza wala na mada yenyewe!!!

Kama umesahau mada uliyoanzisha mwenyewe, inahusu kukereka kwako kwa hatua ya Gaudensia Kabaka aliyefukuza chuo Waislamu wa UDOM, na pia kubomoa msikiti wa UDOM lakini pamoja na yote hayo, "leo hii" anaenda kumuenzi Bibi Titi!!

Sasa hayo yanahusiana vipi na simulizi za akina Salum Abdallah?

Hayo yanahusiana vipi na achivements za babu zako?

Basi utakuwa mtu wa ajabu kupita maelezo, kwa sababu maswali niliyokuuliza yanahusiana na mada yako hii, badala ya kujibu, unaleta simulizi za achiements za babu zako ambazo hazina uhusiano wowote na mada hii!!!

Kwa hapo umethibitisha huna uwezo wa kuelewa unachoulizwa! Na wala huna uwezo wa kuoanisha mada zako na achievements za babu zako!!

Sina shaka kuhusu uwezo wangu kwa sababu, nilichokuuliza kinahusiana kwa 100% na mada uliyoileta lakini unaleta maelezo yasiyohusiana hata kwa 1% sio tu na kile nilichokuuliza, bali hata mada yako mwenyewe!!!

Nilikuwa simfahamu, na sidhani kama nilikuwa nalazimika kumfahamu... lakini vyovyote iwavyo, suala la Salum Abdallah halina uhusiano wowote na maswali niliyokuuliza ambayo kwa 100% yametokana na hoja yako hii hapa:-


NOW TELL ME, hayo uliyoandika yanahusiana vipi na achievements za akina Salum Abdallah?!

Kama unataka kuleta simulizi za akina Salum Abdallah na achievements zao, well and good lakini simulizi hizo hazihusiani na maswali niliyokuuliza!!
Huko ulipo agiza kinywaji ntakuja kukulipia

Ova
 
Fuma...
Mimi nisiyejua chochote nazungumza na mjuzi lakini huyu mjuzi anashindwa kutambua ukweli kuwa yapo malalamiko ya kweli.

Fanya utafiti kidogo kisha In Shaa Allah rejea tufanye mjadala:

PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards

Visiting Scholar: (2011)

University of Iowa, Iowa City, USA

Northwestern University, Chicago, Illinois, USA

Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED

Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
Wewe ni mdini sana! Siwezi kukupa attention yoyote na acha kabisa kujificha nyuma ya tafiti uchwara hizo zilizojaa udini!
Yaani wewe ni mtu useless sana! siju kama wewe Mohamed Said ungekuwa ndo Dossa Azizi kina Julius Nyerere wangekunywa hata maji kwako!
Lakini kutoka na chuki ulizonazo ni dhahiri kuwa Maisha yako ni magumu sana!
Ndani yako kumejaa chuki sana hauwezi kuwa na mafanikio wewe !
You are useless and you deserve a useless life!
 
Back
Top Bottom