Gaudensia Kabaka Mwenyekiti wa UWT?

Upo sahihi...mfano nimemuuluxa swali ,Ana maoni gani kuhusu Historian ya TANU iliyoanikwa na Sheikh Ulotu Abubakar Ulotu! Rejea Uzi no 205!
 
Hilo ndilo tatizo lake

Ova
 
Mbona unaficha ukweli kwamba huyo Bi Titi alishiriki kutaka kuipindua Serikali akakamatwa na kushtakiwa kwa kosa ya uhaini na wenzie na kufungwa kabla ya kupewa msamaha na Nyerere?
Ikiwa uliyoyaandika ni sahihi kwanini leo hii huyu anayeitwa mhaini aadhimishwe na kupewa heshima yote hii? Angekuwa mhaini kweli asingepewa heshima anayopewa hivi sasa.
 
Matusi hayasaidii kitu. Hoja hujibiwa kwa hoja. Hivi unataka kutuambia Waislam wa UDOM ni wajinga waamue tu kujenga msikiti pasina kuruhusiwa na mamlaka? Je, kuna shida gani kwenye taasisi za elimu nchini kuwa na nyumba za ibada? Mbona UDSM kuna kanisa na msikiti na taaluma inaendelea?
 
Ikiwa uliyoyaandika ni sahihi kwanini leo hii huyu anayeitwa mhaini aadhimishwe na kupewa heshima yote hii? Angekuwa mhaini kweli asingepewa heshima anayopewa hivi sasa.
Alitubu ,akaomba msamaha
 
Tunaomba utupe ushahidi usio na mashaka kwamba Huyo Kabaka aliubomoa kwa sababu zake binafsi (hasa chuki za kidini) na kukiuka taratibu zote za kimamlaka.

Haingii akili karne ya leo taasisi kubwa kama UDOM eti mtu avunje msikiti kisa tu ana chuki na waislam bila kujua ni madhara gani yanaweza kutokea katika jamii hasa msuguano wa kiimani.

Ndio maana tusema haya mambo yawekwe wazi ila hoja za kujificha ficha bila ushahidi usio tia shaka mnafanya watu waendelee Kuwaita 'lia lia' jambo ambalo halipendezi kwenye jamii ya watu waliostraabika.
 
Saint,
Suala hili si la kujadiliwa na lugha za kejeli za "lialia."

Serikali inajua tatizo hili na iko kimya.

Kwa sababu maalum.

Soma historia ya uhuru wa Tanganyika kuna mengi utajifunza.

Ndipo unaweza ukawa na maarifa ya kukusaidia kujadili.
Mentality yako mpaka leo ,unaona kama waislam walikandamizwa na mpaka leo hii
Unaona hivyo

Ova
 
Ikiwa uliyoyaandika ni sahihi kwanini leo hii huyu anayeitwa mhaini aadhimishwe na kupewa heshima yote hii? Angekuwa mhaini kweli asingepewa heshima anayopewa hivi sasa.
Unataka kutuaminisha kuwa hakushiriki/kutuhumiwa na kosa lolote la uhaini?
 
Huyu Babu hawezi kujibu hoja hii, kwake hata Waislam wapewe Baraza lote la Mawaziri bado atakwambia mfumo wa 20:80 unaendelezwa!
Nafikirri kwa umri wake hawezi kubadilika!
 
Huyu Babu hawezi kujibu hoja hii, kwake hata Waislam wapewe Baraza lote la Mawaziri bado atakwambia mfumo was 20:80 unaendelezwa!
Narikirri kwa umri wake hawezi kubbadilika!
Yaani ni mtu wa kulialia tu

Ova
 
Chige,
Jibu nimekupa jibu hulitaki.

Unakuwa Shylock na ratili yake ya nyama anayodai kwa Bassanio.
Kama umesahau, hapa chini ndo maswali ambayo nimekuuliza:-
Sasa hiyo simulizi ya Salum Abdallah na Fredrick Mchaulu zinajibu swali lipi kati ya hayo?!

Habari za Salum Abdallah na Fredrick Mchaulu zinahusiana nini na hoja yako yako ya kuingiza udini kwenye kila jambo?!

Sio kwamba jibu lako silitaki bali kama nilivyokueleza, YOUR ANSWERS ARE IRRELEVANT... hayaendani, japo punje na yale niliyokuuliza!! Hayaendani, hata chembe na mada uliyoleta!!
Ndiyo ni IRRELEVANT, kwa sababu hapa hatubishanii achievements za babu zako bali tunabishania dasturi yako ya kupendelea kuingiza udni kwa kila haja!!

Au ni hizo achievements za hao babu zako ndizo zinazokupa uhalali wa kupendelea mada za udini?!

Narudia, HOJA NI UDINI KWENYE MADA ZAKO, NA SIO ACHIEVEMENTS ZA WAZEE WAKO...
Ninachoona hapo ni tambo zako, na wala sina shida nazo lakini hizo tambo haziendani na nilichokuuliza wala na mada yenyewe!!!

Kama umesahau mada uliyoanzisha mwenyewe, inahusu kukereka kwako kwa hatua ya Gaudensia Kabaka aliyefukuza chuo Waislamu wa UDOM, na pia kubomoa msikiti wa UDOM lakini pamoja na yote hayo, "leo hii" anaenda kumuenzi Bibi Titi!!

Sasa hayo yanahusiana vipi na simulizi za akina Salum Abdallah?

Hayo yanahusiana vipi na achivements za babu zako?
Haya ndiyo maswali nikijadiliana ba walimu wangu wa historia Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam.

Unataka mimi nikujibu maswali yako.

Hapana.
Basi utakuwa mtu wa ajabu kupita maelezo, kwa sababu maswali niliyokuuliza yanahusiana na mada yako hii, badala ya kujibu, unaleta simulizi za achiements za babu zako ambazo hazina uhusiano wowote na mada hii!!!
Mimi niko darasani hapa nasomesha historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika.

Jipime uwezo wako.
Kwa hapo umethibitisha huna uwezo wa kuelewa unachoulizwa! Na wala huna uwezo wa kuoanisha mada zako na achievements za babu zako!!

Sina shaka kuhusu uwezo wangu kwa sababu, nilichokuuliza kinahusiana kwa 100% na mada uliyoileta lakini unaleta maelezo yasiyohusiana hata kwa 1% sio tu na kile nilichokuuliza, bali hata mada yako mwenyewe!!!
Je, ulikuwa unamjua Salum Abdallah?
Nilikuwa simfahamu, na sidhani kama nilikuwa nalazimika kumfahamu... lakini vyovyote iwavyo, suala la Salum Abdallah halina uhusiano wowote na maswali niliyokuuliza ambayo kwa 100% yametokana na hoja yako hii hapa:-

NOW TELL ME, hayo uliyoandika yanahusiana vipi na achievements za akina Salum Abdallah?!

Kama unataka kuleta simulizi za akina Salum Abdallah na achievements zao, well and good lakini simulizi hizo hazihusiani na maswali niliyokuuliza!!
 
Huyu mzee anataka kutuharibia amani ya nchi..apigwe ban ya maisha humu..asilete hoja zake potofu za kutaka kupandikiza chuki za udini kwa watanzania..fanatic mkubwa.

#MaendeleoHayanaChama
Na kila anapouliza swali hili, analeta hoja ambazo hazihusiani kabisa na anachoulizwa!!
 
Mzee Mohamed Saidi nakusalim,

Bandiko limekaa kiudini sana hili! ilhali inafahamika tokea mwanzo hao wazee unaowatetea( babu zako) na kutaka historia yao iandikwe upya hawakua na tofauti na wananchi wengi waliojitoa kwa hali na mali kufanikisha uhuru wa taifa letu mfano ni parastatle organisation za kipindi hicho. Watanganyika wapo wengi ambao historia inawakumbuka kwa uzalendo wao vinginevyo historia itakua ndefu sana tukianza kuangazia mpaka maisha binafsi ya hawa waasisi hasa katika muktadha wa dini.

Kwa kifupi unataka historia iandikwe upya ikiwaangazia wanaharakati wa kiislamu zaidi na siasa zao za kutafuta uhuru wakishirikiana na Nyerere kana kwamba wao pekee waiislamu ndio walioleta uhuru katika taifa. Msisitizo wako upo katika dini zaidi wakati suala la uhuru wetu lilikua la kitaifa zaidi.

Binafsi sio muumini wa udini huu unaoutaka tutangulize zaidi utaifa na sio kuleta mambo yanayotugawa sie kama taifa. Angalia machafuko katika nchi nyingi yaliyosababishwa na dini mpaka leo hamna amani kabisa.

J K Nyerere alikuwa na karama kubwa ya uongozi na ndio sababu ya yeye kukubalika na hao wazee wako kufanikisha harakati za uhuru wetu..pia J K Nyerere alikua smart, influential na persuasive enough mpaka kufanikisha uhuru wetu akishirikiana na wapigania uhuru wengine. Hii inamfanya awe muasisi wa Taifa letu, mapungufu hayakosekaniki kama binadamu kuna mahali aliteleza.
 
Umesema vyema
 
Tatizo lake ana chembechembe za udini

Ova
 
Huko ulipo agiza kinywaji ntakuja kukulipia

Ova
 
Wewe ni mdini sana! Siwezi kukupa attention yoyote na acha kabisa kujificha nyuma ya tafiti uchwara hizo zilizojaa udini!
Yaani wewe ni mtu useless sana! siju kama wewe Mohamed Said ungekuwa ndo Dossa Azizi kina Julius Nyerere wangekunywa hata maji kwako!
Lakini kutoka na chuki ulizonazo ni dhahiri kuwa Maisha yako ni magumu sana!
Ndani yako kumejaa chuki sana hauwezi kuwa na mafanikio wewe !
You are useless and you deserve a useless life!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…