Gautam Adani na kashfa ya rushwa Marekani: Je, ni nini hatma ya TANESCO na PPP ya David Kafulila, tenda apewe au atoswe?

Dp world ni mafia zaidi ya huyo lakini amepewa tenda hakuna kitakachobadilika hapo.
Wakenya wamebadili mawazo. Rutto ametangaza kuwa dili ya kumwachia huyo Adnan AirPort yao aiendeshe kwa miaka 30 imesitishwa baada ya hiyo kashfa kule Marekani.

Ikumbukwe huyu tycoon, anatengeneza drones ambazo anawa supply IDF.
 
Imeisha hiyo.

We unafikiri zile milioni mia saba saba anazogawagawa ovyo kwenye mpira na zile milioni mia, mia hamsini anazogawa makanisani/misikitini zote ni pesa za walipa kodi?
 
Hii nchi kwa Sasa ipo mikononi mwa wahuni
 
Tangu 1961 tunapata uhuru wasomi wetu wanazo akili za wizi tu, ni kwa bahati mbaya sana kila mwaka CAG anapotoa report ya mwaka inajaa uchafu mtupu.

Na hao wanaochafua hiyo report mawazo yao wanapopewa nafasi ya kujenga hoja yanafanana na haya ya kwako hapo juu. Ya kuisikitikia ni nchi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…