Gautam Adani na kashfa ya rushwa Marekani: Je, ni nini hatma ya TANESCO na PPP ya David Kafulila, tenda apewe au atoswe?

Gautam Adani na kashfa ya rushwa Marekani: Je, ni nini hatma ya TANESCO na PPP ya David Kafulila, tenda apewe au atoswe?

Kafulila unamjua vizuri lakini?
Kama alikataa Bil 3 akiwa kijana mdogo sebuse Leo?

Kuwa makini sana unapomtaja Kafulila kwenye mambo ya ajabu ajabu
Una ushahidi kwamba alipewa? Maneno mepesi tu hayo, bei yake mnadani inafahamika
 
Muda utaongea. Kafulila anangonjera nyingi Sana. Kila siku anakuja na stori nyingi, ila muda utaweka kila kitu wazi.
 
Tatizo haya tunayoyaandika hayafanani kabisa na ufanisi wa mashirika yetu yanayobinafsishwa. Tufanye uzembe na nchi yetu iwe unaumia kiuchumi halafu wanasiasa wakileta mashirika makubwa yenye uwezo tuanze kuyapiga vita kwa wivu wa hicho wanachokwenda kukivuna?.

Aliyeturoga keshakufa na hatujui kaburi lake lipo wapi.

Wewe ndio umerogwa usisemee wengine. Mpaka Leo unaamini serikali ya CCM ni safi? Haina ufisadi?. Ok Baki na ujinga wako.
 
Mawazo yale yale ya kimaskini, ya kudhani kila mtu anataka kukuibia!, Kujiona wewe tu ndio mwenye utajiri unaoonewa wivu unaotaka kuibiwa na wenye nacho.

Dunia hii ukimletea mwenye teknolojia maringo anaondoka kwako mchana huo huo na kwenda kufanya uwekezaji kwa mwingine.

Dah! Kwa hivyo wewe unaamini kamba watanzania hawawezi kujenga Tecknolojia yao mpaka atome mjomba nje kuwaletea Tecknolojia. Kweli tupo Dunia ya tatu.
 
Sasa Mwigulu anahusikaje kwenye PPP?
Huyu Adani huko Gate 2 alipewa na Kafulila?

Kinachoendelea kwa ADANI ni vita vya Kiuchumi na makampuni makubwa ya kibiashara ya Marekani,

Mtu mwenye Uchumi zaidi ya Uchumi wote wa TANZANIA unapomzungumzia lazima uwe na nidhamu.

PPP ipo Chini ya Wizara ya Mwigulu. Elewa hivyo ewe kafulila
 
Kafulila unamjua vizuri lakini?
Kama alikataa Bil 3 akiwa kijana mdogo sebuse Leo?

Kuwa makini sana unapomtaja Kafulila kwenye mambo ya ajabu ajabu

Bilioni tatu apewe na nani? Punguza kuropoka. Ile ilikuwa kiki ya kisiasa.
 
Huyo Jamaa si kuna gati moja anaiendesha katika Bandari yetu ya Dar es Salaam?
 
Hasara za Samia unaweza kuzilinganisha na zile alizozisababisha hayati JPM?.

Kila siku tunalipa mabilioni ya pesa kwa makampuni ya kigeni kwa ujeuri wake katika mahusiano ya kibiashara.

Mkuu punguza kupumua huku moyo ukiwa umejawa na chuki.
Kwa nini unani ambia habari za Magufuli; umesoma popote nilipo mtaja.
Si Magufuli huyo huyo aliye tuweka kwenye janga hili tunalo shuhudia sasa hivi?

Kama alikuwa na mazuri au kulitakia mazuri taifa hili hakujuwa jinsi ya kuyafanya kwa weledi hayo aliyo kuwa akinuia kuyafanya.

Tatizo lako ni kwamba akili yako imejifunika kwenye ulaghai, ule ule anaotumia Samia.
Wewe unaona "mabilioni ya pesa kwa makampuni ya kigeni" unayo mhusisha Magufuli; lakini kamwe huwezi kuona matrilioni anayo lisababishia hasara taifa hili Samia. Na siyo hasara ya hayo mapesa tu; hasara kubwa ni hii ya kuwapumbaza waTanzania, na kudhalilisha utu wao kwa kuwafanya wajione wao kuwa duni mbele za mataifa mengine. Watanzania nafasi yao iwe ni ya kuwa watwana tu, basi. Wewe na Samia hili nddilo lengo lenu. Nyinyi ni maadui wakubwa wa nchi hii.
 
Binafsi sijaona shida ya ADANI
Unataka wakuletee hizo "shida" hadi usoni kwako ndipo uzione?
Umeshiriki kwenye makubaliano ya mikataba, ukaridhika nayo kuwa hakuna shida?
Kwa nini unafichwa, kila kitu kinafanyika gizani, halafu wewe uje hapa na kusema huoni shida?
Adani ameshindanishwa na nani akaonekana yeye ndiye bora kwenye shughuli hizo alizo pewa?

Haya yote umeyashuhudia na kujiridhisha kuwa "hakuna shida"?
 
Back
Top Bottom