Gavana BOT aagiza benki zipunguze masharti ya mikopo na riba

Gavana BOT aagiza benki zipunguze masharti ya mikopo na riba

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga amezitaka Benki na Taasisi za fedha kupunguza masharti ya mikopo na riba ili malengo yaliyowekwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ya kuwawezesha wananchi kiuchumi yaweze kutimia.

“Tumeelekeza benki ambazo hazishushi gharama za uendeshaji hazitaruhusiwa kutoa gawio mpaka zishuke hizo gharama ili tuone wananchi wanapata huduma bila kuwa na gharama zisizo eleweka,” - Profesa Luoga.
Atoe waraka wa kibenki wa serikali ili tupate ushahidi tunapoenda kukopa maana ukienda hivi hivi wanakataa
 
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga amezitaka Benki na Taasisi za fedha kupunguza masharti ya mikopo na riba ili malengo yaliyowekwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ya kuwawezesha wananchi kiuchumi yaweze kutimia.

“Tumeelekeza benki ambazo hazishushi gharama za uendeshaji hazitaruhusiwa kutoa gawio mpaka zishuke hizo gharama ili tuone wananchi wanapata huduma bila kuwa na gharama zisizo eleweka,” - Profesa Luoga.
NMB na CRDB huwa hawasikii. Msikilizeni basi Hata Gavana wa BOT.
 
Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Florens Luoga amezitaka Benki na Taasisi za fedha kupunguza masharti ya mikopo na riba ili malengo yaliyowekwa na Benki Kuu ya Tanzania (BOT) ya kuwawezesha wananchi kiuchumi yaweze kutimia.

“Tumeelekeza benki ambazo hazishushi gharama za uendeshaji hazitaruhusiwa kutoa gawio mpaka zishuke hizo gharama ili tuone wananchi wanapata huduma bila kuwa na gharama zisizo eleweka,” - Profesa Luoga.

Gavana BOT weka waraka hapa soon wataupata. Bank nyingi sana mabosi wake wao wamo humu Jf.​

 
Mimi sijaelewa hapo kwenye hazitaruhusiwa kutoa gawio. Nahitaji ufafanuzi zaidi. Kwani zisipotoa gawio sii ndio vizuri kwa hizo benki?
Duu yani kwamba mtoto akizila kula chakula hataosha vyombo!!
Sasa ndo anasema asante!!
 
Back
Top Bottom