mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,904
- 8,371
Wacha huyo muShe azabwe vibao,kazoea kujifanya mwanamke wa chuma,mbona aliufyata kwa Uhuru alipotaka kuleta chokochoko akiwa na Sonko,huyu mwanamke kimbelembele sana na anapenda sifa za ujinga,mimi nimefurahi Kidero kumzaba kibao amemukumbusha kuwa sio kila mtu wa kumchezea,huyo mama akiachiwa mapembe yake yatazidi kuwa marefu kama Mt Kenya ,ni wakati sasa yakatwe,si mnakumbuka wakati wa uchaguzi alivamia ofisi za tume ya uchaguzi usiku akiwa na yule mama muuza sembe,siku nyingine atafikiria kwanza kabla ya kuvamia ofisi za watu,YEYE NI NANI HADI AVAMIE OFISI ZA WATU AKIWA NA WAHUNI WENZAKE,ningekuwa mimi Kidero kwanza ningemzabu vibao kama vitatu kimoja hakitoshi,DAWA YA MUHUNI NI KUNFANYIA UHUNI BAASI