Gavana Luoga akitoa takwimu za mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa Tanzania

Gavana Luoga akitoa takwimu za mchango wa kanda ya ziwa kwenye uchumi wa Tanzania

Makete hakuna maskini,maskini mnapatikana huko kanda ya ziwa ukiwemo wewe ndio maana unahangaika tuu hapa.Kama zipo huko Karagwe mbona hatuoni zikiwanufaisha na kuwatoa kwenye kuongoza kwa umaskini kama kwetu Makete/Njombe?
Makete si tu ni maskini bali ni mafukara walio kubuhu, miguuni mmeliwa funza na huku UKIMWI unawatafuna kwa ujinga wenu wa kutokuvaa condom.
Majengo manne tu ya Mzee Maduhu ndani ya wilaya yetu ya nyamagana thamani yake ni zaidi ya majengo yote ya wilaya yenu fukara ya Makete.
 
Makete si tu ni maskini bali ni mafukara walio kubuhu, miguuni mmeliwa funza na huku UKIMWI unawatafuna kwa ujinga wenu wa kutokuvaa condom.
Majengo manne tu ya Mzee Maduhu ndani ya wilaya yetu ya nyamagana thamani yake ni zaidi ya majengo yote ya wilaya yenu fukara ya Makete.
haaaa pole mkuu sisi ndio tunashindana na watu wa asili ya Asia kwenye biashara sijui makete gani unayoizungumzia wewe
 
Makete hakuna maskini,maskini mnapatikana huko kanda ya ziwa ukiwemo wewe ndio maana unahangaika tuu hapa.Kama zipo huko Karagwe mbona hatuoni zikiwanufaisha na kuwatoa kwenye kuongoza kwa umaskini kama kwetu Makete/Njombe?
Sorry hiv unaifahamu karagwe wew kweli?

Tena Bora ukalinganisha biharamulo na ngara huko sio karagwe.

Karagwe watu wake wanakipato Sana na ndo wafanya biashara wakubwa wa kahawa, vanilla na ndizi Tz
 
Kua na wapigakura wengi sio necessarily mgombea lazima atoke kwao ila wao wanaweza kudetermine mshindi.

Na tunakoelekea tutaamza kutoa hata wagombea maana tukitoa mgombea na tukaungana kumpigia kura anashinda urais asubuhi na mapema.
Muulize tangu Tanzania inapata uhuru ni kanda gani inaongoza kutoa marais wengi? Kanda ya ziwa imetoa marais wawili kati ya sita. Ambapo kati ya hao sita, wawili wengine wametoka Zanzibar. Hii ina maana kwa Tanzania bara wanabaki wanne ambao kati yao wawili (JK wa kwanza na JPM) ni wa kanda ya ziwa na hao wawili waliobaki ndo zinagawana kanda nyingine zote zikizobaki. On top of that bado unaona positions nyingi zinazoshikwa na watu wa kanda ya ziwa zinakuwa imara sana.

These people deserve respect!
 
haaaa pole mkuu sisi ndio tunashindana na watu wa asili ya Asia kwenye biashara sijui makete gani unayoizungumzia wewe
[emoji23][emoji23][emoji23] labda biashara ya kufanya ngono zembe,
Unit za umeme zinazotumiwa kwa siku kwenye jengo moja tu la ZONGII YOPA hapa Nyamagana Ni zaidi ya Unit mnazotumia kawilaya kenu fukara kote
 
[emoji23][emoji23][emoji23] labda biashara ya kufanya ngono zembe,
Unit za umeme zinazotumiwa kwa siku kwenye jengo moja tu la ZONGII YOPA hapa Nyamagana Ni zaidi ya Unit mnazotumia kawilaya kenu fukara kote
Nimekuchoka ,utaishia kukariri ujinga wako ila uliza wenzio,kwamba wakinga ni kina nani nchi hii utapata majibu.
 
Nimekuchoka ,utaishia kukariri ujinga wako ila uliza wenzio,kwamba wakinga ni kina nani nchi hii utapata majibu.
Nimewauliza makete ni ya namna gani, wanasema Kuna ufukara na UKIMWI wa kutisha, wanasema ARVs huko wanachukua kwa foleni ndefu sababu uhitaji ni mkubwa mno.
 
We nae ni kiazi kilichochangamka.

Kama 16% ya population inachangia 26% ya uchumi (zaidi ya robo nzima), maana yake hiyo 84% iliyobakia inachangia 74% tu ya uchumi. Sasa huoni kama hiyo 16% ina ngivu zaidi? Sijui unaandika upupu gani!!

Pili mikoa 6 kati ya 31 ambayo ni 19% ya mikoa yote kama inachangia zaidi ya robo ya uchumi hiyo mikoa 25 yote iliyobaki inachangia nini??

Ina maana tukiwa na kanda nyingine yenye nguvu kama kanda ya ziwa, hizi kanda mbili zitachangia 52% ya uchumi (zaidi ya nusu ya uchumi wa nchi nzima). Hizo kanda nyingine zitakuwa zinafanya ujinga gani??

Unaonekana umejaa chuki tu hadi akili yako unaisahau[emoji3]
Jamaa anaumia sana kuzidiwa na watu wa kanda hiyo, lakini sio vibaya ikiwa kila kanda haitakuwa ikikubali kuzidiwa kirahisi na kanda nyingine, litakuwa jambo jema sana!! tutajituma zaidi
 
We nae ni kiazi kilichochangamka.

Kama 16% ya population inachangia 26% ya uchumi (zaidi ya robo nzima), maana yake hiyo 84% iliyobakia inachangia 74% tu ya uchumi. Sasa huoni kama hiyo 16% ina ngivu zaidi? Sijui unaandika upupu gani!!

Pili mikoa 6 kati ya 31 ambayo ni 19% ya mikoa yote kama inachangia zaidi ya robo ya uchumi hiyo mikoa 25 yote iliyobaki inachangia nini??

Ina maana tukiwa na kanda nyingine yenye nguvu kama kanda ya ziwa, hizi kanda mbili zitachangia 52% ya uchumi (zaidi ya nusu ya uchumi wa nchi nzima). Hizo kanda nyingine zitakuwa zinafanya ujinga gani??

Unaonekana umejaa chuki tu hadi akili yako unaisahau[emoji3]
Ulipata zero hesabu ndio maana ni zero brain,kwamba 100% less 26% utapata 74%?😀😀😀😀

Kwa taarifa yako zile takwimu za gavana hazipo kwenye chanzo chochote si BOT wala NBS, kzilitolewa kisiasa ili kuwafool na kumpa mama promo.Wewe kama una source iweke hapa ili tujue na wengine wanavyochangia.

Taarifa iliyopo ni ya 2019 as per NBS,Lake zone=23.1%,Coastal zone=23.8%,Highland zone=18.3%,Northern zone=17.3%,Western zone=7.8%,Central zone=5% na Southern zone=4.7%

Hata hivyo sio sawa kwa takwimu kutumia kanda kwa sababu idadi ya mikoa kwenye kila kanda ni tofauti,wakati Lake zone na Highlands wana mikoa 6 kila moja kanda ya kati,kusini,magharibi,Pwani wana mikoa miyatu mitatu sasa hizi sio sawa.

Takwimu halisi ni za kila mkoa kama inavyoonesha hapa chini kuanzia pg 48👇👇
 

Attachments

Mkuu, hesabu zako haziko sawa aisee, Tunamikoa zaidi ya 30 ukiigawa kwa 6 unapata kanda 5, ili kufikia 100% ya makusanyo yote, inabidi kila kanda yenye mikoa mitano iliingizie Taifa 20% ya makusanyo yote, sasa unapokuta kanda moja yenye mikoa hiyohiyo mitano inakusanya 26 % , huoni kwamba hiyo kanda ipo juu zaidi ya kanda zingine???
Mikoa ni 26 tuu excluding Zanzibar na kanda hazijagawanywa kwa uwiano sawa wa idadi ya mikoa,mfano kanda ya ziwa na Higlands ina mikoa 6 kila mmja wakati kanda zingine zina mikoa 3.Ndio maana haifai kutumia kanda kuangalia michango kwenye uchumi bali Mkoa mmja mmja ndio utapata picha halisi
 
Mikoa ni 26 tuu excluding Zanzibar na kanda hazijagawanywa kwa uwiano sawa wa idadi ya mikoa,mfano kanda ya ziwa na Higlands ina mikoa 6 kila mmja wakati kanda zingine zina mikoa 3.Ndio maana haifai kutumia kanda kuangalia michango kwenye uchumi bali Mkoa mmja mmja ndio utapata picha halisi
Mkuu, mimi kinachonifurahisha sana, ni kuona kila mtu wa kanda fulani hataki awe wa mwisho wala kupitwa na watu wa kanda fulani

Hii ni nzuri sana tukiwa na upinzani wa aina hii wa kimaendeleo, Lakini kw sasa, bila kujali chochote, kanda ya ziwa iko mbali aisee, na endapo serikali ikaendelea kuingalia ktk nyanja ya kimiundombinu ya Barabara, hapana isee

kanda ya ziwa ilicheleweshwa na serikali, Dhahabu zipo huko, lakini masoko yako Daresalaamu na nji jirani,

Ni lazima kanda hiyo ichelewe tu,
 
Ulipata zero hesabu ndio maana ni zero brain,kwamba 100% less 26% utapata 74%?😀😀😀😀

Kwa taarifa yako zile takwimu za gavana hazipo kwenye chanzo chochote si BOT wala NBS, kzilitolewa kisiasa ili kuwafool na kumpa mama promo.Wewe kama una source iweke hapa ili tujue na wengine wanavyochangia.

Taarifa iliyopo ni ya 2019 as per NBS,Lake zone=23.1%,Coastal zone=23.8%,Highland zone=18.3%,Northern zone=17.3%,Western zone=7.8%,Central zone=5% na Southern zone=4.7%

Hata hivyo sio sawa kwa takwimu kutumia kanda kwa sababu idadi ya mikoa kwenye kila kanda ni tofauti,wakati Lake zone na Highlands wana mikoa 6 kila moja kanda ya kati,kusini,magharibi,Pwani wana mikoa miyatu mitatu sasa hizi sio sawa.

Takwimu halisi ni za kila mkoa kama inavyoonesha hapa chini kuanzia pg 48[emoji116][emoji116]
Gavana sio mwanasiasa we mla vumbi, Gavana ndo yuko jikoni kabisa kwenye suala la uchumi na alielezea takwimu za hivi sasa afu wewe unaleta habari za 2019, kwa akili yako fupi hata ukisikia watanzania tuko 60M utabisha na kuleta takwimu za sensa ya 2012 kama sio upimbi ni nini!. Na mwakani ukisikia kanda ya ziwa inachangia 28% usishangae make huku sasa mambo ni [emoji91] [emoji91] na jana tu limewekwa jiwe la msingi ujenzi wa standard gauge wenye thamani ya trillions 3.1, juzi umezinduliwa mtambo mkubwa wa kuchenjua dhahabu, wanamisungwi nao watafanya kazi zaidi badala ya kupoteza muda kutafuta maji rais keshazindua mradi wa maji sasa maji yako ndani, BOT nao jengo lao limezinduliwa kazi itaendelea kwelikweli.
Na standard gauge ikikamilika tutachangia 35% na hapo ndo utajinyonga kabisa.
 
We nae ni kiazi kilichochangamka.

Kama 16% ya population inachangia 26% ya uchumi (zaidi ya robo nzima), maana yake hiyo 84% iliyobakia inachangia 74% tu ya uchumi. Sasa huoni kama hiyo 16% ina ngivu zaidi? Sijui unaandika upupu gani!!

Pili mikoa 6 kati ya 31 ambayo ni 19% ya mikoa yote kama inachangia zaidi ya robo ya uchumi hiyo mikoa 25 yote iliyobaki inachangia nini??

Ina maana tukiwa na kanda nyingine yenye nguvu kama kanda ya ziwa, hizi kanda mbili zitachangia 52% ya uchumi (zaidi ya nusu ya uchumi wa nchi nzima). Hizo kanda nyingine zitakuwa zinafanya ujinga gani??

Unaonekana umejaa chuki tu hadi akili yako unaisahau[emoji3]
Ukibishana na mpumbavu nawe utakosa hekima na busara, huyo jamaa ana chuki sana na Mwanza pamoja na kanda ya ziwa kwa ujumla asikupotezee muda.
 
Kama wanawapiga kura wengi imekuwaje miaka yote wagombea hawatoki kwao?
Unataka kutisha watu kwa kigezo cha ukanda yaani kosa afanye mmoja uwahisishe kanda nzima?
Alifanya madudu na atapondwa kwa madudu yake.
Hawana kitu
 
Kua na wapigakura wengi sio necessarily mgombea lazima atoke kwao ila wao wanaweza kudetermine mshindi.

Na tunakoelekea tutaamza kutoa hata wagombea maana tukitoa mgombea na tukaungana kumpigia kura anashinda urais asubuhi na mapema.
Nani alikudanganya Tanzania wapiga kura ndio wanaamua ushindi na sio Nec? Hakunaga uchaguzi Tanzania ila ni maigizo.
 
Muulize tangu Tanzania inapata uhuru ni kanda gani inaongoza kutoa marais wengi? Kanda ya ziwa imetoa marais wawili kati ya sita. Ambapo kati ya hao sita, wawili wengine wametoka Zanzibar. Hii ina maana kwa Tanzania bara wanabaki wanne ambao kati yao wawili (JK wa kwanza na JPM) ni wa kanda ya ziwa na hao wawili waliobaki ndo zinagawana kanda nyingine zote zikizobaki. On top of that bado unaona positions nyingi zinazoshikwa na watu wa kanda ya ziwa zinakuwa imara sana.

These people deserve respect!
Naiangalia historia ya Tanganyika kabla ya Tanzania. Mjerumani alijua, akitaka askari ni kanda ya ziwa. Akitaka wakata mkonge ni kusini na mashariki mwa nchi. Mjerumani alipotaka wambeya alikwenda uchagani na wameendelea kusema uwongo maofisini hadi enzi ya mwingereza. Kumbuka askari walihitajika pwani. Mkonge ulilimwa morogoro na Tanga Makabila fulani yalirukwa kwa matatizo yao ya makuzi. Hata waarabu walihitaji watumwa kutoka mashariki na kati ya nchi. Makabila mengine yalieleweka ni ya watu wavivu tu!
 
hakuna watu wakarimu na wanyenyekeu kama wa kanda ya ziwa, lakini tuacheni utani jamani hakuna watu wajinga kama wasukuma yaani 40% ya wasukuma hawajui kusoma na kuandika mpaka leo hii
 
Back
Top Bottom