Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu ni Mkristo.Hiyo si ni kwa Waislamu tu?!!Innalillahi wainnailayhi rajiuun
Kweli kabisa mkuuUnasema maambukizi ni makubwa kwa idadi hiyo ya vifo na hujui walikuwa na maginjwa gani! Tusikuze mambo kuketa taharuki. Unaangalia taarifa za nje kweli?
Huo uzi unasemaje?Wakuu, kuna uzi nimeanzisha nahitaji michango yenu.
unaona ulivyo ndugu lawama hakutoa tamko umesema ametoa tamko mnasema ha ha ha ha ningekua rais ningepotezea kuliko kusikiliza kelele huko ulaya hizo nchi zinazokataa watanzania kuingia wao hawana corona eeTumia akili kufikiri ewe dada angu! Katoa tamko akiwa kanisani, why asingetoa tamko kwa umma wa watanzania wote bila kupitia kanisani!!!! Halafu muda wote umekaa kimya huku watu wakipoteza maisha na wagonjwa wakiongezeka kila day mpaka mataifa ya nje wamestopisha raia wa tanzania kuingia nchi zao wakihofia kuambukuzwa, pamoja na hayo jamaa kimyaa, sasa ndio ametoa tahadhari!!!!! Tahadhari yenyewe isiyo na msisitizo 😁
Vitabu vya dini vilipoandikwa na kukadiria kuwa umri wa binadamu ni makumi SABA, hali ya technology ilikuwa duni!! Maendeleo ya technology ndio yanayowezesha binadamu kuishi hata miaka 100 siku hizi!!...kwa hiyo vitabu vya dini vimetuandikia waafrika kwamba tutakufa mapema (70 yrs max)? Hao waliofika 80+ wako kinyume na dini?
... uko sahihi. Enzi zile ukoma ukiwa tishio; ukiitwa laana kutoka kwa Mungu leo hii ni historia kwa sababu ya maendeleo ya sayansi na teknolojia. Operesheni za moyo, ubongo, na sehemu za ndani ambazo traditionally ilikuwa lazima upasuaji ufanyike nje hadi ndani leo hata kovu halionekani.Vitabu vya dini vilipoandikwa na kukadiria kuwa umri wa binadamu ni makumi SABA, hali ya technology ilikuwa duni!! Maendeleo ya technology ndio yanayowezesha binadamu kuishi hata miaka 100 siku hizi!!
Ukoje?Huu mwandiko ...
hivi siku hizi rais ndiyo anayeangalia utawala binafsi wa watu shame on youThis is very sad, watu wote hawa wanaondoka. Kweli Magufuli ego is beyond repair.
Nie alidai ajengewe bwawa la kuogelea kwenye makazi yake kutokana na hadhi yake mara tu baada ya kuteuliwa kuwa gavana wa benki kuu,ila alikuwa mzee simple sana,mara nyingi nilikuwa namuona JKIA akiwa kajibebea kamkoba kake akiwa peke yake na bila makeke yoyote ya kutaka kuonekana yeye ni VIP.Kwa wale wasiojua Wasifu wake
Professor Benno Ndulu was the governor of the Bank of Tanzania, the country's central bank, from 2008 to 2018.
Born: January 23, 1950 (age 71 years)
Education: Northwestern University
We jua wapoInaweza ikawa ni fikra zako, kwa sababu dhamira yako imekufa.
Kila mwenye akili, furaha yake ni kusikia corona imetokomezwa. Aliyefariki hana tofauti na mimi na wewe. Pengine hakuna alichotenda tofauti na tunavyotenda sisi. Huenda alikuwa mwema na mwerevu kuliko sisi.
Tuna nini sisi hata tufurahie kifo cha mmojawetu huku sisi wenyewe hatujui kama tutavuka katikati ya janga hili la kutisha la corona na mengine mengi yatuzungukayo?
Tushirikiane na Ulimwengu nzima kupambana na corona na majanga mengine. Ni juhudi za pamoja ndizo zinazoifanya Dunia kuwa ya matumaini. Ni nani angeweza kuishi bila ya:
Chanjo ya ndui
Tiba ya kipindupindu
Tiba ya malaria
Tiba na chanjo ya kifua kikuu
Chanjo ya surua
Madawa ya magonjwa ya moyo, kisukari
Tiba za typhoid, amoebic dysentery,
Tiba za magonjwa ya zinaa
Na mengine mengi
Ni ushirikiano wa Dunia nzima ndio uliosaidia kupatikana kwa tiba hizimaana hizi dawa zote hazikugunduliwa na nchi moja au mtu mmoja. Hapo ndipo tunapooneshwa maana ya neno lile - viungo Ni vingi lakini mwili Ni mmoja. TUNAISHI KWA KUTEGEMEANA. Tumshukuru Mungu kwa ugawaji wa karama kwaajili ya ukamilifu wetu.
" Rest in peace " hili neno mnapenda sana kulitumia especially wakristo anapokufa mtu hupenda kulitamka, lakini je, neno hili linamsaidia marehemu huko anakopelekwa/kaburini???? Au mnalitamka tu kwa kufuata mabeberu!!!
Huyu alkuwa hampendiKwa taarifa za uhakika ni kuwa aliyewahi kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Profesa Benno Ndulu ametangulia mbele ya haki.
Profesa Benno Ndulu amefariki dunia asubuhi ya leo Februari 22, 2021 katika Hospitali ya Kairuki alipokuwa akipatiwa matibabu.
Profesa Ndulu alihudumu nafasi ya Gavana wa Benki Kuu Tanzania (BoT) kuanzia mwaka 2008 - 2018.
Alizaliwa Januari 23, 1950 (Miaka 71).
1. Prof. BENNO NDULLU was born on 23rd January 1950.
2. He started his career at the Udsm in the early 1980s before joining the World Bank as Lead Economist.
3. He has a PHD degree in Economics from Northwestern University, Illinois, US.
4. He was the Governor of the Bank of Tanzania from 8th January 2008 to 7th January 2018. He was, hitherto, the Deputy Governor, Economic & Financial Policies from 1st July 2007 to 7th July 2008.
5. He is the only Tanzanian to have served as Deputy Governor and Governor of the Bank of Tanzania.
6. On 13th October 2015, Prof. NDULLU was named as Africa's Best Central Bank Governor and awarded - "The Central Bank Governor of the Year 2015 in Africa".
7. In 2009, a renowned International London-based Emerging Markets magazine named Prof. NDULLU as the Best Central Bank Governor of Africa, during the Annual meetings of the WB & IMF.
8. On 7th January 2016, Prof. NDULLU was appointed as the Chairman of the Board of Directors of the Alliance For Financial Inclusion (AFI), a global network of financial policymakers . AFI is member-based and member- owned. Its members are Central Banks and Regulatory institutions.
9. On 27th September 2019, South Africa's President, CYRILL RAMAPHOSA, appointed Prof. NDULLU as a member of the new Presidential Economic Advisory Council.
10. Early this week, His Excellency ABIY AHMED, the Prime Minister of Ethiopia appointed Prof. NDULLU in the same capacity on the recommendation of Dr. YINAGER DESSE, the Governor of the Central Bank of Ethiopia.
11. Prof. NDULLU has just turned down a similar offer from His Excellency PAUL KAGAME of Rwanda due to his busy schedules.
12. Prof. NDULLU is in his final year sitting on the Board of Directors of the Bill and Melinda Gates Foundation.
13. Prof. NDULLU has got a Special Talent Resident Permit given by the British Government for his involvement in the Board of Directors of Oxford where he spends most of his time. The said Special Talent Resident Permit is for 5 years to live in Britain. Prof NDULLU is one of very few exceptional Africans to be accorded this Distinguished honour and privilege.
Prof. Benno Ndullu, biography &CV
*SHKAMOOO PROF. BENNO NDULLU!!!*[emoji119][emoji119][emoji119] 1. Prof. BENNO NDULLU was born on 23rd January 1950. He is now 69 years old. 2. He started his career at the Udsm in the early 1980s before joining the World Bank as Lead Economist. 3. He has a PHD degree in Economics from...www.jamiiforums.com
Taarifa nimeipataHii ok ni ya nini?