Gavana wa Benki Kuu Tanzania, Florens Luoga abadilishwe haraka

Gavana wa Benki Kuu Tanzania, Florens Luoga abadilishwe haraka

Gavana ni kama CAG au jaji... ukishamteua kumng'oa ni kazi
Hawa watu wanaibukaga tu bila kusoma security of tenure ya aliueteuliwa wanataka kutumia mabavu kama ambavyo ilivyokuwa hapo nyuma wakamtimua Prof. Assad bila kufuata utaratibu.
 
Toka lini mwanasheria ajue kusoma financials eg balance sheet ndo maana mambo yanajiendea tuu hapo bot. Akiona numbers anaona 'duble duble' tuu anasaini dokezo akiwa hajielewi.
Kusoma Balance sheet sio kazi ya gavana wa benki kuu. Yule ni mtawala tu na Sheria ya uteuzi imewataja wanasheria au mhasibu. Unless tuangalie duties zake ambazo zipo kisheria kama inahitaji mhasibu pekee.
 
Jamani huyo proffessor atolewe ni incompetent kuongoza benki kuu. Halafu ana dharau na roho mbaya sana anatesa saana wanafunzi wake wa research wakienda anawatupia karatasi usoni. Huyu prof ni mlevi mnooo duh hivi taarifa zake hawa viongozi wetu hawazipati jamani mbona tabia zake zinajulikana kila mahali.
Duuuh [emoji134][emoji134]
 
Nani kakwambia ni kazi yake? Hujiekewi wewe akijua kusona hizo sheets ni rahisi kutafsiri hali ilivyo hivyo kuja na sera za kiuchumu sahihi anakuwa well informed wakati anafanya maamuzi mana huyu pia ni bodi chair wa bot ana kura ya veto vikaoni sasa asipojua financials na uchumi inakuwaje? Tuna wachumi wengi wabobezi kwa nini wanaachwa? Huyu bot hafit anafit sehemu zingine za sheria mbona zipo wampeleke huko.
Kusoma Balance sheet sio kazi ya gavana wa benki kuu. Yule ni mtawala tu na Sheria ya uteuzi imewataja wanasheria au mhasibu. Unless tuangalie duties zake ambazo zipo kisheria kama inahitaji mhasibu pekee.
 
Nani kakwambia ni kazi yake? Hujiekewi wewe akijua kusona hizo sheets ni rahisi kutafsiri hali ilivyo hivyo kuja na sera za kiuchumu sahihi anakuwa well informed wakati anafanya maamuzi mana huyu pia ni bodi chair wa bot ana kura ya veto vikaoni sasa asipojua financials na uchumi inakuwaje? Tuna wachumi wengi wabobezi kwa nini wanaachwa? Huyu bot hafit anafit sehemu zingine za sheria mbona zipo wampeleke huko.
BOT Kuna wachumi wameajiriwa hapo na ndio wanafanya briefing kwenye Board unless huelewi kwamba BOT ni Corporate body. Tafadhali tusibishane sana elewa unavyoelewa kama hujaelewa.

Gavana anakuwa kama governing person wa management tu, kazi zote za uchambuzi hufanyika kwenye idara husika mzee. That's how corporate world runs.

Na kwenye Board Kuna governing committees ambazo hupitia then humshauri Mwenyekiti wa Board. Hapo Gavana anakuwa ameshapewa briefing na management na huwepo kujibu kama issues zitaibuka na wao hurudi kuandaa majibu kupitia idara husika.

Gavana is just the same as CEO ajue management na lawyers they fit into that position worldwide accepted.
 
Ngojeni dawa iwaingie. Mtapendekeza marafiki zenu hadi kiama. Tanzania ni ya Watanzania wote sio wachache tu wafaidi keki ya Taifa.
 
Hii ni muhimu sana watu kujua sio kuangaliua upande mmoja tuu, na usisahau inflation na mikodi msururu inavyotafuna faida za Bank
Mikopo chechefu inachangiwa na hayo mariba yao makubwa ambayo licha ya yote bado yanatengeneza faida kubwa kupindukia kwa maumivu ya wakopaji.
 
Ehe ndo mana anaandikiwa na kusaini tuu ndio sababu riba kwa wateja juu na mabenki riba chini. Hiyo communication kasaini tuu bila kufanyia kazi prudent economist asingefanya hivyo
BOT Kuna wachumi wameajiriwa hapo na ndio wanafanya briefing kwenye Board unless huelewi kwamba BOT ni Corporate body. Tafadhali tusibishane sana elewa unavyoelewa kama hujaelewa.

Gavana anakuwa kama governing person wa management tu, kazi zote za uchambuzi hufanyika kwenye idara husika mzee. That's how corporate world runs.

Na kwenye Board Kuna governing committees ambazo hupitia then humshauri Mwenyekiti wa Board. Hapo Gavana anakuwa ameshapewa briefing na management na huwepo kujibu kama issues zitaibuka na wao hurudi kuandaa majibu kupitia idara husika.

Gavana is just the same as CEO ajue management na lawyers they fit into that position worldwide accepted.
 
Ehe ndo mana anaandikiwa na kusaini tuu ndio sababu riba kwa wateja juu na mabenki riba chini. Hiyo communication kasaini tuu bila kufanyia kazi prudent economist asingefanya hivyo
Well, nakuelewa Ila basi hakuna sababu ya kuajiri other prudent economists ambao wanapewa kazi ya kuongoza idara as directors. Basi ili kuondokana na hayo na gharama zote tumuajiri gavana ambaye ni mchumi awe kama mwalimu mkuu au unaonaje?

That being the case itabidi gavana awe anasahihisha kazi za director wa idara si ndio? Hiyo sio management brother I have experience ya miaka zaidi ya 14 sasa kwa management nielewe tu.

Yani gavana apokee wageni, apigiwe na Rais aangalie mishahara kama imelipwa, adeal na bunge, adeal na Treasury na bado ashike balance sheet??? I think huelewi nachoongea mzee. I beg to rest my pen.

Kumbuka gavana ni ofisi sio mtu ana wasaidizi pia including PA ambae lazima ni mchumi au mwanasheria so gavana akiwa mchumi hupewa PA mwanasheria ili amsaidie na akiwa Mwanasheria anapewa mchumi it goes that way mazee na bado Ile ofisi ya gavana Kuna wasaidizi wakiwemo assistant governors wanaitwa majina yao I think Yani ni chain ndefu mazee. Haipo hivyo Kama unavyosema.
 
Toka lini mwanasheria ajue kusoma financials eg balance sheet ndo maana mambo yanajiendea tuu hapo bot. Akiona numbers anaona 'duble duble' tuu anasaini dokezo akiwa hajielewi.

Sio kazi yake hiyo.. CEO wa Toyota amezaliwa ukoo wa Toyota ila hajui hata engine inatengenezwaje na wala balance sheet inatengenezwaje ila ndie bosi wa Toyota dunia nzima. Gavana wa Bot sio kazi yake.. idara husika itazisoma hizo balance sheet na kumwelekeza
 
Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.

Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani

1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka

Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.

Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.

Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.

Zitto , Mwigulu Nchemba
Huyu ndio yule aliyeshiriki wizi wa fedha kwenye Bureu De Change uliosimamiwa na jeshi ?
 
Sio kazi yake hiyo.. CEO wa Toyota amezaliwa ukoo wa Toyota ila hajui hata engine inatengenezwaje na wala balance sheet inatengenezwaje ila ndie bosi wa Toyota dunia nzima. Gavana wa Bot sio kazi yake.. idara husika itazisoma hizo balance sheet na kumwelekeza
Now you are coming to my premise, CEO hajui hata business trend yeye pia ana washauri (consultants) ukiacha waajiriwa wa kwenye management ambao nao ni wataalamu.

You don't have to be a professional wa uchumi kuweza kuongoza bank as long unajua banking business au umekulia kwenye any business. You can manage a business as long una utaalamu wa management ya biashara so inategemea ni aina gani una utaalamu nayo hata kama sio mtaalamu that's why wasomi wote na utaalamu wa business administration au management au any other na wengine hawana hata elimu Ila wanakuwa CEO wazuri sana .

Nakupa mfano wa matajiri wa malori na mabasi au mahoteli, unamjua marehemu mzee Mfugale alikuwa owner na CEO wa Peacock Hotels? Yule mzee ni standard seven Ila aliweza kujenga Mali kutoka kwenye umoja wake akaingia kwenye mabasi ya Kwacha na baadae akaondoka akahamia kwenye biashara ya leisure na akafanikiwa sana mpaka kifo chake . Alimuajiri mwanae ambae alikuwa anafanya UN bwana Vitus Mfugale kama mkurugenzi mkuu na akamlipa same amount ya mshahara wa UN Ila ni mwanae na akawatosa wanae wengine but simply hakutaka waingie kwenye biashara yake lakini walibaki kwenye supply na Mambo mengine wakisubiri urithi tu. Alikuwa anatumia utaalamu wa Vitus tena lately sio wakati anachuma hela.

So haihitaji kuwa mtaalamu wa hiyo sekta ili uweze kuongoza uongozi ni kitu kingine otherwise hata Rais angekuwa anasomea Urais
 
Huyu profesa si tu apigwe chini bali tuende mbele zaidi asomewe mashtaka mahakamani ya makosa ya uhujumu uchumi
Nakuunga mkono kwa 100%

Ujue Prof. Luoga kafeli sana ku manage BOT.. BOT inatoa directives riba zishuke, wakati BOT ishatoa tamko kuwa itatoa mikopo kwa mabenki kwa 7% ili wananchi wapewe kwa 9% - 10% yeye Gavana yuko tu, as if nothing is going on.

Yaani serikali ingesimamia hili wananchi wapewe mikopo kwa riba nafuu ya 9% or 10% uchumi wa wananchi ungechochewa haraka na maisha ya wananchi wetu wengi kubadilika haraka, within few years. Serikali ingeweka mkazo kwa hili, ajira nyingi binafsi zingetengenezwa, kwani riba sasa hivi ziko juuuuuu sanaa, na wananchi wengi hawawezi kukopa, kila mwaka mabenki yanatangaza billions of tshs kama profits ila maisha ya wananchi yazidi kuwa duni.

Kwa hili pekee, ameonyesha udhaifu mkubwa sana Prof. Luoga.

Nashauri apigwe chini kabisa.
 
Sasa wewe naona unaongea vitu usivyovijua, Gavana ni mtu wa utawala tu. Na sehemu hiyo kwa taaluma yake, ni anastahili. Hizo kazi unazompa ahusiki nazo kabisa, kama ulikutana na magumu huko kwenye kukopa basi ilaumu serikali na sera zake na si yeye.

Hizo benki kunufaika ingekuwa ni kinyemela, basi hatua kubwa ingeshachukuliwa. Ila kama kumekaliwa kimya basi elewa serikali ina baraka zake huko, pia inanufaika kupitia kodi wanazozitoza kwa taasisi hizo. Kimaana nyingine nao ni wanufaika kwenye mafaidiko hayo. Jambo jingine la kujiongeza ni kuangalia na hizo benki zinatozwa vipi hivi sasa, ndiyo uje kuhitimisha na kusema wananufaika wao. Na si kukandamizwa ukimbilie kutoa uzi ukiishia kulaumu.

Hebu jaribu kutumia akili yako pia, unawezaje kujua hili wewe wa huku chini na wao wasifahamu lolote lile. Umelionea kwenye ramli?
Haiwezekani hii, wana data za kutosha kuliko wewe. Ukiona hivyo ujiongeze tu, usilaumu asiyehusika na kumpendekeza mtu kisa mtazamo wa kisiasa.

B.O.T haijiendeshi kihuni hadi ifikie kujiwekea tu taratibu zake, bali ni kwa sera maalum za serikali. Gavana hawezi kuhusika hapo kwani hapangi yeye hayo mambo, ni kiongozi pekee kulingana na taaluma yake ya sheria ndiyo anafaa kuwa kiongozi. Watu wa uchumi sehemu hizi za uongozi si wazuri sana, labda watu wa waliyobobea kwenye Business administration.
 
Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.

Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani

1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka

Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.

Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.

Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.

Zitto , Mwigulu Nchemba
Nashangaa sana watu kusifia Uzi huu ambao haukidhi Vigezo vya Uweledi.
Kama tatizo ni Taaluma ya Gavana, tueleze TOFAUTI ya Utendaji wa Ma-Gavana waliomtangulia, waliokuwa Wachumi wabobezi, kuhusu RIBA za Mabenki zilivyobadilika baada ya Mwanasheria Nguli kuwa Gavana.
Hali ya Riba za Mabenki tangu tupate Uhuru zimeendelea kuwa juu.
Kwa nini hivi sasa zinahusishwa na Taaluma ya Gavana?
Au Wachumi wanafikiria kuwa nafasi ya Gavana ni mali yao?
 
Mtoa mada Pooote umepatia, lkn ulipomtaja ASSAD tu ndio umeteleza. Yule Bw.Mropokaji, Mtatata, Asiye siri, Ana Visasi na Vinyongo kibao. Kwa kifupi msiba wa Jiwe umefanya tuuujue Wasifu wa Viongozi wetu wengi akiwemo Assad. Huyu Bw.kazi pekee inamfaa akawe Mwalimu wa Madrassa au akarithi mikoba ya Maaalim Seif kule Zenjiber
 
Back
Top Bottom