Hawa watu wanaibukaga tu bila kusoma security of tenure ya aliueteuliwa wanataka kutumia mabavu kama ambavyo ilivyokuwa hapo nyuma wakamtimua Prof. Assad bila kufuata utaratibu.Gavana ni kama CAG au jaji... ukishamteua kumng'oa ni kazi
Kusoma Balance sheet sio kazi ya gavana wa benki kuu. Yule ni mtawala tu na Sheria ya uteuzi imewataja wanasheria au mhasibu. Unless tuangalie duties zake ambazo zipo kisheria kama inahitaji mhasibu pekee.Toka lini mwanasheria ajue kusoma financials eg balance sheet ndo maana mambo yanajiendea tuu hapo bot. Akiona numbers anaona 'duble duble' tuu anasaini dokezo akiwa hajielewi.
Naona umefura kama chura wa jangwani, bugia boga upunguze stress jombaa [emoji12][emoji12]Hiv huyo Asadi ndio umemuona anafaa sana kma amekutuma mwambie yye ni makalio tu
Duuuh [emoji134][emoji134]Jamani huyo proffessor atolewe ni incompetent kuongoza benki kuu. Halafu ana dharau na roho mbaya sana anatesa saana wanafunzi wake wa research wakienda anawatupia karatasi usoni. Huyu prof ni mlevi mnooo duh hivi taarifa zake hawa viongozi wetu hawazipati jamani mbona tabia zake zinajulikana kila mahali.
Kusoma Balance sheet sio kazi ya gavana wa benki kuu. Yule ni mtawala tu na Sheria ya uteuzi imewataja wanasheria au mhasibu. Unless tuangalie duties zake ambazo zipo kisheria kama inahitaji mhasibu pekee.
BOT Kuna wachumi wameajiriwa hapo na ndio wanafanya briefing kwenye Board unless huelewi kwamba BOT ni Corporate body. Tafadhali tusibishane sana elewa unavyoelewa kama hujaelewa.Nani kakwambia ni kazi yake? Hujiekewi wewe akijua kusona hizo sheets ni rahisi kutafsiri hali ilivyo hivyo kuja na sera za kiuchumu sahihi anakuwa well informed wakati anafanya maamuzi mana huyu pia ni bodi chair wa bot ana kura ya veto vikaoni sasa asipojua financials na uchumi inakuwaje? Tuna wachumi wengi wabobezi kwa nini wanaachwa? Huyu bot hafit anafit sehemu zingine za sheria mbona zipo wampeleke huko.
Mikopo chechefu inachangiwa na hayo mariba yao makubwa ambayo licha ya yote bado yanatengeneza faida kubwa kupindukia kwa maumivu ya wakopaji.Hii ni muhimu sana watu kujua sio kuangaliua upande mmoja tuu, na usisahau inflation na mikodi msururu inavyotafuna faida za Bank
BOT Kuna wachumi wameajiriwa hapo na ndio wanafanya briefing kwenye Board unless huelewi kwamba BOT ni Corporate body. Tafadhali tusibishane sana elewa unavyoelewa kama hujaelewa.
Gavana anakuwa kama governing person wa management tu, kazi zote za uchambuzi hufanyika kwenye idara husika mzee. That's how corporate world runs.
Na kwenye Board Kuna governing committees ambazo hupitia then humshauri Mwenyekiti wa Board. Hapo Gavana anakuwa ameshapewa briefing na management na huwepo kujibu kama issues zitaibuka na wao hurudi kuandaa majibu kupitia idara husika.
Gavana is just the same as CEO ajue management na lawyers they fit into that position worldwide accepted.
Well, nakuelewa Ila basi hakuna sababu ya kuajiri other prudent economists ambao wanapewa kazi ya kuongoza idara as directors. Basi ili kuondokana na hayo na gharama zote tumuajiri gavana ambaye ni mchumi awe kama mwalimu mkuu au unaonaje?Ehe ndo mana anaandikiwa na kusaini tuu ndio sababu riba kwa wateja juu na mabenki riba chini. Hiyo communication kasaini tuu bila kufanyia kazi prudent economist asingefanya hivyo
Toka lini mwanasheria ajue kusoma financials eg balance sheet ndo maana mambo yanajiendea tuu hapo bot. Akiona numbers anaona 'duble duble' tuu anasaini dokezo akiwa hajielewi.
Hahaaa, kumbe una lako moyoni. Ungeshuka madini tu bila kuweka hichi kibwagizo ungekuwa powa sana!Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.
Huyu ndio yule aliyeshiriki wizi wa fedha kwenye Bureu De Change uliosimamiwa na jeshi ?Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.
Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani
1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka
Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.
Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.
Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.
Zitto , Mwigulu Nchemba
Now you are coming to my premise, CEO hajui hata business trend yeye pia ana washauri (consultants) ukiacha waajiriwa wa kwenye management ambao nao ni wataalamu.Sio kazi yake hiyo.. CEO wa Toyota amezaliwa ukoo wa Toyota ila hajui hata engine inatengenezwaje na wala balance sheet inatengenezwaje ila ndie bosi wa Toyota dunia nzima. Gavana wa Bot sio kazi yake.. idara husika itazisoma hizo balance sheet na kumwelekeza
Nakuunga mkono kwa 100%
Ujue Prof. Luoga kafeli sana ku manage BOT.. BOT inatoa directives riba zishuke, wakati BOT ishatoa tamko kuwa itatoa mikopo kwa mabenki kwa 7% ili wananchi wapewe kwa 9% - 10% yeye Gavana yuko tu, as if nothing is going on.
Yaani serikali ingesimamia hili wananchi wapewe mikopo kwa riba nafuu ya 9% or 10% uchumi wa wananchi ungechochewa haraka na maisha ya wananchi wetu wengi kubadilika haraka, within few years. Serikali ingeweka mkazo kwa hili, ajira nyingi binafsi zingetengenezwa, kwani riba sasa hivi ziko juuuuuu sanaa, na wananchi wengi hawawezi kukopa, kila mwaka mabenki yanatangaza billions of tshs kama profits ila maisha ya wananchi yazidi kuwa duni.
Kwa hili pekee, ameonyesha udhaifu mkubwa sana Prof. Luoga.
Nashauri apigwe chini kabisa.
Nashangaa sana watu kusifia Uzi huu ambao haukidhi Vigezo vya Uweledi.Nasikitika sana kwa kushidwa kazi aliyopewa gavana wetu wa bank kuu Florens Luoga. Huyu gavana ni chaguo baya sana ambalo limewahi kutokea. Tujue tu kwamba huyu professor ni mwanasheria na sio mwana uchumi au mhasibu. Nashauri apewe Prof Mussa Assad kwa muda wa mpito.
Sababu moja ni kwamba bank kuu imepunguza riba za t-bills mpaka 7% kwa lengo la kupunguza mikopo ya bank za biashara ili ziwe 10%. Mara nyingi bank zina weka 2%-3% zaidi ya rate za bank kuu. Cha ajabu bank karibu zote zinatangaza riba za mikopo kuanzia 16% na utoaji wa mikopo ni riba za 21% kwa wenye hati za nyumba na mikopo mingine inaenda hadi 24%. Tusishangae banks zinaonyesha zinapata faida za ajabu wakati wakopaji wamepungua kutoka 24% mpaka chini ya 10%. Je hii ina maana gani
1. Ameshidwa kuongoza hizi bank au hajui kuziongoza. Hizi bank zime hakikisha zina marafiki serikalini na wakurugenzi wamekuwa na nguvu kuliko gavana wa bank kuu. Raisi alienda uingereza na mkurugenzi wa CRDB na sio gavana wa bank kuu. Hivyo imekuwa kama vile Professor hawezi hata kusimamia hizi bank .
2. Kuna miradi ya serikali wanachukuwa mikopo bank na ni wizi wa ajabu kama mradi wa serikali unachukuwa mkopo wa zaidi ya 10% kwa mwaka
Nitoe tu mfano nchi nyingine bank wanafanyaje US mfano bank kuu yao ina riba ya 2% na bank za biashara zinatoa mikopo kwa sasa ya 3%-5% yaani wanaongeza si zaidi ya 3% lakini tanzania bank ya biashara inaongeza kutoka 7% mpaka 21% ambayo ni ongezeko la 14%!!!. Hii maana yake ni kwamba biashara zisikotumia mikopo pesa nyingi ambazo zingetumia kuajiri wafanyakazi wapya, ununuzi na upanuaji wa biashara unasimama au unachukuwa muda mrefu. Hii inapunguza pesa kwenye mzunguko, inapunguza ajira na inakuwa vigumu kampuni zetu kushindana bila kuwa na pesa za mitaji.
Nchi zinazoendelea zina vitu vitatu vikubwa (1) Watu wanaojua kufanya kazi (2) Teknologia inayowezesha uzalishaji wa viwango na ufanisi (3) Upatikanaji wa mikopo nafuu. USA wasingekuwa na uchumi mkubwa kama mikopo ingekuwa 16%, 21% na 24%. Uchumi wa nchi hizi ungekuwa matatani sana sana. Sasa cha ajabu bank zinatoa mikopo ya 16%, 21% na 24% wa gavana kanyamaza tu!, waziri naye kanyamaza, Raisi naye kanyamaza!. Lakini vilevile Makamu wa Raisi Mpango anajua hili naye kanyamaza. Kwenye vitu muhimu kama hizi Rais, waziri na gavana waweke siasa na urafiki pembeni. Ni wafanya biashara wachache sana wanaweza kwenda kukopa nchi nyingine. Mo mfano ilibidi aende mpaka south Africa kukopa lakini wafanyabiashara wadogowadogo hawataweza kukuza biashara zao kwa riba hizi.
Lakini hata tukiacha yote hayo kwa kitendo cha Gavana wa bank kuu kushidwa kupunguza mikopo mpaka 10% kwa wafanyabiashara inatosha sana kumfukuza kazi. Waziri naye akishidwa kuongelea hili inabidi naye apishe wengine. Mwigulu ni mwana Ilboru mwenzangu lakini kama hili swala la riba halitapata ufumbuzi mapema inabidi aondolewe.
Zitto , Mwigulu Nchemba