Gavana wa Benki Kuu Tanzania, Florens Luoga abadilishwe haraka

Wivu tu unakusumbua.......
ukiona kuna mapungufu toa ushauri.....
unaposema atolewe manake nini!!?
si wivu wa kike huu!
 
Huyo jamaa ana hasira na Magu!!?
unfortunately Magu keshatangulia mbele za haki......
so amekosa mtu wa kuleteana nae mabifu
ameshikwa na 'mhaho'
 
Uzi mzuri sana nashangaa baadhi ya vilaza hapo juu wanataka kuharibu uzi.
Mjadala zaidi unahitajika kwny hii ishu ya riba za mabank hapa Tanzania.
Riba zikiongezwa manake serekali inataka ku control inflation/money supply kwenye uchumi.
ku discourage wakopaji wengi
 
Umeeleza vizuri sana sasa kwa kichwa chenye akili ndogo kama cha mleta mada kinadhani Gavana anafanya kila kitu
 

Wewe mwanauchumi gani ambaye analinganisha nchi mbili zinazotofautina mbingu na ardhi kwenye vigezo vyote vya uchumi na mifumo ya kitaasisi. Yaani katika nchi zooote una draw examples from US..
 
Nimeona ametoa waraka kuwashugulikia maafisa wa benki wenye mikopo chechefu.

Huyu jamaa sasa naelewa ni kwa nini kipindi cha uteuzi wake waungwana walipinga sana.

Kama anashundwa kuelewa tu sababu zinazosababisha mikopo chechefu atawezaje kusimamia mustakabali wa uchumi wa nchi yetu.
 

kwenye ulevi hapo muache naye ale bata ndio starehe yake hiyo inayompa burudani..

Kwenye kutumia makaratasi usoni wanafunzi wake hapo sikubaliani naye ila hao wanafunzi nao mafala, siku mmoja naye wamtie vitasa tu na ukiulizwa unasema alikuwa ananipapasa anashika shika machine eti nimgonge....
 
Asante kwa uzi mzuri. Namkaribisha mtaalamu mwingine Naantombe Mushi atie nyama
Ngoja nichambue.. ntamwaga madini hapa

Mkuu nimesoma uzi na comments ila naona kuna falacies nyingi. Kuna hoja za msingi ndio ila kuna hoja nyingine inaonekana hazipo sahihi.. Itabidi kutulia niandike uzi kabisa lakini lazima nita address issues za mtoa mada
 
Ulevi gani wa kulewa kwa aibu wewe ukiwa kiongozi?
 
Kama ndo hivyo mmeifanya bot kuwa chombo kinachoweza kuendeshwa na yeyote hata na housegirl maana anakaa tuu kazi inafanywa na mgt na committes za bodi.
 
Hujielewi wewe governor ni mwenyekiti wa vikao vikao vikubwa vinavyofanya maamuzi mfano mgt na bodi. Sasa propasal fulani ya sera za uchumi inaletwa kikao cha mgt yeye kama chair na ulewa wake mdogo wa uchumi hawezi kupinga au kuwarekebisha kwa chochote kazi yake kuangalia tuu upepo unaendaje halafu maamuzi yanafanywa kirahisi hivyo. Proposal inaenda bodi yeye ni chair kunakuwa hajuna mabadiliko. Mnaona hii ni sawa tuùuu lol!
 
Hujielewi utendalo kama huyo prof
 
Wanasheria naona imewauma sana lakini gavana kawa angusha sana bank kuu sio siasa. Huyu mzee amepwaya sana kama mikopo isikofika 10% akapumzike tu . Hata kimei kasema riba zinatakiwa kuwa chini sasa haina ubishi. Isiposhuka tutahakikisha anatoka kwa manufaa ya nchi.
 
Kama ni rahisi hivyo pelekeni hata std 7 akawe governor. Hivi huelewi kuwa governor kazi yake kubwa ni ni ku- govern bot sasa anagovern nini ikiwa hana uelewa na abc za fedha na uchumi?
 
Ww jamaa inaonesha umeshikwa pabaya na huyu gavana na unatetea mkate wako usichukuliwe!!!
 
Hapa ndo naona umuhimu wa kiongozi dikiteta........maana ni kutangaza tu BOT imepunguza riba kwa mabanki, Serikali inatangaza kuanzia sasa riba za mabalenki kwa wananchi izisidi 10&.
Benki itakayokaidi itaongezewa riba na BOT.
Au nasema uongo ndugu zangu!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…