Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeleta sifa zao, ndio maana likaja jibu. ..ya gereji ni ya mafundi..Lakini Luoga hajaharibu isitoshe uzalendo utakusaidia nini kama
hauijui fani? Wewe ukiambiwa upeleke gari gereji atakayekutengenezea ni Mwaminifu lkn siyo fundi magari utakubali akutengezee gari kwa kuwa tu ni mwaminifu?
Profesa ni Mwalimu tu wa kiwango cha juu kwenye chuo kikuu. Kazi ya Profesa ni kufundisha na kufanya tafiti.
PhD au shahada ya Uzamivu hupewa mtu aliyetafiti eneo moja kwa undani zaidi.
JD ya Governor wa BOT inahitaji mtu mwenye BA ya uchumi na uzoefu kwenye uchambuzi wa masuala ya uchumi usiopungua miaka 10, huku Masters au PhD zikiwa added advantage
Benki Kuu siyo chuo ambapo taaluma ya kufundisha inahitajika. Tutuba atakuwa ni Governor wa 3 asiye Professor Wala PhD kushika nafasi hiyo ikiwa ni pamoja na Charles Nyirabu (BA) na Rutihinda ( MA).
Tutuba ana sifa zote zinazotakiwa kwa kazi hiyo
Kwahiyo tutuba nitissBoT wanaweka manyoka tu uzoefu utaukuta hukohuko,mbona Luoga hajui hata balance sheet inafananaje
BoT imejaa TISS kwa asilimia kubwa,si ajabu akawa mmoja waoKwahiyo tutuba nitiss
Nimekujibu kwa hoja ya sifa zao....professor na MBA...kuwa professor bila uzalendo ni bora mwenye MBA mzalendo...Kuna uhusiano wewe umesema muhimu ni uzalendo nikajaribu kukwambia uzalendo bila ya umahili wa fani haikusaidii kitu!
Mimi binafsi naona Luoga aliharibu,mabenki yaliyumba sana kipindi chake na mzunguko wa pesa ulitikisika mno,Lakini Luoga hajaharibu isitoshe uzalendo utakusaidia nini kama
hauijui fani? Wewe ukiambiwa upeleke gari gereji atakayekutengenezea ni Mwaminifu lkn siyo fundi magari utakubali akutengezee gari kwa kuwa tu ni mwaminifu?
Sasa akiwa ??BoT imejaa TISS kwa asilimia kubwa,si ajabu akawa mmoja wao
"Watavurunda!!!!"Hakuna aliye bora kati ya hao wawili uliowataja, maana wote watavurunda tu!
Ni kweli Luoga alikuwa mahiri kwa sheria kuliko uchumi na transaction za kibenki,to me hakustahili kukalia kile kitiTax lawyer anauhusiano na financial system, kuna mambo mengi sana kwenye financing yanayohitaji umahili wa Sheria, maamuzi mengi nchi inayochukuwa ni kisheria, …
Hueleweki unachoongeaSasa akiwa ??
Tunataka matokeo sio porojo hapa.
Tunazungumzia uchumi wa nchi sio pride ya taasisi.
Sasa kama wamejaa Tiss wanaripoti Nini?BoT imejaa TISS kwa asilimia kubwa,si ajabu akawa mmoja wao
Nchi ina wachumi wengi sana wazuri ambao wangeweza kumshauri vyema rais wao wakawa wanashauriwa tu mambo ya kisheria, sasa gavana ndio akawa anashauriwa zaidi maswala ya kiuchumi na yeye akitoka hapo akamshauri Rais, BOT is all about economy, Luoga alikuwa layman kwenye hiyo sektaKwa nini?
Wanalinda maslahi ya nchiSasa kama wamejaa Tiss wanaripoti Nini?
Nchi ina wachumi wengi sana wazuri ambao wangeweza kumshauri vyema rais wao wakawa wanashauriwa tu mambo ya kisheria,sasa gavana ndio akawa anashauriwa zaidi maswala ya kiuchumi na yeye akitoka hapo akamshauri Rais,BOT is all about economy,Luoga alikuwa layman kwenye hiyo sekta