mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Nikweli ,ila tunatarajia gavana awe mahiri kwenye finance na awe na washauri wazuri wa kisheria and not vice versaHuwezi kutenganisha Finance na Sheria, …
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikweli ,ila tunatarajia gavana awe mahiri kwenye finance na awe na washauri wazuri wa kisheria and not vice versaHuwezi kutenganisha Finance na Sheria, …
Tutuba siyo TISS, Ila Naibu Gavana wake mmoja ni yeye!BoT imejaa TISS kwa asilimia kubwa,si ajabu akawa mmoja wao
reforms zilifanyika kipindi cha Prof.Benno Ndullu!
Tena asiye na Bachelor degree bali mwenye equivalent to degreeKwahiyo kaka mkuu governor sio Dr. wala professor just a Mr.
Unajua hawa watu utakuta wanao ka-uwezo fulani hivi ka kuzipanga zile free forces za supply and demand zikakae pahala
Aiseh watu wanakulapo nchi shule hizi sio mchezo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Gavana mpya Tutuba!
View attachment 2476668
Tutuba holds an advanced Diploma economic planning and MBA in corporate management from Mzumbe Uni vs Luoga a tax law Professor who (Luoga) is accredited for helping Tanzania attain macroeconomic stability, …by Bloomberg
Bloomberg - Are you a robot?
www.bloomberg.com
Kwa uzoefu wangu MA- Dr na Maprofesa ni weak katika practice, wenye Masters level wengi ni wazuri sana, huyo ni college mate wa CRDB Ceo na wote ni Masters holders, just compareKwahiyo kaka mkuu governor sio Dr. wala professor just a Mr.
Unajua hawa watu utakuta wanao ka-uwezo fulani hivi ka kuzipanga zile free forces za supply and demand zikakae pahala
Aiseh watu wanakulapo nchi shule hizi sio mchezo
Jamaa ana advanced diploma ya 2000 so iko relevant kabisaTax lawyer anauhusiano na financial system, kuna mambo mengi sana kwenye financing yanayohitaji umahili wa Sheria, maamuzi mengi nchi inayochukuwa ni kisheria, …
Hii ni hoja dhaifu main ni finance na tools ni sheria una outsource tuu sio key factorHuwezi kutenganisha Finance na Sheria, kila kitu kinataka sheria, financial system ni sheria, bila uelewa wa Sheria huwezi kufanya chochote kwenye financial system, hata hiyo mikopo wanachukuwa ni sheria inatumika bila ya uelewa wake you are doomed, …
Kumbe uRAS ni deal. Nilikuwa nafikiri a ni cheo cha kawaida tu Kumbe... Siku hizi kila mtu akiula utasikia kapitia URAS somewhere!!Uzoefu unaoatikana kazini mkuu.
Kafanya kazi hapo hazina kwa muda wa kutosha hadi kufanikiwa kuwa Kamishna Msaidizi wa Bajeti kabla ya kuwa RAS kisha PST na hatimaye Governor.
The best Governors ever Tanzania walikua Edwin Mtei na Charles Nyirabu wote walikua masters holderUzoefu upi?
Luoga ni Professor wa Tax law, …
Kwa uzoefu wangu MA- Dr na Maprofesa ni weak katika practice, wenye Masters level wengi ni wazuri sana, huyo ni college mate wa CRDB Ceo na wote ni Masters holders, just compare
Hii elimu yetu ya kuangalia makaratasi badala ya uwezo wa kuongoza wa mtu.Rais wa Benki ya Dunia 2012-2019 Jim Yong Kim alikuwa Physician yaani Daktari wa binadamu na aliongoza fresh tu.Hakuna aliye bora kati ya hao wawili uliowataja, maana wote watavurunda tu!
Mbona Rais wa Benki ya Dunia 2012-2019 Jim Yong Kim alikuwa Physician yaani Daktari wa binadamu na aliongoza fresh tu.Tutuba ataweza tu,BOT ni taasisi yenye mifumo,kikubwa azingatie teamwork!Jamaa ana advanced diploma ya 2000 so iko relevant kabisa
Sema hajafanya kazi kwenye financial institution hiki kinaweza kumsunbua kidogo
But ni Bora kuliko luoga ambae professional ni lawyer sio economist Wala financial expert
Tumeishusha sana thamani ya elimu. Ngoja niishie hapo kwa leo.Gavana mpya Tutuba!
View attachment 2476668
Tutuba holds an advanced Diploma economic planning and MBA in corporate management from Mzumbe Uni vs Luoga a tax law Professor who (Luoga) is accredited for helping Tanzania attain macroeconomic stability, …by Bloomberg
Bloomberg - Are you a robot?
www.bloomberg.com
Charles Nyirabu wote
Edwin Mtei
The best Governors ever Tanzania walikua Edwin Mtei na Charles Nyirabu wote walikua masters holder