Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wewe utakuwa ni mjinga sana, Masters ni elimu ndogo? Hao wenye PhD wameifanyia nini nchi? Marekani haijawahi kuongozwa na mtu mwenye PhD wala Uingereza lakini ndiyo zinaongoza kwa maendeleo.Hakuna aliyehoji uchapaji kazi, shida ni uwezo wa kielimu na majukumu ya kazi yake haviendani vinginevyo kusingekuwa na haja hata ya kuwa na Vyuo Vikuu, Dunia nzima wangefuta PhDs kwa maana kwanza ni gharama sana kwa nchi kusomesha PhDs lkn nchi bado zinawekeza unafikiri wote ni wajinga? Kama ishu ni uchapaji kazi hata trafiki au mama lishe wanachapa kazi tena sana tu na Mungu awabariki lkn siyo Ugavana wa Central Bank!
Wewe utakuwa ni mjinga sana, Masters ni elimu ndogo? Hao wenye PhD wameifanyia nini nchi? Marekani haijawahi kuongozwa na mtu mwenye PhD wala Uingereza lakini ndiyo zinaongoza kwa maendeleo.
Unaposema issue siyo uzoefu ni elimu, sifa za mtu kuwa Gavana BoT ni bachelor mengine yote ni mbwembwe tuNi wapi nimesema Masters ni elimu ndogo? Mbona unanilisha maneno?
Utumbo mtupuHakuna aliyehoji uchapaji kazi, shida ni uwezo wa kielimu na majukumu ya kazi yake haviendani vinginevyo kusingekuwa na haja hata ya kuwa na Vyuo Vikuu, Dunia nzima wangefuta PhDs kwa maana kwanza ni gharama sana kwa nchi kusomesha PhDs lkn nchi bado zinawekeza unafikiri wote ni wajinga? Kama ishu ni uchapaji kazi hata trafiki au mama lishe wanachapa kazi tena sana tu na Mungu awabariki lkn siyo Ugavana wa Central Bank!
Kinachochapa kazi sio PhD zenu za kukariri, uzuri Gavana Ni Kama Mkuu wa Chuo Ila VC ndio kila kitu so chini yake Kuna Manaibu Gavana na timu za Wataalamu mahiri wa Uchumi na fedha.Gavana mpya Tutuba!
View attachment 2476668
Tutuba holds an advanced Diploma economic planning and MBA in corporate management from Mzumbe Uni vs Luoga a tax law Professor who (Luoga) is accredited for helping Tanzania attain macroeconomic stability, …by Bloomberg.
---
Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan appointed Emmanuel Tutuba the nation’s central bank governor, as she moves to tackle the rising cost of living.
Tutuba, who has been working as permanent secretary in the Finance Ministry, replaces Florens Luoga after his term expired, according to a statement from the president’s office. The appointment takes immediate effect.
Huyu bwana namfahamu toka akiwa Afisa Budget pale hazina 2015 ni mchapa kazi sn hana shida
Tatizo tumekariri kuwa PhD sijui ndiyo zinafanya kazi lakini mtu kama huyu ni mchapa kazi sn
Unaposema issue siyo uzoefu ni elimu, sifa za mtu kuwa Gavana BoT ni bachelor mengine yote ni mbwembwe tu
Kinachochapa kazi sio PhD zenu za kukariri, uzuri Gavana Ni Kama Mkuu wa Chuo Ila VC ndio kila kitu so chini yake Kuna Manaibu Gavana na timu za Wataalamu mahiri wa Uchumi na fedha.
Unajua Uchumi? Kuna Mchumi mmja anaweza kushauri Jambo lake bila pannel ya Wachumi?Gavana sio kama mkuu wa chuo, gavana ndio anapaswa kuwa mtu wa mwisho kutoa muelekeo wa sekta ya fedha katika nchi na wa pili baada ya waziri wa fedha katika kumshauri Rais masuala ya uchumi.
Gavana ndiye anapaswa kuwa mahiri wa uchumi kuliko wote walio chini yake.
Unaelewa maana ya Advanced Diploma? By the way hiyo si ana Masters au? Na amekuwa kwenye sekta ya Fedha kwa Miaka mingi.Uliona wapi Mkuu wa Chuo ana Diploma?
Advanced Diploma = Bachelor acha kujitoa ufahamu, kama hana alipataje Masters?Kwa hiyo huyu Gavana Tutuba hana hiyo sifa kwa maana hana Bachelors yoyote ile kwa mujibu wa vyombo vya habari, ana Diploma!
Unaelewa maana ya Advanced Diploma? By the way hiyo si ana Masters au? Na amekuwa kwenye sekta ya Fedha kwa Miaka mingi.
Sawa ndio ana Masters sasaDiploma kwa mfumo wa Elimu ya Tanzania iko chini ya Bachelors hata applications requirements zake ni tofauti na Bachelors au degree!
Wewe ni boya, PhD ndiyo inafanya kazi? hao PhD wako wameifanyia nini nchi? Lipumba ni mchumi nguli ana hata kibanda cha nyanya? acheni ujinga sisi tunataka mtu mchapa kazi na siyo hayo makaratasi yenu ambayo hayana maana yoyoteBenki kuu inahitaji mtaalamu nguli wa uchumi hata kama hana PhD, uchapakazi ni sifa ya ziada tu na wala sio ya msingi, pia uchapakazi ni subjective sana.
PhD ndiyo inafanya kazi? sifa za kuwa Gavana ni zipi? shame on youUchapakazi unapaswa kuwa sifa ya ziada tu.
Sawa ndio ana Masters sasa
We ni boya, PhD ndiyo inafanya kazi? hao PhD wako wameifanyia nini nchi? Lipumba ni mchumi nguli ana hata kibanda cha nyanya? acheni ujinga sisi tunataka mtu mchapa kazi na siyo hayo makaratasi yenu ambayo hayana maana yoyote