Gavana wa Benki KUU Tanzania!

Gavana wa Benki KUU Tanzania!

Hawa bloomberg wanatakiwa waseme habari hii kubwa duniani kwa hisani kubwa ya JF


Wasifu wa Gavana / Governor Emmanuel Mpawe Tutuba / Biography / CV :

2019
Assistant Commissioner for Budget
- Expenditure tracking and performance monitoring (Ministry of Finance and Planning)
  • 1999-2001 : masters of business administration in corporate management MBA Corp MGT Mzumbe
  • 1996-1999 : advanced Diploma in Economic Planning- ADEP (IDM Mzumbe)
  • 1992-1994 : Advanced Secondary Education - Milambo secondary school
Source : www.parliament.go.ke files : Report of the Auditor - General on African Institute for Capacity Development AICAD - Office of the Auditor General

03 February 2020


Katibu Tawala wa mkoa RAS
  • Rais John Magufuli amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza leo tarehe 3 February 2020 Ikulu ya Dar es Salaam

View attachment 2476812


Mjumbe wa Bodi ya REA

  • Mr. Emmanuel Mpawe Tutuba - Rural Energy Board Director Rural Electrification Authority REA
Kamishna Tume ya Madini
  • Emmanuel M. Tutuba commissioner Mining Commission
Katibu Mkuu wizara ya fedha
  • Rais Samia Hassan leo tarehe 6 April 2021 amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa katibu mkuu wizara ya Fedha na Mipango
Kumbe ni mwepesi hivi! Unajua MBA siyo academic qualification! Hivyo ana advanced diploma tu! It’s and it was a shame kuwa PST
 
Kumbe ni mwepesi hivi! Unajua MBA siyo academic qualification! Hivyo ana advanced diploma tu! It’s and it was a shame kuwa PST
MBA is an elite professional qualification, na hiyo Advanced Diploma ya Mzumbe ilikuwa equated na BA by then kabla ya Mzumbe kuwa University. Academic Masters degrees can prepare students for PhD study. But remember BOT or Treasury alikokuwa Tutuba siyo teaching institution.

Wacheni choyo Watanzania
 
Hizo ni modifications tu wamefanya ili kujhalalishia lkn Diploma siyo sawa Bachelors kwa mfumo wa Tanzania, isitoshe hata nje ya Tanzania inajulikana hivyo ukiwa na Diploma ni questionable kuqualify kazi inayohitaji first degree lkn Bachelors haiwi questioned!
Kwa taarifa yako hata Bachelors ya Tanzania siyo automatic kutambulika na kila chuo duniani kwa ajili ya kufanya Masters au ajira. Lazima upigwe post graduate diploma ndipo u proceed kwenye Masters yao
 
MBA is an elite professional qualification, na hiyo Advanced Diploma ya Mzumbe ilikuwa equated na BA by then kabla ya Mzumbe kuwa University. Academic Masters degrees can prepare students for PhD study. But remember BOT or Treasury alikokuwa Tutuba siyo teaching institution.

Wacheni choyo Watanzania
Mambo ya equivalent ni ya kipuuzi! Degree na diploma wapi na wapi? Bila PhD huyo Gavana ni mwepesi tu. Najua unatetea vilaza wenzako ati equivalent!
 
Gavana mpya Tutuba!
View attachment 2476668


Tutuba holds an advanced Diploma economic planning and MBA in corporate management from Mzumbe Uni vs Luoga a tax law Professor who (Luoga) is accredited for helping Tanzania attain macroeconomic stability, …by Bloomberg.

---
Tanzania’s President Samia Suluhu Hassan appointed Emmanuel Tutuba the nation’s central bank governor, as she moves to tackle the rising cost of living.

Tutuba, who has been working as permanent secretary in the Finance Ministry, replaces Florens Luoga after his term expired, according to a statement from the president’s office. The appointment takes immediate effect.
Tutulie sindano ituingie. Yani tulieni kabisa kiluo ndio kitaijuza Dunia wapi tumepigwa kitu kizito
 
TOKA MAKTABA:

19 July 2022​

Accra, Ghana

Annual Meetings 2022: Governor Statement, Tanzania




Emmanuel Mpawe Tutuba
Permanent Secretary Ministry of Finance and Planning, Tanzania .
the theme, Achieving Climate Resilience, and a Just Energy Transition for Africa, was chosen to provide a framework for the governors of the Banks to share their experiences and engage in addressing climate change and energy transition challenges, as well as their policies and measures to deal with them.
Source : AfDBGroup

Read more : About the 2022 Annual Meetings | African Development Bank - Annual Meetings
Source : AfDBgroup

Kwa kweli hamna dogo. Mnampima mtu kwa jinsi anavyoimudu lugha ya King Charles. Mnataka Nyani Ngabu apate stroke!

Amandla...
 
Kwa taarifa yako hata Bachelors ya Tanzania siyo automatic kutambulika na kila chuo duniani kwa ajili ya kufanya Masters au ajira. Lazima upigwe post graduate diploma ndipo u proceed kwenye Masters yao
Dah

We jamaa aisee kukusaidia tu mtu mwenye ‘post graduate diploma’ maana yake amesoma masters na kufaulu modules zake zote sema ajaandika masters thesis.
 
MBA is an elite professional qualification, na hiyo Advanced Diploma ya Mzumbe ilikuwa equated na BA by then kabla ya Mzumbe kuwa University. Academic Masters degrees can prepare students for PhD study. But remember BOT or Treasury alikokuwa Tutuba siyo teaching institution.

Wacheni choyo Watanzania
Ni kweli usemayo. Lakini hatupaswi kuweka monetary policy ya nchi mikononi mwa mtu ambae hajabobea katika masuala ya uchumi au sera zinazohusu uchumi. Ubobezi sio lazima uwe wa vyeti lakini experience ni muhimu. Nafasi hii inapaswa kukaliwa na creme de la creme maana ina impact kubwa katika uchumi wa nchi yetu na hali ya maisha ya wote wanaoishi ndani yake. Huyu sio glorified CEO wa CRDB.

Amandla...
 
Mambo ya equivalent ni ya kipuuzi! Degree na diploma wapi na wapi? Bila PhD huyo Gavana ni mwepesi tu. Najua unatetea vilaza wenzako ati equivalent!
Wewe ni nani ukatae equivalent? Mbona Serikali ilitupa same entry level position na mishahara sawa wahitimu wa UDSM na MzumbeI IDM, IFM na Ardhi Institute miaka yote Ile ya 1970s to early 2000s?
 
Ni kweli usemayo. Lakini hatupaswi kuweka monetary policy ya nchi mikononi mwa mtu ambae hajabobea katika masuala ya uchumi au sera zinazohusu uchumi. Ubobezi sio lazima uwe wa vyeti lakini experience ni muhimu. Nafasi hii inapaswa kukaliwa na creme de la creme maana ina impact kubwa katika uchumi wa nchi yetu na hali ya maisha ya wote wanaoishi ndani yake. Huyu sio glorified CEO wa CRDB.

Amandla...
Kwani huko Hazina alipokuwa Katibu Mkuu alikuwa hahusiki na monetary policy.

Prof Luoga mwenyewe alikuwa PhD wa sheria za Kodi huku akitokea kufundisha sheria na hakujua lolote kuhusu fiscal au monetary policy yaani hata Income Statement hakuijua na ka survive more than 5 years pale, sembuse ya Tutuba mchumi mwenye elimu ya biashara anayetokea Hazina kama KM au Paymaster General?

Acheni wivu vijana
 
Ngoja tuamini kamati ya uteuzi, muda utasema.Inawezekana yote haya yanayoongelewa kabla ya kuteuliwa wahusika walijua, na pia hatuwezi jua wamejipangaje kumsaidia chinichini huko ( Teamwork)....na pia kuna sababu za msingi zilizopelekea akawekwa pale.
Utawala/ uongozi na mamlaka vina mambo mengi sana ( behind the scene).
All in all kama akili yake ipo sharp, na ka-experience alikonako atamudu..ukiachilia mbali ukomavu wa institution yenyewe...Haya mambo haya sio kama daktari wa kupasua moyo kuwa akikosea tu mgonjwa anakufa...nop..
Lile jumba lote limejaa watu ambao lengo kubwa kumsaidia huyo bwana...

Ataweza tu...hamna jipya chini ya jua

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Kwa sababu Luoga hakutosha kwenye hiyo nafasi haimfanyi huyu kutosha.
Kwani huko Hazina alipokuwa Katibu Mkuu alikuwa hahusiki na monetary policy.

Prof Luoga mwenyewe alikuwa PhD wa sheria za Kodi huku akitokea kufundisha sheria na hakujua lolote kuhusu fiscal au monetary policy yaani hata Income Statement hakuijua na ka survive more than 5 years pale, sembuse ya Tutuba mchumi mwenye elimu ya biashara anayetokea Hazina kama KM au Paymaster General?

Acheni wivu vijana
 
Kwa kweli hamna dogo. Mnampima mtu kwa jinsi anavyoimudu lugha ya King Charles. Mnataka Nyani Ngabu apate stroke!

Amandla...

Tena hapo ktk video clip ya Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB (Group) alikuwa anasoma kile kilichoandikwa na kuonekana anapata wakati mgumu sana.

Wakati wasomi wote wa Tanzania huwa hawana changamoto katika kuandika na kusoma lugha ya kigeni.
 
Hizo ni modifications tu wamefanya ili kujhalalishia lkn Diploma siyo sawa Bachelors kwa mfumo wa Tanzania, isitoshe hata nje ya Tanzania inajulikana hivyo ukiwa na Diploma ni questionable kuqualify kazi inayohitaji first degree lkn Bachelors haiwi questioned!
Nyie mkoje mbona mnashabikia uongo na kuuipigia misumari.Alewa tofauti ya diploma na advanced diploma.Hii advanced diploma ni equivalent na degree.Na ndio maana mwenye hiyo akitoka hapo anaenda kusoma masters moja kwa moja.Yaani mtu anapindisha hoja makusudi na kuishadadia tu kwa lengo la kuleta nguvu hasi/ kumpaka matope mtu.
 
Kwani huko Hazina alipokuwa Katibu Mkuu alikuwa hahusiki na monetary policy.

Prof Luoga mwenyewe alikuwa PhD wa sheria za Kodi huku akitokea kufundisha sheria na hakujua lolote kuhusu fiscal au monetary policy yaani hata Income Statement hakuijua na ka survive more than 5 years pale, sembuse ya Tutuba mchumi mwenye elimu ya biashara anayetokea Hazina kama KM au Paymaster General?

Acheni wivu vijana
Katibu Mkuu Hazina haandai monetary policy za nchi. Yeye jukumu lake sio kupambana na inflation na pressure nyingine katika currency yetu. Mwenye jukumu hilo ni Gavana na anapaswa kutimiza jukumu hilo bila kujali serikali inapendelea nini. Ndio maana anatakiwa mtu astute, anaejiamini na ambae yuko tayari kusema ukweli wake kwa mamlaka ya juu.

Wapi nimemsifia Luoga? Ulivyosema kuwa ame survive ni ushahidi tosha kuwa ile haikuwa nafasi. Hatutaki mtu ambae ambition yake ni ku survive. Tunataka mtu ambae atakuwa tayari kupoteza ajira yake pale anapoona ushauri wake hauthaminiwi kiasi cha kuipeleka nchi kubaya.

Amandla....
 
Back
Top Bottom