Soma pia namna gani anaondoka madarakani usijifungie bila kusomaSheria ya benki kuu imesema Gavana wa benki kuu atashika Kwa kipindi Cha miaka mitano and "shall be eligible for reappointment " sheria hiyo ya benki kuu imeweka ulazima kwamba Gavana wa benki kuu atakuwa na haki ya kuongezewa muda wa awamu ya pili Ili kukamilisha vipindi viwili vya miaka mitano mitano
Sorry ni BOT Act 2006 nadhaniIbara Gani kwenye katiba?
Hiyo naijua mbona, ndiyo maana nikakuuliza ibara Gani kwenye katiba kwa sabb hiyo ibara haipo, the office of Gavana wa benki kuu is not a constitutional creatureSorry ni BOT Act 2006 nadhani
P Mama hakuoni😝😝Ni kama CAG.
P
Amefanyiwa utenguzi haramu ?Ni kama CAG.
P
Hii SHALL haijatendewa Haki; lakini pia NI wakati SASA barua za ikulu ziwe na Sheria inayotoa mamlaka
UMRI wa UTUMISHI wa UMMA wa kustaafu ni MIAKA MINGAPI kwa kazi zote zisizofungamana na SIASA au Kuchaguliwa na Wananchi ni MIAKA mingapi? Sambamba na hilo unajua Miaka ya kustaafu ni 60?? Ziada ya hapo kwa mtumishi ni ile ofisi nyeti na umri hautakiwi kuzidi 65 unajua hili?Hii SHALL haijatendewa Haki; lakini pia NI wakati SASA barua za ikulu ziwe na Sheria inayotoa mamlaka
Kateuliwa nani
source : afdbgroup Annual Meetings 2022: Governor Statement, Tanzania 19 July 2022
Sheria ya benki kuu imesema Gavana wa benki kuu atashika Kwa kipindi Cha miaka mitano and "shall be eligible for reappointment " sheria hiyo ya benki kuu imeweka ulazima kwamba Gavana wa benki kuu atakuwa na haki ya kuongezewa muda wa awamu ya pili Ili kukamilisha vipindi viwili vya miaka mitano mitano
23 Oct 2017 — Rais John Magufuli amteua Prof Florens Luoga kuwa Gavana wa Benki Kuu ya TanzaniaUmeshaambiwa amemaliza muda wake
Rais Dk. John Magufuli amemteua Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Taaluma) Prof. Frolens Dominic Andrew Makinyika Luoga (Pichani), kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT) kuchukua nafasi ya Prof. Benno Ndulu ambaye anamaliza muda wake.Prof. Florens Luoga ndiye mteule mpya wa rais Magufuli kuchukua nafasi ya ugavana wa Benki Kuu ya Tanzania 'BOT' pindi muda wa gavana wa sasa, Prof. Benno Ndulu utakapokwisha.
Until October 2017, Professor Luoga was an active staff member of the School of Law also serving as the Deputy Vice Chancellor-Academic, University of Dar es Salaam. This changed on 23rd October 2017, when the President of Tanzania, Dr John Magufuli, appointed him as the Governor of the Bank of Tanzania (Tanzania’s central bank), a position he is still serving to date. Details of the Bank of Tanzania, and what Professor Luoga does may be found at Bank of Tanzania
Prof. Luoga assuming office 8 January 2018. Appointed by, John Magufuli.....
Sasa kwanini asiteuliwe tuu kwa miaka 10 kama ni lazima?!Sheria ya benki kuu imesema Gavana wa benki kuu atashika Kwa kipindi Cha miaka mitano and "shall be eligible for reappointment " sheria hiyo ya benki kuu imeweka ulazima kwamba Gavana wa benki kuu atakuwa na haki ya kuongezewa muda wa awamu ya pili Ili kukamilisha vipindi viwili vya miaka mitano mitano
Ni kama CAG.
P
CV ya TutubaHuyo prof wa Tax law ndo ameondolewa???? Ni sawa sasa twende na Tutuba
CV ya Tutuba
Bwana ni title vile vile!Anaitwa Tutuba.
Sijui ana elimu gani huyo ?? Hana Title anaitwa tuu Bwana Emmanuel Tutuba
Kawaulize watunga Sheria kipindi wanatunga hiyo sheria na kuweka hicho kifungu walikuwa Wana kusudia Nini, i.e The intention of the legislatureSasa kwanini asiteuliwe tuu kwa miaka 10 kama ni lazima?!
Jamaa amekaa TISS TISS maana Usiri mwingi....Imekuwa ngumu kupatikana hata masoko ya wawekezaji ktk miji ya masoko ya mitaji na wawekezaji wakubwa maarufu kama "$1 Trillion Club" ya New York City, Tokyo, Madrid, Shanghai, Shenzhen, Rome n.k Usiku kucha wamehaha kumfahamu huyu gavana mpya amesoma vyuo gani, utumishi wake mashirika makubwa ya kimataifa au kikanda au chuo kikuu gani alikuwa mwalimu n.k ili wapate kumjua vizuri imeshindikana.
Tumaini lao hao wawekezaji wenye mikoba ya fedha za uwekezaji Wamebakiza sehemu tegemeo ni hapa JamiiForums labda watapata fununu umahiri na uchapakazi wake utawekwa hapa kuhusu masuala ya utawala wa fedha n.k ...
Maana ya be eligible for reappointment ni kama umri hautazidi 65, huyu aliteuliwa at 60, sasa ni 65 hivyo he is not eligible for reappointment!.Sheria ya benki kuu imesema Gavana wa benki kuu atashika Kwa kipindi Cha miaka mitano and "shall be eligible for reappointment " sheria hiyo ya benki kuu imeweka ulazima kwamba Gavana wa benki kuu atakuwa na haki ya kuongezewa muda wa awamu ya pili Ili kukamilisha vipindi viwili vya miaka mitano mitano