Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

UMRI wa UTUMISHI wa UMMA wa kustaafu ni MIAKA MINGAPI kwa kazi zote zisizofungamana na SIASA au Kuchaguliwa na Wananchi ni MIAKA mingapi? Sambamba na hilo unajua Miaka ya kustaafu ni 60?? Ziada ya hapo kwa mtumishi ni ile ofisi nyeti na umri hautakiwi kuzidi 65 unajua hili?
REJEA CDF (RTD) MABEYO.



Walimu na madaktari 70
 
Kaka Pascal Mayalla, Prof. F.D.A.M. Luoga bado hakufika miaka 65. Amezaliwa mwaka 1959 na mwaka huu atafikisha miaka 64. Hivyobasi, kwa mujibu wa sheria, alistahili kuongezewa muda.
 
na inawezekana anazaidi hata hiyo 65, huenda ana 76.
maana wazee wetu wa zamani hawakuwa wanafahamu miaka yao sahihi ya kuzaliwa, wanakisia tu, apumzike tu ni haki yake.


Wengi wanajua sana ila wanafanya makusudi wanaogopa kustaafu sababu hawajajiandaa vya kutosha!

Wengi wanajiounguzia umri kwa miaka mingi!
 
Kaka Pascal Mayalla, Prof. F.D.A.M. Luoga bado hakufika miaka 65. Amezaliwa mwaka 1959 na mwaka huu atafikisha miaka 64. Hivyobasi, kwa mujibu wa sheria, alistahili kuongezewa muda.
Kwa mujibu ya kifungu cha 8 cha Sheria ya Benki kuu ya 2006 , Rais kavunja Sheria kwa kutomuongezea Prof Luoga kipindi cha pili cha miaka 5.

Sikutegemea Rais wangu Samia atakuwa sehemu ya kukiuka Sheria kama alivyokuwaga mtangulizi wake ambaye alienda mbali kwa kuvunja katiba kwa kutompa Prof. Assad second term ya CAG.

Kifungu cha 8 cha Sheria ya Benki Kuu kimesema "Shall be eligible for re appointment" ikimaanisha ni lazima apewe kipindi cha pili

Hapa Rais wangu Samia kateleza. Hizi nafasi kutokana na unyeti wake ndo mana zimewekewa security of tenure kisheria ili wanaoshika hizi nafasi wawe free from influence of politics
 
Yes huyu ni Mwalimu wangu wa International Business Law pale UDSM, ni mchumi mzuri, law firm yake ni FK law chambers is doing great

P
Mchumi? Nadhani ni Profesa wa Tax Law, ni Moja ya Watanzania wachache Sana waliosoma Tax Law na kufikia Hadi uprofesa,
 
Wengi wanajua sana ila wanafanya makusudi wanaogopa kustaafu sababu hawajajiandaa vya kutosha!

Wengi wanajiounguzia umri kwa miaka mingi!
hili ni tatizo kubwa kwenye utumishi wa umma!!

kiuhalisia wengi wao wamepitiliza kabisa umri wa kustaafu lkn cheti cha kuzaliwa kinasema tofauti.

wazee ni wengi sana kwenye utumishi!! na hao ndio wanao ziba nafasi za vijana.
 
Rais amemteua Gavana mpya Kwa taarifa kwamba aliyekuwepo amemaliza muda wake.

Lakini kiutumishi au kiutendaji kumaliza muda wako kwaweza maanisha kwamba bado ana umri wakuhudumu lakini mkataba wake BOT umeisha hivyo anarejea KAZI yake ya awali.

Au alishastaafu akaongezewa muda na kipindi alichoongezewa kimeisha? Au amestaafu rasmi?

Gavana wa sasa amestaafu au mkataba umeisha? Sheria inasemaje kuhusu ajira na kustaafu au kuondolewa ofisini kwa Gavana? Siyo kama CAG?
Soma hii.
JamiiForums-1511818122.jpg
 
Ni kama CAG.
P
Ahsante kaka P, lakini nafikiri mchakato wa CAG uko tofauti kidogo. Hata ikiwa anatakiwa kuondokewa Kuna mambo kadhaa ya kisheria yanayohusisha Hadi commonwealth kama sikosei. Ndio maana umakini wa Hali ya juu unatakiwa inapokuja kumteua CAG.

Sina uhakika kama Govana Iko namna hiyo.
 
Gavana haiko hivyo.
Ahsante kaka P, lakini nafikiri mchakato wa CAG uko tofauti kidogo. Hata ikiwa anatakiwa kuondokewa Kuna mambo kadhaa ya kisheria yanayohusisha Hadi commonwealth kama sikosei. Ndio maana umakini wa Hali ya juu unatakiwa inapokuja kumteua CAG.

Sina uhakika kama Govana Iko namna hiyo.
 
Gavana haiko hivyo.
Ndicho nilichokifaham na nimeona wataalam wameelezea vizuri kabisa kuhusu Gavana. Asizidi 65, pia ni mihula ya miaka mitano mitano na isizidi miwili isipokua Kwa dharura.
 
Rais amemteua Gavana mpya Kwa taarifa kwamba aliyekuwepo amemaliza muda wake.

Lakini kiutumishi au kiutendaji kumaliza muda wako kwaweza maanisha kwamba bado ana umri wakuhudumu lakini mkataba wake BOT umeisha hivyo anarejea KAZI yake ya awali.

Au alishastaafu akaongezewa muda na kipindi alichoongezewa kimeisha? Au amestaafu rasmi?

Gavana wa sasa amestaafu au mkataba umeisha? Sheria inasemaje kuhusu ajira na kustaafu au kuondolewa ofisini kwa Gavana? Siyo kama CAG?
Hiyo homework ya maswali ungeenda google ungepata majibu yote, usiwe unachosha watu mida ya weekend
 
Back
Top Bottom