HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Sijajua maana mitandao iko kimyaHakuna watu waliosoma naye au baba zao walisoma na kufanya kazi naye?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijajua maana mitandao iko kimyaHakuna watu waliosoma naye au baba zao walisoma na kufanya kazi naye?
Unaitafsiri sheria kimakalio makalio Mkuu.Sheria ya benki kuu imesema Gavana wa benki kuu atashika Kwa kipindi Cha miaka mitano and "shall be eligible for reappointment " sheria hiyo ya benki kuu imeweka ulazima kwamba Gavana wa benki kuu atakuwa na haki ya kuongezewa muda wa awamu ya pili Ili kukamilisha vipindi viwili vya miaka mitano mitano
hili ni tatizo kubwa kwenye utumishi wa umma!!
kiuhalisia wengi wao wamepitiliza kabisa umri wa kustaafu lkn cheti cha kuzaliwa kinasema tofauti.
wazee ni wengi sana kwenye utumishi!! na hao ndio wanao ziba nafasi za vijana.
Gavana umri wake kisheria usizidi miaka 65, pia anakaa madarakani kwa muda wa miaka 5 anaweza ongezewa muda wa miaka 5 mingine na haruhusiwi kuzidi hapo.
Na tar rasmi ya wao kuondoka kazini ni TAR 07/01
BALALI alikaa miaka 10 (08/0/1998 - 07/01/2008)
BENO NDULU alikaa miaka 10
(08/01/2008 - 07/01/2018)
PROF LUOGA amekaa miaka 5
(08/01/2018 - 07/01/2023)
Hii ni kutokana wakati anateuliwa UMRI WAKE ULIKUWA MIAKA 60 na hivyo haruhusiwi kuzidi miaka 65 KISHERIA
Labda awe umri wake wakati anateuliwa ulikuwa umesogea kiasi kwamba ataweza kumalizia muda akiwa amezidi miaka kadhaa. Na hii hutokea kama ni kwa awamu ya pili ya Uongozi wake.
NB. GAVANA HARUHUSIWI KUZIDI VIPINDI VIWILI VYA MIHULA YA MIAKA 5 KILA MMOJA.
GAVANA UMRI WAKE WA KUSTAAFU NI MIAKA 65 LABDA KWA DHARULA SANA KAMA ILIVYOTOKEA KWA BENO NDULU.
Maana ya be eligible for reappointment ni kama umri hautazidi 65, huyu aliteuliwa at 60, sasa ni 65 hivyo he is not eligible for reappointment!.
P
-tumia busara na hekima, au unapenda kushikwa MAKALIO?Unaisafsiri sheria kimakalio makali Mkuu.
Shall be eligible for reappointment subject to......
Then it was a mistake!, ilipaswa alipofikisha 65 astaafu.B. Ndulu alizaliwa mwaka 1950 na kuwa Gavana mpaka 2018 akiwa na umri wa miaka 68, …
Sieigii 😂😂😂. Zitto aende mahakani Tena 😁😁Ni kama CAG.
P
Nadhani ni zile zinazoitwa kwenye sheria discretionary powers za RaisThen it was a mistake!, ilipaswa alipofikisha 65 astaafu.
P
Kwa mujibu wa kifungu kipi cha sheria?Then it was a mistake!, ilipaswa alipofikisha 65 astaafu.
P
-President ana mamlaka makubwa sana, discretionary powers anaweza kumuongezea muda wa kustaafu, ndio maana hata General Mabeyo alistaafu kwa miaka 66 alizidi retirement age, ni kutokana na discretionary powers za Rais.Yes ana miaka 65 tayari kiongozi, ni vile ulikuwa unabishia bila ya kuhusisha hii fact.
-President ana mamlaka makubwa sana, discretionary powers anaweza kumuongezea muda wa kustaafu, ndio maana hata General Mabeyo alistaafu kwa miaka 66 alizidi retirement age, ni kutokana na discretionary powers za Rais.
-Bottom line sheria ya Utumishi wa Umma imesema kuwa umri wa kustaafu wa lazima kwa Maprofesa, Senior lecturers, specialist doctors ni 65, lakini pia itategemea na discretionary powers za Rais
Sheria hiyo ya benki kuu hausomwi peke yake Bali inasomwa na sheria nyingine mfano public service act,Katiba nk nkSheria ya benki kuu haitoi ulazima wa gavana kustaafu akiwa na miaka 65 ila imesema gavana atsteuliwa kushika madaraka kwa miaka 5 na lazima aongezewe tena miaka 5
Katiba haisemi kitu juu ya Gavana na Public Service Act haisemi kitu juu ya GavanaSheria hiyo ya benki kuu hausomwi peke yake Bali inasomwa na sheria nyingine mfano public service act,Katiba nk nk
Mbona sioni utaalamu wa mambo ya fweza?Assistant Commissioner fo Budget - Expenditure tracking and performance monitoring (Ministry of Finance and Planning)
- 1999-2001 : masters of business administration in corporate management MBA Corp MGT Mzumbe
- 1992-1994 : advanced Diploma in Economic Planning- ADEP (IDM Mzumbe)
- 1992-1994 : Advanced Secondary Education - Milambo secondary school
-katiba katafute sehemu ya mamlaka ya RaisKatiba haisemi kitu juu ya Gavana na Public Service Act haisemi kitu juu ya Gavana
Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba ameteuliwa kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT
Wasifu wa gavana Emmanuel M. Tutuba :
2019
Assistant Commissioner fo Budget - Expenditure tracking and performance monitoring (Ministry of Finance and Planning)
Source : www.parliament.go.ke files : Report of the Auditor - General on African Institute for Capacity Development AICAD - Office of the Auditor General
- 1999-2001 : masters of business administration in corporate management MBA Corp MGT Mzumbe
- 1992-1994 : advanced Diploma in Economic Planning- ADEP (IDM Mzumbe)
- 1992-1994 : Advanced Secondary Education - Milambo secondary school
03 February 2020
Katibu Tawala wa mkoa RAS
Rais John Magufuli amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza leo tarehe 3 February 2020 Ikulu ya Dar es Salaam
Mjumbe wa Bodi ya REA
Kamishna Tume ya Madini
- Mr. Emmanuel Mpawe Tutuba - Rural Energy Board Director Rural Electrification Authority REA
Katibu Mkuu wizara ya fedha
- Emmanuel M. Tutuba commissioner Mining Commission
- Rais Samia Hassan leo tarehe 6 April 2021 amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa katibu mkuu wizara ya Fedha na Mipango
Gavana wa Benki Kuu BOT
- Leo tarehe 7 January 2023 Rais Samia Hassan amteua Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT
Anadai ni zamu yao "kula"[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zitto hawezi kukosoa msimu huu, hata taratibu zikikiukwa [emoji1787][emoji1787].
Si ukiona kipindi DPP mganga anaondokewa kiana, utaratibu haukufutwa ila Zitto hata hakujigeuza
Nadhani ni zile zinazoitwa kwenye sheria discretionary powers za Rais
-katiba katafute sehemu ya mamlaka ya Rais
-Publiv service inatumika kwa sabb Gavana wa benki kuu ni mtumishi wa Umma