Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

Sheria ya benki kuu imesema Gavana wa benki kuu atashika Kwa kipindi Cha miaka mitano and "shall be eligible for reappointment " sheria hiyo ya benki kuu imeweka ulazima kwamba Gavana wa benki kuu atakuwa na haki ya kuongezewa muda wa awamu ya pili Ili kukamilisha vipindi viwili vya miaka mitano mitano
Unaitafsiri sheria kimakalio makalio Mkuu.

Shall be eligible for reappointment subject to.....

Apo kwenye "subject to...." sasa ndio wenye Nchi tunachagua mtu wetu wa kumuweka.
 
hili ni tatizo kubwa kwenye utumishi wa umma!!

kiuhalisia wengi wao wamepitiliza kabisa umri wa kustaafu lkn cheti cha kuzaliwa kinasema tofauti.

wazee ni wengi sana kwenye utumishi!! na hao ndio wanao ziba nafasi za vijana.



Na performance zao zimeshuka sana! [emoji848]

Wengine wamekalia fitina na majungu kwa vijana ambao ni hodari wa kazi.
 
Gavana umri wake kisheria usizidi miaka 65, pia anakaa madarakani kwa muda wa miaka 5 anaweza ongezewa muda wa miaka 5 mingine na haruhusiwi kuzidi hapo.
Na tar rasmi ya wao kuondoka kazini ni TAR 07/01

BALALI alikaa miaka 10 (08/0/1998 - 07/01/2008)

BENO NDULU alikaa miaka 10
(08/01/2008 - 07/01/2018)

PROF LUOGA amekaa miaka 5
(08/01/2018 - 07/01/2023)

Hii ni kutokana wakati anateuliwa UMRI WAKE ULIKUWA MIAKA 60 na hivyo haruhusiwi kuzidi miaka 65 KISHERIA
Labda awe umri wake wakati anateuliwa ulikuwa umesogea kiasi kwamba ataweza kumalizia muda akiwa amezidi miaka kadhaa. Na hii hutokea kama ni kwa awamu ya pili ya Uongozi wake.
NB. GAVANA HARUHUSIWI KUZIDI VIPINDI VIWILI VYA MIHULA YA MIAKA 5 KILA MMOJA.

GAVANA UMRI WAKE WA KUSTAAFU NI MIAKA 65 LABDA KWA DHARULA SANA KAMA ILIVYOTOKEA KWA BENO NDULU.

B. Ndulu alizaliwa mwaka 1950 alikuwa Gavana mpaka 2018 akiwa na miaka 68, vipi hapo?
 
Yes ana miaka 65 tayari kiongozi, ni vile ulikuwa unabishia bila ya kuhusisha hii fact.
-President ana mamlaka makubwa sana, discretionary powers anaweza kumuongezea muda wa kustaafu, ndio maana hata General Mabeyo alistaafu kwa miaka 66 alizidi retirement age, ni kutokana na discretionary powers za Rais.
-Bottom line sheria ya Utumishi wa Umma imesema kuwa umri wa kustaafu wa lazima kwa Maprofesa, Senior lecturers, specialist doctors ni 65, lakini pia itategemea na discretionary powers za Rais
 
Sheria ya benki kuu haitoi ulazima wa gavana kustaafu akiwa na miaka 65 ila imesema gavana atsteuliwa kushika madaraka kwa miaka 5 na lazima aongezewe tena miaka 5
-President ana mamlaka makubwa sana, discretionary powers anaweza kumuongezea muda wa kustaafu, ndio maana hata General Mabeyo alistaafu kwa miaka 66 alizidi retirement age, ni kutokana na discretionary powers za Rais.
-Bottom line sheria ya Utumishi wa Umma imesema kuwa umri wa kustaafu wa lazima kwa Maprofesa, Senior lecturers, specialist doctors ni 65, lakini pia itategemea na discretionary powers za Rais
 
Assistant Commissioner fo Budget - Expenditure tracking and performance monitoring (Ministry of Finance and Planning)
  • 1999-2001 : masters of business administration in corporate management MBA Corp MGT Mzumbe
  • 1992-1994 : advanced Diploma in Economic Planning- ADEP (IDM Mzumbe)
  • 1992-1994 : Advanced Secondary Education - Milambo secondary school
Mbona sioni utaalamu wa mambo ya fweza?
 
Hii ndio CV ya gavana wa benki kuu?!
Mwafa.
Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba ameteuliwa kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT

Wasifu wa gavana Emmanuel M. Tutuba :

2019
Assistant Commissioner fo Budget
- Expenditure tracking and performance monitoring (Ministry of Finance and Planning)
  • 1999-2001 : masters of business administration in corporate management MBA Corp MGT Mzumbe
  • 1992-1994 : advanced Diploma in Economic Planning- ADEP (IDM Mzumbe)
  • 1992-1994 : Advanced Secondary Education - Milambo secondary school
Source : www.parliament.go.ke files : Report of the Auditor - General on African Institute for Capacity Development AICAD - Office of the Auditor General

03 February 2020


Katibu Tawala wa mkoa RAS
  • Rais John Magufuli amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza leo tarehe 3 February 2020 Ikulu ya Dar es Salaam


Mjumbe wa Bodi ya REA

  • Mr. Emmanuel Mpawe Tutuba - Rural Energy Board Director Rural Electrification Authority REA
Kamishna Tume ya Madini
  • Emmanuel M. Tutuba commissioner Mining Commission
Katibu Mkuu wizara ya fedha
  • Rais Samia Hassan leo tarehe 6 April 2021 amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa katibu mkuu wizara ya Fedha na Mipango


Gavana wa Benki Kuu BOT
  • Leo tarehe 7 January 2023 Rais Samia Hassan amteua Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT
 
Mamlaka yapi? Kitaje iko kipengele

Rais anafanya kazi kwa mujibu wa Katiba na Sheria na pia endapo Rais atathibitika kuvunja Katiba au Sheria anaweza kupigiwa kura ya kuondolewa madarakani na bunge soma ibara ya 46A(1) (2) (a) ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977
-katiba katafute sehemu ya mamlaka ya Rais
-Publiv service inatumika kwa sabb Gavana wa benki kuu ni mtumishi wa Umma
 
Back
Top Bottom