Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

Mamlaka yapi? Kitajs iko kipengele

Rais anafanya kazi kwa mujibu wa Katiba na Sheria na pia endapo Rais atathibitika kuvunja Katiba au Sheria anaweza kupigiwa kura ya kuondolewa madarakani na bunge soma ibara ya 46A(1) (2) (a) ya Katiba ya JMT ya mwaka 1977
-Kasome mamlaka ya Rais kwenye uteuzi wa maofisa Rais akiwa kama mkuu wa serikali, anateua Mawaziri,Naibu,Gavana ,rc,DC,das,Ras,majaji nk nk.
- Kwa hiyo Rais akimuongezea retirement age mtu kavunja sheria kumbe? Mbona Gen. Mabeyo kustaafu na 66 Kwa hiyo Rais kavunja Katiba na sheria? (Mbona hakukuwa na kelele yoyote kusema Rais kavunja Katiba na sheria?)Ndio maana nikakwambia hizo ni discretionary powers za Rais alizonaz, Mapenzi ya Rais,
 
-Kasome mamlaka ya Rais kwenye uteuzi wa maofisa Rais akiwa kama mkuu wa serikali, anateua Mawaziri,Naibu,Gavana ,rc,DC,das,Ras,majaji nk nk.
- Kwa hiyo Rais akimuongezea retirement age mtu kavunja sheria kumbe? Mbona Gen. Mabeyo kustaafu na 66 Kwa hiyo Rais kavunja Katiba na sheria? (Mbona hakukuwa na kelele yoyote kusema Rais kavunja Katiba na sheria?)Ndio maana nikakwambia hizo ni discretionary powers za Rais alizonaz, Mapenzi ya Rais,
Kwanza Prof Luoga ana miaka mingapi?

Alafu hao waliotunga Sheria ya Benki Kuu unadhani wajinga kwa kutoweka kipengele cha umri hapo kwenye kifungu cha 8?
 
Sheria ya benki kuu imesema Gavana wa benki kuu atashika Kwa kipindi Cha miaka mitano and "shall be eligible for reappointment " sheria hiyo ya benki kuu imeweka ulazima kwamba Gavana wa benki kuu atakuwa na haki ya kuongezewa muda wa awamu ya pili Ili kukamilisha vipindi viwili vya miaka mitano mitano
Shall mean not necessarily go study enough
 
Kwanza Prof Luoga ana miaka mingapi?

Alafu hao waliotunga Sheria ya Benki Kuu unadhani wajinga kwa kutoweka kipengele cha umri hapo kwenye kifungu cha 8?
-ingia google taarifa za prof Luoga.
-kwani wakati wanatunga hiyo sheria ya benki unadhani Mimi nilikuwepo bungeni? Angalia intention of the legislature kwenye kufix hicho kifungu, Kwa maana naona literal rule haileti maana nzuri kwenye tafsiri
 
Kawaulize watunga Sheria kipindi wanatunga hiyo sheria na kuweka hicho kifungu walikuwa Wana kusudia Nini, i.e The intention of the legislature
Hahaha...sasa naanza kuelewa ni kwanini kuna Watanzania wakiongozwa na Wanasiasa wengi hasa wale wa vyama vya siasa vilivyoko nje ya Serikali wanahitaji katiba mpya.Imagine mtu kama Assad kipindi anateuliwa kwa kufuata Sheria iliyompa RAIS mamlaka ya kumteua Bila Shaka alifurahia sana uteuzi na nina Imani ali-enjoy mazuri yaliyoambatana na uteuzi wake..na si ajabu wakati ule ungemwambia Sheria iliyokupa uteuzi ni Mbaya sana ina loopholes nyingi,asingekuelewa,akaja aliyekua anapenda kuchezea loopholes akamgusa ndio akagundua Sheria haiko sawa...sasa huyu Gavana Mpya leo yuko poa na Sheria..ikitokea Hali imebadirika kama alivyotahadharisha JK iyo "SHALL" itapigiwa kelele mpaka iwe SHARI.
 
-ingia google taarifa za prof Luoga.
-kwani wakati wanatunga hiyo sheria ya benki unadhani Mimi nilikuwepo bungeni? Angalia intention of the legislature kwenye kufix hicho kifungu, Kwa maana naona literal rule haileti maana nzuri kwenye tafsiri
Kama umri luoga is 64
 
B. Ndulu alizaliwa mwaka 1950 alikuwa Gavana mpaka 2018 akiwa na miaka 68, vipi hapo?
Umesoma hapo hadi mwisho hilo andiko? Alipoongezewa muda tayari alikuwa na miaka 62 hivyo kisheria inalazimika amalize kipindi chake cha miaka 5 mingine aliyopewa.
 
Sheria ya benki kuu haitoi ulazima wa gavana kustaafu akiwa na miaka 65 ila imesema gavana atsteuliwa kushika madaraka kwa miaka 5 na lazima aongezewe tena miaka 5
Haijaweka ULAZIMA wa kuteuliwa kwa muhula wa 2. Muhula wa 2 utategemea pia vitu kadhaa ikiwemo UMRI wake.
Unaposoma kitu punguza kukariri.
 
Haijaweka ULAZIMA wa kuteuliwa kwa muhula wa 2. Muhula wa 2 utategemea pia vitu kadhaa ikiwemo UMRI wake.
Unaposoma kitu punguza kukariri.
We mwanasheria? Maana kama sio mwanasheria huwezi kuelewa

Kifungu cha 8 cha Sheria ya Benki kuu kwa upande wa gavana kimeweka neno shall be elligible for re appointment kumaanisha lazima

Kifungu icho icho kimeweka be elligible for re appointment kwa manaibu gavana kumaanisha sio lazima

Kwa taaluma ya tafsiri ya Sheria shall inamaanisha lazima kwenye muktadha huu hivyo Gavana ni lazima apewe second term
 
Sheria ya Benki Kuu haiweki kigezo cha umri wa kustaafu kwa gavana ila imeweka ulazima wa gavana kuhudumu vipindi viwili
We jamaa ni kichaa acha tukuache, kasome tena na tena na tena na tena na tena.
Hiyo sheria inaenda sambamba na sheria zingine za nchi yetu.

BOT act haijasema GAVANA lazima awe MTANZANIA je kwa akili yako unaweza KUMTEUA MKENYA awe GAVANA wa BOT??

Hapa yafaa uelewe sheria moja huambatana na baadhi ya sheria ili kufanikisha zoezi hilo.

Rudia kusoma tena, jipe muda wa kuelewa mambo kwanza.
 
We jamaa ni kichaa acha tukuache, kasome tena na tena na tena na tena na tena.
Hiyo sheria inaenda sambamba na sheria zingine za nchi yetu.

BOT act haijasema GAVANA lazima awe MTANZANIA je kwa akili yako unaweza KUMTEUA MKENYA awe GAVANA wa BOT??

Hapa yafaa uelewe sheria moja huambatana na baadhi ya sheria ili kufanikisha zoezi hilo.

Rudia kusoma tena, jipe muda wa kuelewa mambo kwanza.
Kama haijasema lazima awe Mtanzania basi si kosa kuwa na gavana Mtanzania pale itakapoonekana inahitajika.

Kumbuka tumeshawai kuwa na hadi majaji ambao sio watanzania

Sheria haina automatic we jamaa. Sheria kama inavyosema lazima itekelezwe na endapo Rais akibainika amevunja Sheria ni very risk na kwa mujibu wa Ibara ya 46A(1)(2)(a) anaweza kuvuliwa madaraka na bunge. Ni very serious issue kwa Rais kuvunja Katiba au Sheria
 
Kama haijasema lazima awe Mtanzania basi si kosa kuwa na gavana Mtanzania pale itakapoonekana inahitajika.

Kumbuka tumeshawai kuwa na hadi majaji ambao sio watanzania

Sheria haina automatic we jamaa. Sheria kama inavyosema lazima itekelezwe na endapo Rais akibainika amevunja Sheria ni very risk na kwa mujibu wa Ibara ya 46A(1)(2)(a) anaweza kuvuliwa madaraka na bunge. Ni very serious issue kwa Rais kuvunja Katiba au Sheria
Uko mwaka wa ngapi hapo CHUONI kiongozi??

Ndio maana umeambiwa hapo kuwa sheria hiyo inaambatana na sheria ya utumishi wa UMMA au huelewi nini hapo??
 
Back
Top Bottom