Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

Gavana wa BOT amemaliza muda wake au amestaafu?

Uko mwaka wa ngapi hapo CHUONI kiongozi??

Ndio maana umeambiwa hapo kuwa sheria hiyo inaambatana na sheria ya utumishi wa UMMA au huelewi nini hapo??
Hujui sheria na ukieleweshwa na wanasheria unakuwa mbishi

Sheria ya Benki Kuu imesema ni lazima gavana apewe kipindi cha pili! Unadhani waliotunga hawakujua kuna suala la umri? Na pia Sheria ya utumishi wa Umma hakuna ilipoelezea umri wa kustaafu wa Gavana
 
Jamaa amekaa TISS TISS maana Usiri mwingi....

Kwa sasa CIA wako busy kufukunyua ili wamjue

Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba ameteuliwa kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT

Wasifu wa Gavana / Governor Emmanuel M. Tutuba / Biography / CV :

2019
Assistant Commissioner for Budget
- Expenditure tracking and performance monitoring (Ministry of Finance and Planning)
  • 1999-2001 : masters of business administration in corporate management MBA Corp MGT Mzumbe
  • 1996-1999 : advanced Diploma in Economic Planning- ADEP (IDM Mzumbe)
  • 1992-1994 : Advanced Secondary Education - Milambo secondary school
Source : www.parliament.go.ke files : Report of the Auditor - General on African Institute for Capacity Development AICAD - Office of the Auditor General

03 February 2020


Katibu Tawala wa mkoa RAS
  • Rais John Magufuli amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza leo tarehe 3 February 2020 Ikulu ya Dar es Salaam


Mjumbe wa Bodi ya REA

  • Mr. Emmanuel Mpawe Tutuba - Rural Energy Board Director Rural Electrification Authority REA
Kamishna Tume ya Madini
  • Emmanuel M. Tutuba commissioner Mining Commission
Katibu Mkuu wizara ya fedha
  • Rais Samia Hassan leo tarehe 6 April 2021 amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa katibu mkuu wizara ya Fedha na Mipango
source : afdbgroup Annual Meetings 2022: Governor Statement, Tanzania 19 July 2022


Gavana wa Benki Kuu BOT
  • Leo tarehe 7 January 2023 Rais Samia Hassan amteua Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT
 
Hujui sheria na ukieleweshwa na wanasheria unakuwa mbishi

Sheria ya Benki Kuu imesema ni lazima gavana apewe kipindi cha pili! Unadhani waliotunga hawakujua kuna suala la umri? Na pia Sheria ya utumishi wa Umma hakuna ilipoelezea umri wa kustaafu wa Gavana
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Huna unalojua.
Kwako wewe ukiteuliwa basi lazima utimize mihula miwili au sio??
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706] Huna unalojua.
Kwako wewe ukiteuliwa basi lazima utimize mihula miwili au sio??
Kwa nafasi ambazo zimewekewa ivyo na sheria ni lazima. Kama haijawekwa hivyo kisheria basi sio lazima
 
Benki Kuu, ndiyo taasisi inayoitegemewa kuandaa monetary and fiscal policies za nchi yoyote ,
-kwenye mtikisiko wa uchumi duniani uliosababishwa na ugonjwa wa Covid-19 na vita vya Urusi-Ukraine
- Gavana Ni vema akawa mbobezi kwenye masuala ya uchumi na fedha ili aweze kuongea lugha moja na mataifa na taasisi zingine za fedha na uchumi duniani kwenye masuala ya micro na macro economic policies .
-Mamlaka ya uteuzi inawezekana imezingia sifa hizo
-Siku za hivi karibuni Mamlaka za uteuzi zimekuwa zikiteua Gavana wa Benki Kuu kisiasa au kwa mtizamo kuwa ile Ni nafasi ya uongozi, siyo lazima awe mbobezi kwenye masuala ya uchumi na fedha,atasaidiwa na watalaam wa chini yake.
-Kama Gavana ni slow learner huwa kunakuwa na ombwe la kiutendaji kati ya Wasaidizi wake na Gavana.
-Kila la Heri Gavana mpya na kila Heri Gavana mstaafu,kuna maisha baada ya kustaafu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Sifa za kuwa gavana zinajulikana. Hata profesa Luoga alikuwa nazo
 
Miaka 8 ya Magufuli na Samia wameharibu sana precedence ya civil services hasa kwenye senior post kwa kuweka unqualified people (not necessarily through academic).

Makatibu wakuu ambao hawajawai kufanya kazi katika utawala wa kiserikali na kuweka watu kwenye post wasizo kuwa na qualification nazo.

Huyo El Maamry ana sifa zote za kuwa waziri wa fedha kama ingempendeza raisi lakini sio katibu wizara ya fedha, ajafanya kazi kwenye utawala wa serikali.

Unless labda badala ya kumtimua Mwigulu (chawa wake mpendwa, kwa kuelemewa na kazi) Bi Tozo kaona amweke katibu mkuu mwenye uelewa mpana wa uchumi kumsaidia kazi na kumfunga speed governor kwenye tozo maana ndio kitu anachokijua Mwigulu (that’s my take).

Huyo Tutuba hakuwa na sifa ya kuwa katibu mkuu, governor wa BoT ndio kabisa hana qualification za uchumi wala banking experience.

Hiyo nchi aiwezi endelea miaka 800 kama civil services ni weak kuanzia juu. Strong civil services yenye weledi ndio heartbeat ya kila kitu usalama wa nchi, good governance, positive results and eventually a progressive society.

Ndio atukatai maraisi wana right ya kuchagua watu wanaodhani sahihi kwao, ila Bi Tozo sasa hivi she is abusing her powers and making a mockery of senior civil services posts.
 
Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba ameteuliwa kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT

Wasifu wa Gavana / Governor Emmanuel M. Tutuba / Biography / CV :

2019
Assistant Commissioner for Budget
- Expenditure tracking and performance monitoring (Ministry of Finance and Planning)
  • 1999-2001 : masters of business administration in corporate management MBA Corp MGT Mzumbe
  • 1992-1994 : advanced Diploma in Economic Planning- ADEP (IDM Mzumbe)
  • 1992-1994 : Advanced Secondary Education - Milambo secondary school
Source : www.parliament.go.ke files : Report of the Auditor - General on African Institute for Capacity Development AICAD - Office of the Auditor General

03 February 2020


Katibu Tawala wa mkoa RAS
  • Rais John Magufuli amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Katibu Tawala Mkoa wa Mwanza leo tarehe 3 February 2020 Ikulu ya Dar es Salaam


Mjumbe wa Bodi ya REA

  • Mr. Emmanuel Mpawe Tutuba - Rural Energy Board Director Rural Electrification Authority REA
Kamishna Tume ya Madini
  • Emmanuel M. Tutuba commissioner Mining Commission
Katibu Mkuu wizara ya fedha
  • Rais Samia Hassan leo tarehe 6 April 2021 amuapisha Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa katibu mkuu wizara ya Fedha na Mipango


Gavana wa Benki Kuu BOT
  • Leo tarehe 7 January 2023 Rais Samia Hassan amteua Bw. Emmanuel Mpawe Tutuba kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania BOT
Yaani tunampa u-governor mtu hajawahi fanya researches on economics and finance? It's too risky!
 
Miaka 8 ya Magufuli na Samia wameharibu sana precedence ya civil services hasa kwenye senior post kwa kuweka unqualified people (not necessarily through academic).

Makatibu wakuu ambao hawajawai kufanya kazi katika utawala wa kiserikali na kuweka watu kwenye post wasizo kuwa na qualification nazo.

Huyo El Maamry ana sifa zote za kuwa waziri wa fedha kama ingempendeza raisi lakini sio katibu wizara ya fedha, ajafanya kazi kwenye utawala wa serikali.

Unless labda badala ya kumtimua Mwigulu (chawa wake mpendwa, kwa kuelemewa na kazi) Bi Tozo kaona amweke katibu mkuu mwenye uelewa mpana wa uchumi kumsaidia kazi na kumfunga speed governor kwenye tozo maana ndio kitu anachokijua Mwigulu (that’s my take).

Huyo Tutuba hakuwa na sifa ya kuwa katibu mkuu, governor wa BoT ndio kabisa hana qualification za uchumi wala banking experience.

Hiyo nchi aiwezi endelea miaka 800 kama civil services ni weak kuanzia juu. Strong civil services yenye weledi ndio heartbeat ya kila kitu usalama wa nchi, good governance, positive results and eventually a progressive society.

Ndio atukatai maraisi wana right ya kuchagua watu wanaodhani sahihi kwao, ila Bi Tozo sasa hivi she is abusing her powers and making a mockery of senior civil services posts.
TUTUBA hana QUALIFICATION?? We jamaa unajua sifa za kuwa GAVANA lakini??
 
Miaka 8 ya Magufuli na Samia wameharibu sana precedence ya civil services hasa kwenye senior post kwa kuweka unqualified people.

Makatibu wakuu ambao hawajawai kufanya kazi katika utawala wa kiserikali na kuweka watu kwenye post wasizo kuwa na qualification nazo.

Huyo El Maamry ana sifa zote za kuwa waziri wa fedha kama ingempendeza raisi lakini sio katibu wizara ya fedha.

Unless labda badala ya kumtimua Mwigulu (chawa wake mpendwa, kwa kuelemewa na kazi) kaona amweke katibu mkuu mwenye uelewa mpana wa uchumi kumsaidia kazi.

Huyo Tutuba hakuwa na sifa ya kuwa katibu mkuu, governor wa BoT ndio kabisa hana qualification za uchumi wala banking experience.

Hiyo nchi aiwezi endelea miaka 800 kama civil services ni weak kuanzia juu. Strong civil services yenye weledi ndio heartbeat ya kila kitu usalama wa nchi, good governance, positive results and eventually a progressive society.

Ndio maraisi wana right ya kuchagua watu wanaodhani sahihi kwao, ila Bi Tozo sasa hivi she is abusing her powers and making a mockery of senior civil services posts.

Maneno mazito haya, lakini umefafanua vizuri point nyingi kuhusu umakini wa kuhakikisha mteuliwa aonekane ana uwezo maana pale BOT pana PhD holders kibao kali bila kusahau first degree zao na masters zilikuwa hatari sana pia wenye miaka mingi ndani ya utumishi wa Benki Kuu .
 
TUTUBA hana QUALIFICATION?? We jamaa unajua sifa za kuwa GAVANA lakini??
Previous banking experience and not short of masters in economy; nchi nyingi duniani ni Phd za economy tena wenye thesis za banking. Otherwise ni mwendo wa kuteua within the bureau tu.
 
Previous banking experience and not short of masters in economy; nchi nyingi duniani ni Phd za economy tena wenye thesis za banking. Otherwise ni mwendo wa kuteua within the bureau tu.
Soma hapa, wewe umekariri.
JamiiForums-1847178574.jpg
 
Maneno mazito haya, lakini umefafanua vizuri point nyingi kuhusu umakini wa kuhakikisha mteuliwa aonekane ana uwezo maana pale BOT pana PhD holders kibao kali bila kusahau first degree zao na masters zilikuwa hatari sana pia wenye miaka mingi ndani ya utumishi wa Benki Kuu .
Ndio maana nchi nyingi duniani replacement huwa from within.

Performance wise it is demoralising kwa hao technocrats wa BoT kuanza kuwafundisha kazi ma-governor ambao unqualified.

Wakimteua governor nje bank kuu huyo mtu ana special success ambayo nchi inahitaji alichofanya kwengine kikafanikiwa apaleke na nchini kwao.

Tanzania sasa hivi inakabiliwa na high inflation huyo ni mtu sahihi kweli, kwanza ni sehemu ya tatizo kama alishindwa kumshauri waziri wa fedha ataweza majukumu ya BoT.
 
Benki Kuu, ndiyo taasisi inayoitegemewa kuandaa monetary and fiscal policies za nchi yoyote ,
-kwenye mtikisiko wa uchumi duniani uliosababishwa na ugonjwa wa Covid-19 na vita vya Urusi-Ukraine
- Gavana Ni vema akawa mbobezi kwenye masuala ya uchumi na fedha ili aweze kuongea lugha moja na mataifa na taasisi zingine za fedha na uchumi duniani kwenye masuala ya micro na macro economic policies .
-Mamlaka ya uteuzi inawezekana imezingia sifa hizo
-Siku za hivi karibuni Mamlaka za uteuzi zimekuwa zikiteua Gavana wa Benki Kuu kisiasa au kwa mtizamo kuwa ile Ni nafasi ya uongozi, siyo lazima awe mbobezi kwenye masuala ya uchumi na fedha,atasaidiwa na watalaam wa chini yake.
-Kama Gavana ni slow learner huwa kunakuwa na ombwe la kiutendaji kati ya Wasaidizi wake na Gavana.
-Kila la Heri Gavana mpya na kila Heri Gavana mstaafu,kuna maisha baada ya kustaafu

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
BOT kunadeputy governors wawili economists..lakini hawana WAnasheria wabobezi.. so Kumoga ilikiwa Sawa kuleta mix of experience.Tatizo tumakalilishwa kwamba governor lazima awe mchukue Tu wakati katiba unasema sofa za governor
 
Soma hapa, wewe umekariri. View attachment 2473463
That statement is vague

Kwa mfano is any lawyer qualified? can you appoint a criminal lawyer as a governor.

Banking experience at what level can you appoint someone with an economy degree but has never even been a branch manager as governor.

On the other hand business lawyers study all manner of businesses undertaking, whereas financial and accountancy qualifications makes sense but only if they have held senior banking posts.

Hiyo sheria ina mapungufu ya clarifications on wording it leaves large scope of interpretation; kama ni mahakamani judge anarudi kwenye hansard kuangalia bunge lilikusaidia ni watu gani specific yeyote kama sheria inavyosema au kuna other criteria’s.
 
Safisana..watu wanalazimisha governor lazima awe economists..Hizi ni njema za wanauchumi kujipigia debe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Finance, Accounting, Economics na Law. Hawa ndio wanasifa za kuwa GAVANA na kwa waziri wa FEDHA unaondoa hiyo LAW.
 
That statement is vague

Kwa mfano any lawyer is qualified, can you appoint a criminal lawyer as governor.

Banking experience at what level can you appoint someone with an economy degree but has never even been a branch manager as governor.

On the other hand business lawyers study all manner of business undertaking, financial and accountancy makes sense but only if they have held senior banking posts.

Hiyo sheria ina mapungufu ya clarifications on wording it leaves large scope of interpretation; kama ni mahakamani judge anarudi kwenye hansard kuangalia bunge lilikusaidia ni watu gani specific yeyote kama sheria inavyosema au kuna other criteria’s.
Mzee pita hiviiiiiiiii [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
 
Mzee pita hiviiiiiiiii [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
OK

Elewa ila mtu akienda mahakamani kupinga hiyo teuzi kuna kitu kinaitwa ‘Judicial Creativity’ kwenye maamuzi njia moja wapo ni ‘purposive approach’ ya sheria yenyewe and that decision does not necessarily end with the wording kwenye sheria.
 
Naunga mkono hoja. Tuna wachumi na wataalamu wengi sana kustahili kuwa Gavana.

Hata Luoga sheria ilikuwa inamlinda kuendelea sijui nani kamshauri Rais amtoe.

Ukiangalia mustakabali wa usalama na maendeleo yetu kiuchumi na hata kimaendeleo huko mbeleni hizi teuzi za mama yetu zinatupa ukakasi sana
Miaka 8 ya Magufuli na Samia wameharibu sana precedence ya civil services hasa kwenye senior post kwa kuweka unqualified people (not necessarily through academic).

Makatibu wakuu ambao hawajawai kufanya kazi katika utawala wa kiserikali na kuweka watu kwenye post wasizo kuwa na qualification nazo.

Huyo El Maamry ana sifa zote za kuwa waziri wa fedha kama ingempendeza raisi lakini sio katibu wizara ya fedha, ajafanya kazi kwenye utawala wa serikali.

Unless labda badala ya kumtimua Mwigulu (chawa wake mpendwa, kwa kuelemewa na kazi) Bi Tozo kaona amweke katibu mkuu mwenye uelewa mpana wa uchumi kumsaidia kazi na kumfunga speed governor kwenye tozo maana ndio kitu anachokijua Mwigulu (that’s my take).

Huyo Tutuba hakuwa na sifa ya kuwa katibu mkuu, governor wa BoT ndio kabisa hana qualification za uchumi wala banking experience.

Hiyo nchi aiwezi endelea miaka 800 kama civil services ni weak kuanzia juu. Strong civil services yenye weledi ndio heartbeat ya kila kitu usalama wa nchi, good governance, positive results and eventually a progressive society.

Ndio atukatai maraisi wana right ya kuchagua watu wanaodhani sahihi kwao, ila Bi Tozo sasa hivi she is abusing her powers and making a mockery of senior civil services posts.
 
Back
Top Bottom