Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe hupendi ngono? Kheri wewe.Na wewe unapenda ngono, yakuambiwa hutaki mpaka uone 100/100. Duh. Unasemaga Kenya mnajuwa kuchangamkia fursa ya kujitangaza, haya fusra hiyo changamkeni.
Na wewe unapenda ngono, yakuambiwa hutaki mpaka uone 100/100. Duh. Unasemaga Kenya mnajuwa kuchangamkia fursa ya kujitangaza, haya fusra hiyo changamkeni.
You are a Kenyan no wonder...Iam gay and proud of it, sijui nyie mnateta nini na Haya mambo yalianza zamani, all of us need to embrace the gay pride!
Ahaaa sio hivyo, wengine tunapenda ngono zile za ki "Mummy & Daddy". Ndugu yako MK254 yeye anapenda zile za "Sugar Mummy & Sugar Daddy". [emoji23]Wewe hupendi ngono? Kheri wewe.
Haha, MK254 anatusema sana watanzania hatujuwi kuchangamkia fusra za kutangaza utali. Hapo nimemkumbusha wachangamkie na hii ya masimba shoga.Wakenya wameona hiyo nayo ni fursa.. hawa Watu wako na shobo kwa wazungu hadi kwenye mambo ya kijinga..
Hao sio gay lions
Ni a female lion with mane(nywele shingoni)
Inatokeaga mara chache sana
Sasa kama unadhani wanyama wanafanya ushenzi, hawako hivyo
Ni kama mwanamke mwenye ndevu
Ukiangalia hizo picha chini ni simba wa kike ila ana minywele shingoni kama vile ni simba dume
![]()
![]()
![]()
![]()
Ili jina la simba tubadiliahe jamani ndo maana mwaka wa tano sasa hatuchukui ubingwa kwa mambo ya kipuuzi kama haya [emoji3] [emoji3]Aisee hawa Simba sijui wametoa haka katabia wapi? Cheki alivobinua tako hapoo dah![emoji3] [emoji109] [emoji125] View attachment 622961
Kwa hiyo wewe unananiliwa na mwanamme mwenZio?Iam gay and proud of it, sijui nyie mnateta nini na Haya mambo yalianza zamani, all of us need to embrace the gay pride!
Kwa hiyo wewe unananiliwa na mwanamme mwenZio?
Less human?don't bother to argue with them coz are less human than us.
weee Mungu alivyowaumba ninyi warembo mnavyovutia halafu lingine utakuta linammezea mate mwanaume mwenzake. walaaniwe.
Ala? It's still shocking to some of us.Iam gay and proud of it, sijui nyie mnateta nini na Haya mambo yalianza zamani, all of us need to embrace the gay pride!
Ati less human? Wewe wacha hii mambo yako. Less human kitu gani.don't bother to argue with them coz are less human than us.
weee Mungu alivyowaumba ninyi warembo mnavyovutia halafu lingine utakuta linammezea mate mwanaume mwenzake. walaaniwe.
Ati less human? Wewe wacha hii mambo yako. Less human kitu gani.
Iam gay and proud of it, sijui nyie mnateta nini na Haya mambo yalianza zamani, all of us need to embrace the gay pride!
kwani Muumba anapenda huo ujinga?? nyamafu.