Gaza haitamaniki imepigika haswa, Israel wanaendelea kufumua mitaro ya mahandaki na kushusha majengo

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
USIAANZISHE VITA USIYOIWEZA, UKILIANZISHA USILALAMIKE UKIKANDWA !!

N:B: Majengo yanayolipuliwa kwenye video hayana watu, kama wamo ni magaidi






Your browser is not able to display this video.





Your browser is not able to display this video.


Your browser is not able to display this video.
 
Oktoba 7 na iwe kwenye kumbukumbu za Gaza vizazi na vizazi. Wakaandike kumbukumbu hii katika miimo ya malango yao; watokapo na waingiapo wakaisome kumbukumbu hiyo. Na ikawe ishara kwao na vizazi vyao wasirudie tena!
Bado wajipange na kubwa kuliko labda wauwe wapalestina wote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…