dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
Kwenu uhai hauna thamani!Bado wajipange na kubwa kuliko labda wauwe wapalestina wote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu uhai hauna thamani!Bado wajipange na kubwa kuliko labda wauwe wapalestina wote
We bado unawa mateka wakati wazayuni wameua 42000+ na majeruhi 100,300 kuvuruga kila kitu.Lakini mateka bado wameshikiliwa
Walitarajia nini kuvamia nchi ya watu? Wakae kwa kutulia mbwa wale.Wamejibu kikatili sana aisee...
Wameua 42,000 wakiwemo maelfu ya Hamas Tangu mwaka Jana zaidi ya siku 400We bado unawa mateka wakati wazayuni wameua 42000+ na majeruhi 100,300 kuvuruga kila kitu.
nani kapoteza
Acha upumbavu kama huna la kujadili kanye ulaleWameua 42,000 wakiwemo maelfu ya Hamas Tangu mwaka Jana.
Hao Hamas waliua 1,200 ndani ya siku moja tu,
Akili kisoda hizi,una mateka mia then unasababisha Mji wenye mamilioni ya watu kuwa kifusi na maelfu ya vifo na vilema.Lakini mateka bado wameshikiliwa
Yeye anasema eti kazi yenyewe bado kabisa hawajaanza. Asee!Aisee yani hapo sidhani kama hata maiti zitakutwa, netanyahu inatosha sasaa, tayar wameshapata somo
Lakini mateka bado wameshikiliwa
Nilikua namtaarifu mtoa mada anayesema gaza imechakaa kuwa Israel waneshindwa kupata mateka sasa wameamua kuharibu mji au kiufupi kwenye hiyo vita wameishiwa mbinu mkuu.Kwa hiyo uharibifu wote ni kwa ajili ya kupata mateka! Kweli kuna tabu vichwani mwenu!
Kazi iendeleeAkili kisoda hizi,una mateka mia then unasababisha Mji wenye mamilioni ya watu kuwa kifusi na maelfu ya vifo na vilema.
USIAANZISHE VITA USIYOIWEZA, UKILIANZISHA USILALAMIKE UKIKANDWA !!
N:B: Majengo yanayolipuliwa kwenye video hayana watu, kama wamo ni magaidi
View attachment 3174716
View attachment 3174713
View attachment 3174701
View attachment 3174698
View attachment 3174695
Kwani nani anawatafuta hao mateka?Lakini mateka bado wameshikiliwa
Uandishi wako unashabihiana na uandishi wa Biblia. Hongera kwa kipaji. Inavutia kusoma.Oktoba 7 na iwe kwenye kumbukumbu za Gaza vizazi na vizazi. Wakaandike kumbukumbu hii katika miimo ya malango yao; watokapo na waingiapo wakaisome kumbukumbu hiyo. Na ikawe ishara kwao na vizazi vyao wasirudie tena!
Hapo ndipo pa kushangaza uharibifu kwao ni sehemu ya imani yao na mtume wao alikuwa frontier kwenye mapambano akitumia jambia!Kwenu uhai hauna thamani!