Gaza haitamaniki imepigika haswa, Israel wanaendelea kufumua mitaro ya mahandaki na kushusha majengo

Gaza haitamaniki imepigika haswa, Israel wanaendelea kufumua mitaro ya mahandaki na kushusha majengo

Lakini mateka bado wameshikiliwa
Mkuu. kwa akili yako unaona hao mateka bado wapo hamas wanawaangalia mkuu?. Wakiona wapalestina wanavyouwawa na walivyo na hasira na wayahudi Nina uhakika walishawauwa na wangekuwa wapo hai wangeshawarudisha. Na Israel wanajua hao mateka waliuliwa ndiyo maana wanapiga tu now
 
Oktoba 7 na iwe kwenye kumbukumbu za Gaza vizazi na vizazi. Wakaandike kumbukumbu hii katika miimo ya malango yao; watokapo na waingiapo wakaisome kumbukumbu hiyo. Na ikawe ishara kwao na vizazi vyao wasirudie tena!
Gaza hairudi tana kuwa chini ya wapalestina ,hayo yanaenda kuwa makazi mapya ya wayahudi..hizo kumbukumbu waandike wavaakobazi kwenye vitabu vyao na nyumba zao za ibada.
 
Lakini mateka bado wameshikiliwa
wangetaka mateka waokolewe wang kule chini , Israel wametumia njia yang ya kukuonesha kuwa usidhani ninajali kuhusu mateka , mm najali zaid kuhusu mtekaj apewe kisago asije fikiria tena kuteka watu akidhani watamlinda
 
Wanadamu tunapenda sana maghorofa na mambo mazuri mazuri? Wao wanechagua uhuru kwao ni bora kuliko kua katika maghorofa ya ushetwani, ingawa peponi kuna maghorofa zaidi ya hayo halafu unamiliki peke yako na kufa hufi vilevile kipi bora?
Na kwenye gorofa kuna mito ya pombe,nyama yanguruwe huku ukilomba wanawake 72 hakika imani ya mudi ni mpuuzi pekee atakayeiamini
 
Hakuna cha Magaidi wala nini hapo lengo ni kuua watu wote na kuchukua eneo lote la Gaza na Palestina kwa ujumla liwe Israel ndiyo maana wanaharibu kila kitu ili Wapalestina wote waondoke.
 
Nilikua namtaarifu mtoa mada anayesema gaza imechakaa kuwa Israel waneshindwa kupata mateka sasa wameamua kuharibu mji au kiufupi kwenye hiyo vita wameishiwa mbinu mkuu.
Kuna mtu alisemaga asilimia kubwa ya watu wa kanda ya kati wana ubongo mdogo kutokana na lishe mbovu.......
 
Oktoba 7 na iwe kwenye kumbukumbu za Gaza vizazi na vizazi. Wakaandike kumbukumbu hii katika miimo ya malango yao; watokapo na waingiapo wakaisome kumbukumbu hiyo. Na ikawe ishara kwao na vizazi vyao wasirudie tena!
Bado hawa islamists wetu watadai tunashinda vita!
 
Back
Top Bottom