GAZA: Tukiendelea kuwatia adabu mpaka wataondoka wenyewe

GAZA: Tukiendelea kuwatia adabu mpaka wataondoka wenyewe

Hata kama ni 500 .........nyie mmekufa wangapi?........Netanyahu kasema ataua mpaka vilembwe na wala hajari

Wewe hufuatilii habari za dunia, unafuata mkumbo tu.

Mpaka sasa wameshakufa wanajeshi sio chini ya 5000, wewe unaongelea 500 tu!

Hamas anauwa idf
Magaidi ya idf yanauwa kina nani kama sio kulipua maghorofa, kupiga mahospitali, mashule n.k, kuuwa watu wasio na hatia, huo ndio uanaume! Hamas weka mbali na watoto
 
Kwahiyo umepata Dume lingine? Mambo ya kujiua ndio basi?
Nimepata mkuu usipaniki
Screenshot_20231113-131958.png
 
Wewe hufuatilii habari za dunia, unafuata mkumbo tu.

Mpaka sasa wameshakufa wanajeshi sio chini ya 5000, wewe unaongelea 500 tu!

Hamas anauwa idf
Magaidi ya idf yanauwa kina nani kama sio kulipua maghorofa, kupiga mahospitali, mashule n.k, kuuwa watu wasio na hatia, huo ndio uanaume! Hamas weka mbali na watoto
Na hamas wamekufa wangapi toka October 07 ?????
Kumi na mbili eeeeh?????🤣😂😂😂😂
NB: MLIVYO WAJINGA HAMJUI KUA MEMBER WA HAMAS WANAVAA KIRAIA NA KUJIFICHA KWENYE WATU ILI WASIUAWE.....MNALETA USHABIKI WAKATI HALI HALISI TUNAIONA NANI KAZIDIWA VITANI
UANAUME UPI SASA KULIA LIA KUOMBA CEASE FIRE NA KUVUA SARE ZA KIJESHI NA KUJIFICHA KWA RAIA BAADA YA NGOMA KUA NZITO 🤣🤣🤣
Screenshot_20231208-201559.png
WAKATI WALIANZISHA WAO OCTOBER 07
 
Mtanzania waliyesema ameuliwa na Hamas alikuwa Israel Kwa kusomea ukulima. 😅 Inasikitisha kuona mtanzania kwenda kusaidia kuuwa watu walio dhulumiwa. Jiweke kwenye nafasi ya watu WA Gaza nchi mali yao wameibiwa kwa nguvu Halafu mtanzania ANAKUJA kuungana na madhalimu. Hakika ikiwa ni kweli basi Mungu atoe hukumu kali KWAKUWA yeye ndio ajuaye. Sambaza dunia nzima.
View attachment 2847106

Wabongo wenu waliouwawa na hamas hao mkasema wametekwa bila hatia..kumbe njaa iliwaponza walitaka utajir kwa kulipwa pesa nyingi na yahud wauwe wapalestina..sasa wapo jahanam shenz type😀

View attachment 2847106
Propaganda za waislamu na waarabu za kuona aibu ya kifo cha dogo molell.
UNAJUA HII PICHA ULIYOWEKA NI YA WATU WA ASILI GANI NA KWANINI WAPO ISRAEL?????
KAMA HUJUI SEMA USAIDIWE?????
WASOMI NA WAANDISHI WA HABARI TUNAKUONA MJINGA KULETA MADA ISIYOHUSIKA HAPA...
UNAJUA HAWA NI AKINA NANI???
 
Na hamas wamekufa wangapi toka October 07 ?????
Kumi na mbili eeeeh?????🤣😂😂😂😂
NB: MLIVYO WAJINGA HAMJUI KUA MEMBER WA HAMAS WANAVAA KIRAIA NA KUJIFICHA KWENYE WATU ILI WASIUAWE.....MNALETA USHABIKI WAKATI HALI HALISI TUNAIONA NANI KAZIDIWA VITANI
UANAUME UPI SASA KULIA LIA KUOMBA CEASE FIRE NA KUVUA SARE ZA KIJESHI NA KUJIFICHA KWA RAIA BAADA YA NGOMA KUA NZITO 🤣🤣🤣 View attachment 2847491WAKATI WALIANZISHA WAO OCTOBER 07
Nionyshe hamas wamevaa nguo za kiraia
 
Wewe hufuatilii habari za dunia, unafuata mkumbo tu.

Mpaka sasa wameshakufa wanajeshi sio chini ya 5000, wewe unaongelea 500 tu!

Hamas anauwa idf
Magaidi ya idf yanauwa kina nani kama sio kulipua maghorofa, kupiga mahospitali, mashule n.k, kuuwa watu wasio na hatia, huo ndio uanaume! Hamas weka mbali na watoto
Wanajeshi 5000? Unadhani idf hata kama hawajijui wale ni mgambo wa jiji?.......usichekeshe walionuna hata kama lingeenda jeshi namba sita kwa ubora(tanzania) wasingekufa 5000 na Ubutu wao wa dhana na kira kitu.........zingatia elfu 5000.............sio unareta maneno yako ya vijiweni unadhania wote huwa tunakaa huko mpumbavu wewe
 
Wanajeshi 5000? Unadhani idf hata kama hawajijui wale ni mgambo wa jiji?.......usichekeshe walionuna hata kama lingeenda jeshi namba sita kwa ubora(tanzania) wasingekufa 5000 na Ubutu wao wa dhana na kira kitu.........zingatia elfu 5000.............sio unareta maneno yako ya vijiweni unadhania wote huwa tunakaa huko mpumbavu wewe
Kwahio magaidi ya idf wamekufa wangapi ndugu chamakasiriko
Basi magaidi ya idf hajafa hata mmoja umefurahi???
 
Wanajeshi 5000? Unadhani idf hata kama hawajijui wale ni mgambo wa jiji?.......usichekeshe walionuna hata kama lingeenda jeshi namba sita kwa ubora(tanzania) wasingekufa 5000 na Ubutu wao wa dhana na kira kitu.........zingatia elfu 5000.............sio unareta maneno yako ya vijiweni unadhania wote huwa tunakaa huko mpumbavu wewe

Sema imekuchoma hiyo idadi, na kithibitisho kipo.

Ila ninyi huwa mnaongea bila facts, mkibanwa mlete kithibitisho hamleti.
 
Propaganda za waislamu na waarabu za kuona aibu ya kifo cha dogo molell.
UNAJUA HII PICHA ULIYOWEKA NI YA WATU WA ASILI GANI NA KWANINI WAPO ISRAEL?????
KAMA HUJUI SEMA USAIDIWE?????
WASOMI NA WAANDISHI WA HABARI TUNAKUONA MJINGA KULETA MADA ISIYOHUSIKA HAPA...
UNAJUA HAWA NI AKINA NANI???

Yeyote anaemsaidia kafiri wa kizayuni basi shingo yake ni halali yetu, awe mtanzania, mmarekani, mbrazili, muingereza n.k.
 
Yeyote anaemsaidia kafiri wa kizayuni basi shingo yake ni halali yetu, awe mtanzania, mmarekani, mbrazili, muingereza n.k.
SAWA MKUU ILA NA NYIE MSILIE KAMA WANAWAKE NA KUVUA NGUO ZA KIJESHI NA KUVAA KIRAIA NA KUOMBA CEASE FIRE MKIWA MNAPEWA KICHAPO........NA MAKAFIR WA KIYAHUDI WAZEE WA KUWASHIKISHA ADABU NA KILA MTU ANAONA KUPITIA AL JAZEERA TV NA TV ARABIYA NA REDIO IMANI 🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20231214-191234.png
Screenshot_20231208-201559.png
 
View attachment 2846962
View attachment 2846948
Wapiganaji wa Al-Qassam (H@M@S)wakilenga wanajeshi 10 wa Israel waliojificha nyuma ya kifaru.

Source TRT
Source Aljazeera

Pamoja na kusaidiwa na Nchi za Magharibi kubomoa maghorofa, kupiga mahospitali, mashule, kuuwa wasio na hatia, waandishi wa habari (Journalists), walimu, watoto, wamama, wazee, vijana. Pamoja na yote hayo! Lakini bado wameshindwa kupambana na jeshi la Al-Qassam (Hamas), na wanajeshi hao wa kizayuni wakiendelea kuuawa. ALLAHU AKBARU.

Allah husimama na mwenye haki, in shaa Allah ushindi unakuja. Nasema hivi👉 kwa uwezo wake Allah tutashinda vita hii in shaa Allah!

Mods nawaomba msiufute ama kuuhamisha uzi huu, Ituzaingo Argentina
yaaa Allah, wasaidie waja wako wanyonge !!! yaaa Allah usiwaache wapwekee hakika yao wamenyanyasika sana, wapatie ushindi yaaarabi
 
Mtawatia adabu Israel wakati ,raia wa Gaza wanalala kwenye vifusi,at the Same time hawana chakuka wala madawa, waarabu wa hamas acheni kiburi cha kijinga maana akili kama hizi ndio zimepelekea hapo Gaza kuwa uwanja wa vita miaka nenda rudi.
 
Hivi una akili timamu wewe mama? Nimekuuliza swali,unataka kila mtu aamini unachokiamini wewe? Badala ya kujibu unakuja kujilamba lipsi mbele yangu,huna jibu kaa kimya.
Sawa mke wa mjomba 😄!.
 
mamangu hajazaliwa pwani, wala sio muumini wa dini hiyo. hayo mambo hata ninyi mnajua kwetu sisi wabara ni kitu cha ajabu. lakini ninyi kwanini mnawaingilia wanawake wenu nyuma? na kwanini hata wanaume mmejazana kufirana? zanzibar, na pwani yote, kondoa everywhere why? badilikeni.
Hoja ya Gaza imeisha 😂😂
 
Back
Top Bottom