GAZA: Tukiendelea kuwatia adabu mpaka wataondoka wenyewe

GAZA: Tukiendelea kuwatia adabu mpaka wataondoka wenyewe

bibi gaidi, mtakamatwa mmoja mmoja, mazayuni yatawavua nguo, yatawaogesha na kuwavesha nguo nyeupe kama hizi. ishara kwamba wanatakiwa kuwa wasafi. Hawa wote unaowaona wamezungushiwa wekundu, wamethibitika kuwa walihusika siku ya tukio na wameshakamatwa. na hapo unapowaona wameshaogeshwa na kuvalishwa nguo mpya.
Hiyo ni dalili ya uoga na kutafuta huruma z kijinga.

Kichapo wanachochezea waziri wao mkuu leo kaomba "truce".
 
Hamas (teasing a new video)

“We made with our own hands what reaps your heads. We will continue kiIIing your soldiers by our locally manufactured sniper rifles.”
 

Attachments

  • IMG_8400.jpeg
    IMG_8400.jpeg
    32.9 KB · Views: 2
Karibu Gaza…
 

Attachments

  • IMG_8401.jpeg
    IMG_8401.jpeg
    30.4 KB · Views: 2
View attachment 2846962
View attachment 2846948
Wapiganaji wa Al-Qassam (H@M@S)wakilenga wanajeshi 10 wa Israel waliojificha nyuma ya kifaru.

Source TRT
Source Aljazeera

Pamoja na kusaidiwa na Nchi za Magharibi kubomoa maghorofa, kupiga mahospitali, mashule, kuuwa wasio na hatia, waandishi wa habari (Journalists), walimu, watoto, wamama, wazee, vijana. Pamoja na yote hayo! Lakini bado wameshindwa kupambana na jeshi la Al-Qassam (Hamas), na wanajeshi hao wa kizayuni wakiendelea kuuawa. ALLAHU AKBARU.

Allah husimama na mwenye haki, in shaa Allah ushindi unakuja. Nasema hivi👉 kwa uwezo wake Allah tutashinda vita hii in shaa Allah!

Mods nawaomba msiufute ama kuuhamisha uzi huu, Ituzaingo Argentina
Shida ni kua Israel akilipiza hilo anaenda kupiga bomu sokoni, hospitalini au shuleni. Shauri zenu haangalii nani watakakufa hilo halimuhusu.

Kama nyinyi inawahusu sana basi zuieni Hamas wenu.
 
Licha ya Marekani kuunda umoja wa kuwazuia Wayemeni, mashujaa Wayemeni leo wameshambulia tena meli mbili zinazokwenda israel:

 
Shida ni kua Israel akilipiza hilo anaenda kupiga bomu sokoni, hospitalini au shuleni. Shauri zenu haangalii nani watakakufa hilo halimuhusu.

Kama nyinyi inawahusu sana basi zuieni Hamas wenu.
Unaona ulivyokuwa punguani unafananisha Yemen na Gaza Hamas hawana silaha zozote wala makombora ya kutungulia ndege, Israel kwenda Yemen lazima apite anga ya Saudia na hizo ndege haziwezi kurudi, Saudia akiruhusu anga yake Yemen anashambulia wote tena inakuwa rahisi kwake kwenda kushambulia Israel ndani.
 
Unaona ulivyokuwa punguani unafananisha Yemen na Gaza Hamas hawana silaha zozote wala makombora ya kutungulia ndege, Israel kwenda Yemen lazima apite anga ya Saudia na hizo ndege haziwezi kurudi, Saudia akiruhusu anga yake Yemen anashambulia wote tena inakuwa rahisi kwake kwenda kushambulia Israel ndani.
We mpumbavu huu Uzi unahusu Gaza na Israel, sio ule wako wa Yemen. Ficha ujinga wako.
 
We mpumbavu huu Uzi unahusu Gaza na Israel, sio ule wako wa Yemen. Ficha ujinga wako.
Wewe pungua vita vimeishasambaa kwani Yemen anapiga nyuma ya nani? Hawa Waisrael weusi wa Majimatitu wana shida.
 
Hiyo ni dalili ya uoga na kutafuta huruma z kijinga.

Kichapo wanachochezea waziri wao mkuu leo kaomba "truce".
Ok. kwahiyo hamas wameshinda? hamas wenyewe sasa ndio wale waliovuliwa nguo na wanaupinde na makalio yao yamechubuka, si ndio?
 
Natamani kila mmoja humu angekuwa anaelewa kinachoongewa hapa.

Miujiza ya Allah, mbwa badala ya kuwasaidia wanaomfuga kawasaidia wanyonge.

Kwa ufupi:

Mbwa kala Mbwa.​

mbwa wa jeshi la mazayuni awasaidia wapiganaji wa Hamas kugundua mahali walipojificha na kupelekea vijana wa Ham maisha ya mazayuni hao.​



 
Ok. kwahiyo hamas wameshinda? hamas wenyewe sasa ndio wale waliovuliwa nguo na wanaupinde na makalio yao yamechubuka, si ndio?
Wewe unaweza kuleta picha zozote na ukasema hao ni Hamas hamna tatizo Waisrael wenyewe wanajua Beto lilipo Gaza ni kaeneo kadogo sana kama Kigamboni mwezi wa tatu sasa hata mateka hajapata tumeona wamewakamata Hamas wengi kweli wamewavua nguo😂😂
 
500 Israeli soldiers are being treated for psychological difficulties in the Israeli Ministry of War after October 7th — Haaretz
 
Back
Top Bottom