Ituzaingo Argentina
JF-Expert Member
- Jun 20, 2020
- 1,868
- 2,191
- Thread starter
-
- #101
Hata kama ni 500 .........nyie mmekufa wangapi?........Netanyahu kasema ataua mpaka vilembwe na wala hajari
Si haba.
Alhaamdullialh
Nimepata mkuu usipanikiKwahiyo umepata Dume lingine? Mambo ya kujiua ndio basi?
Na hamas wamekufa wangapi toka October 07 ?????Wewe hufuatilii habari za dunia, unafuata mkumbo tu.
Mpaka sasa wameshakufa wanajeshi sio chini ya 5000, wewe unaongelea 500 tu!
Hamas anauwa idf
Magaidi ya idf yanauwa kina nani kama sio kulipua maghorofa, kupiga mahospitali, mashule n.k, kuuwa watu wasio na hatia, huo ndio uanaume! Hamas weka mbali na watoto
Propaganda za waislamu na waarabu za kuona aibu ya kifo cha dogo molell.Mtanzania waliyesema ameuliwa na Hamas alikuwa Israel Kwa kusomea ukulima. π Inasikitisha kuona mtanzania kwenda kusaidia kuuwa watu walio dhulumiwa. Jiweke kwenye nafasi ya watu WA Gaza nchi mali yao wameibiwa kwa nguvu Halafu mtanzania ANAKUJA kuungana na madhalimu. Hakika ikiwa ni kweli basi Mungu atoe hukumu kali KWAKUWA yeye ndio ajuaye. Sambaza dunia nzima.
View attachment 2847106
Wabongo wenu waliouwawa na hamas hao mkasema wametekwa bila hatia..kumbe njaa iliwaponza walitaka utajir kwa kulipwa pesa nyingi na yahud wauwe wapalestina..sasa wapo jahanam shenz typeπ
View attachment 2847106
Nionyshe hamas wamevaa nguo za kiraiaNa hamas wamekufa wangapi toka October 07 ?????
Kumi na mbili eeeeh?????π€£ππππ
NB: MLIVYO WAJINGA HAMJUI KUA MEMBER WA HAMAS WANAVAA KIRAIA NA KUJIFICHA KWENYE WATU ILI WASIUAWE.....MNALETA USHABIKI WAKATI HALI HALISI TUNAIONA NANI KAZIDIWA VITANI
UANAUME UPI SASA KULIA LIA KUOMBA CEASE FIRE NA KUVUA SARE ZA KIJESHI NA KUJIFICHA KWA RAIA BAADA YA NGOMA KUA NZITO π€£π€£π€£ View attachment 2847491WAKATI WALIANZISHA WAO OCTOBER 07
Wanajeshi 5000? Unadhani idf hata kama hawajijui wale ni mgambo wa jiji?.......usichekeshe walionuna hata kama lingeenda jeshi namba sita kwa ubora(tanzania) wasingekufa 5000 na Ubutu wao wa dhana na kira kitu.........zingatia elfu 5000.............sio unareta maneno yako ya vijiweni unadhania wote huwa tunakaa huko mpumbavu weweWewe hufuatilii habari za dunia, unafuata mkumbo tu.
Mpaka sasa wameshakufa wanajeshi sio chini ya 5000, wewe unaongelea 500 tu!
Hamas anauwa idf
Magaidi ya idf yanauwa kina nani kama sio kulipua maghorofa, kupiga mahospitali, mashule n.k, kuuwa watu wasio na hatia, huo ndio uanaume! Hamas weka mbali na watoto
Kwahio magaidi ya idf wamekufa wangapi ndugu chamakasirikoWanajeshi 5000? Unadhani idf hata kama hawajijui wale ni mgambo wa jiji?.......usichekeshe walionuna hata kama lingeenda jeshi namba sita kwa ubora(tanzania) wasingekufa 5000 na Ubutu wao wa dhana na kira kitu.........zingatia elfu 5000.............sio unareta maneno yako ya vijiweni unadhania wote huwa tunakaa huko mpumbavu wewe
Wanajeshi 5000? Unadhani idf hata kama hawajijui wale ni mgambo wa jiji?.......usichekeshe walionuna hata kama lingeenda jeshi namba sita kwa ubora(tanzania) wasingekufa 5000 na Ubutu wao wa dhana na kira kitu.........zingatia elfu 5000.............sio unareta maneno yako ya vijiweni unadhania wote huwa tunakaa huko mpumbavu wewe
Propaganda za waislamu na waarabu za kuona aibu ya kifo cha dogo molell.
UNAJUA HII PICHA ULIYOWEKA NI YA WATU WA ASILI GANI NA KWANINI WAPO ISRAEL?????
KAMA HUJUI SEMA USAIDIWE?????
WASOMI NA WAANDISHI WA HABARI TUNAKUONA MJINGA KULETA MADA ISIYOHUSIKA HAPA...
UNAJUA HAWA NI AKINA NANI???
SAWA MKUU ILA NA NYIE MSILIE KAMA WANAWAKE NA KUVUA NGUO ZA KIJESHI NA KUVAA KIRAIA NA KUOMBA CEASE FIRE MKIWA MNAPEWA KICHAPO........NA MAKAFIR WA KIYAHUDI WAZEE WA KUWASHIKISHA ADABU NA KILA MTU ANAONA KUPITIA AL JAZEERA TV NA TV ARABIYA NA REDIO IMANI π€£π€£π€£π€£Yeyote anaemsaidia kafiri wa kizayuni basi shingo yake ni halali yetu, awe mtanzania, mmarekani, mbrazili, muingereza n.k.
yaaa Allah, wasaidie waja wako wanyonge !!! yaaa Allah usiwaache wapwekee hakika yao wamenyanyasika sana, wapatie ushindi yaaarabiView attachment 2846962
View attachment 2846948
Wapiganaji wa Al-Qassam (H@M@S)wakilenga wanajeshi 10 wa Israel waliojificha nyuma ya kifaru.
Source TRT
Source Aljazeera
Pamoja na kusaidiwa na Nchi za Magharibi kubomoa maghorofa, kupiga mahospitali, mashule, kuuwa wasio na hatia, waandishi wa habari (Journalists), walimu, watoto, wamama, wazee, vijana. Pamoja na yote hayo! Lakini bado wameshindwa kupambana na jeshi la Al-Qassam (Hamas), na wanajeshi hao wa kizayuni wakiendelea kuuawa. ALLAHU AKBARU.
Allah husimama na mwenye haki, in shaa Allah ushindi unakuja. Nasema hiviπ kwa uwezo wake Allah tutashinda vita hii in shaa Allah!
Mods nawaomba msiufute ama kuuhamisha uzi huu, Ituzaingo Argentina
yaaa Allah, wasaidie waja wako wanyonge !!! yaaa Allah usiwaache wapwekee hakika yao wamenyanyasika sana, wapatie ushindi yaaarabi
Sawa mke wa mjomba π!.Hivi una akili timamu wewe mama? Nimekuuliza swali,unataka kila mtu aamini unachokiamini wewe? Badala ya kujibu unakuja kujilamba lipsi mbele yangu,huna jibu kaa kimya.
Ndio mumeo kakupa hela ya bondo ujibu leo hiyo comment?Sawa mke wa mjomba π!.
Hoja ya Gaza imeisha ππmamangu hajazaliwa pwani, wala sio muumini wa dini hiyo. hayo mambo hata ninyi mnajua kwetu sisi wabara ni kitu cha ajabu. lakini ninyi kwanini mnawaingilia wanawake wenu nyuma? na kwanini hata wanaume mmejazana kufirana? zanzibar, na pwani yote, kondoa everywhere why? badilikeni.
nilikuwa namjibu kijana aliyemtukana mamangu marehemu kwasababu tu hana hoja. hata hivyo haiongezi wa la kupunguza chochote kinachoendelea gaza.Hoja ya Gaza imeisha ππ