GAZA: Tukiendelea kuwatia adabu mpaka wataondoka wenyewe

Hata kama ni 500 .........nyie mmekufa wangapi?........Netanyahu kasema ataua mpaka vilembwe na wala hajari

Wewe hufuatilii habari za dunia, unafuata mkumbo tu.

Mpaka sasa wameshakufa wanajeshi sio chini ya 5000, wewe unaongelea 500 tu!

Hamas anauwa idf
Magaidi ya idf yanauwa kina nani kama sio kulipua maghorofa, kupiga mahospitali, mashule n.k, kuuwa watu wasio na hatia, huo ndio uanaume! Hamas weka mbali na watoto
 
Na hamas wamekufa wangapi toka October 07 ?????
Kumi na mbili eeeeh?????πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
NB: MLIVYO WAJINGA HAMJUI KUA MEMBER WA HAMAS WANAVAA KIRAIA NA KUJIFICHA KWENYE WATU ILI WASIUAWE.....MNALETA USHABIKI WAKATI HALI HALISI TUNAIONA NANI KAZIDIWA VITANI
UANAUME UPI SASA KULIA LIA KUOMBA CEASE FIRE NA KUVUA SARE ZA KIJESHI NA KUJIFICHA KWA RAIA BAADA YA NGOMA KUA NZITO 🀣🀣🀣 WAKATI WALIANZISHA WAO OCTOBER 07
 
Propaganda za waislamu na waarabu za kuona aibu ya kifo cha dogo molell.
UNAJUA HII PICHA ULIYOWEKA NI YA WATU WA ASILI GANI NA KWANINI WAPO ISRAEL?????
KAMA HUJUI SEMA USAIDIWE?????
WASOMI NA WAANDISHI WA HABARI TUNAKUONA MJINGA KULETA MADA ISIYOHUSIKA HAPA...
UNAJUA HAWA NI AKINA NANI???
 
Nionyshe hamas wamevaa nguo za kiraia
 
Wanajeshi 5000? Unadhani idf hata kama hawajijui wale ni mgambo wa jiji?.......usichekeshe walionuna hata kama lingeenda jeshi namba sita kwa ubora(tanzania) wasingekufa 5000 na Ubutu wao wa dhana na kira kitu.........zingatia elfu 5000.............sio unareta maneno yako ya vijiweni unadhania wote huwa tunakaa huko mpumbavu wewe
 
Kwahio magaidi ya idf wamekufa wangapi ndugu chamakasiriko
Basi magaidi ya idf hajafa hata mmoja umefurahi???
 

Sema imekuchoma hiyo idadi, na kithibitisho kipo.

Ila ninyi huwa mnaongea bila facts, mkibanwa mlete kithibitisho hamleti.
 

Yeyote anaemsaidia kafiri wa kizayuni basi shingo yake ni halali yetu, awe mtanzania, mmarekani, mbrazili, muingereza n.k.
 
Yeyote anaemsaidia kafiri wa kizayuni basi shingo yake ni halali yetu, awe mtanzania, mmarekani, mbrazili, muingereza n.k.
SAWA MKUU ILA NA NYIE MSILIE KAMA WANAWAKE NA KUVUA NGUO ZA KIJESHI NA KUVAA KIRAIA NA KUOMBA CEASE FIRE MKIWA MNAPEWA KICHAPO........NA MAKAFIR WA KIYAHUDI WAZEE WA KUWASHIKISHA ADABU NA KILA MTU ANAONA KUPITIA AL JAZEERA TV NA TV ARABIYA NA REDIO IMANI 🀣🀣🀣🀣
 
yaaa Allah, wasaidie waja wako wanyonge !!! yaaa Allah usiwaache wapwekee hakika yao wamenyanyasika sana, wapatie ushindi yaaarabi
 
Mtawatia adabu Israel wakati ,raia wa Gaza wanalala kwenye vifusi,at the Same time hawana chakuka wala madawa, waarabu wa hamas acheni kiburi cha kijinga maana akili kama hizi ndio zimepelekea hapo Gaza kuwa uwanja wa vita miaka nenda rudi.
 
Hivi una akili timamu wewe mama? Nimekuuliza swali,unataka kila mtu aamini unachokiamini wewe? Badala ya kujibu unakuja kujilamba lipsi mbele yangu,huna jibu kaa kimya.
Sawa mke wa mjomba πŸ˜„!.
 
Hoja ya Gaza imeisha πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hoja ya Gaza imeisha πŸ˜‚πŸ˜‚
nilikuwa namjibu kijana aliyemtukana mamangu marehemu kwasababu tu hana hoja. hata hivyo haiongezi wa la kupunguza chochote kinachoendelea gaza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…