Nani kakwambia kama inaongeza wala kupunguza?nilikuwa namjibu kijana aliyemtukana mamangu marehemu kwasababu tu hana hoja. hata hivyo haiongezi wa la kupunguza chochote kinachoendelea gaza.
Hiyo ni dalili ya uoga na kutafuta huruma z kijinga.bibi gaidi, mtakamatwa mmoja mmoja, mazayuni yatawavua nguo, yatawaogesha na kuwavesha nguo nyeupe kama hizi. ishara kwamba wanatakiwa kuwa wasafi. Hawa wote unaowaona wamezungushiwa wekundu, wamethibitika kuwa walihusika siku ya tukio na wameshakamatwa. na hapo unapowaona wameshaogeshwa na kuvalishwa nguo mpya.
Shida ni kua Israel akilipiza hilo anaenda kupiga bomu sokoni, hospitalini au shuleni. Shauri zenu haangalii nani watakakufa hilo halimuhusu.View attachment 2846962
View attachment 2846948
Wapiganaji wa Al-Qassam (H@M@S)wakilenga wanajeshi 10 wa Israel waliojificha nyuma ya kifaru.
Source TRT
Source Aljazeera
Pamoja na kusaidiwa na Nchi za Magharibi kubomoa maghorofa, kupiga mahospitali, mashule, kuuwa wasio na hatia, waandishi wa habari (Journalists), walimu, watoto, wamama, wazee, vijana. Pamoja na yote hayo! Lakini bado wameshindwa kupambana na jeshi la Al-Qassam (Hamas), na wanajeshi hao wa kizayuni wakiendelea kuuawa. ALLAHU AKBARU.
Allah husimama na mwenye haki, in shaa Allah ushindi unakuja. Nasema hivi👉 kwa uwezo wake Allah tutashinda vita hii in shaa Allah!
Mods nawaomba msiufute ama kuuhamisha uzi huu, Ituzaingo Argentina
Sniper wa kizayuni alisema ajikune pua kidogo, sniper wa Hamas akapeleka kitu hapo hapo👇🏾
View attachment 2848400
Mmhhh,Sniper wa kizayuni alisema ajikune pua kidogo, sniper wa Hamas akapeleka kitu hapo hapo👇🏾
View attachment 2848400
Unaona ulivyokuwa punguani unafananisha Yemen na Gaza Hamas hawana silaha zozote wala makombora ya kutungulia ndege, Israel kwenda Yemen lazima apite anga ya Saudia na hizo ndege haziwezi kurudi, Saudia akiruhusu anga yake Yemen anashambulia wote tena inakuwa rahisi kwake kwenda kushambulia Israel ndani.Shida ni kua Israel akilipiza hilo anaenda kupiga bomu sokoni, hospitalini au shuleni. Shauri zenu haangalii nani watakakufa hilo halimuhusu.
Kama nyinyi inawahusu sana basi zuieni Hamas wenu.
We mpumbavu huu Uzi unahusu Gaza na Israel, sio ule wako wa Yemen. Ficha ujinga wako.Unaona ulivyokuwa punguani unafananisha Yemen na Gaza Hamas hawana silaha zozote wala makombora ya kutungulia ndege, Israel kwenda Yemen lazima apite anga ya Saudia na hizo ndege haziwezi kurudi, Saudia akiruhusu anga yake Yemen anashambulia wote tena inakuwa rahisi kwake kwenda kushambulia Israel ndani.
Angalia beto hii mabwana zenu wanapiga risasi ukuta na mitende.Mmhhh,
Sio movie kweli hii?
Aliechukua hii video yuko karibu na mpigaji au mpigwaji?
Na wewe hapo una mabwana wangapi?Angalia beto hii mabwana zenu wanapiga risasi ukuta na mitende.
View: https://x.com/aryjeay/status/1733216106590904602?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wewe pungua vita vimeishasambaa kwani Yemen anapiga nyuma ya nani? Hawa Waisrael weusi wa Majimatitu wana shida.We mpumbavu huu Uzi unahusu Gaza na Israel, sio ule wako wa Yemen. Ficha ujinga wako.
Ok. kwahiyo hamas wameshinda? hamas wenyewe sasa ndio wale waliovuliwa nguo na wanaupinde na makalio yao yamechubuka, si ndio?Hiyo ni dalili ya uoga na kutafuta huruma z kijinga.
Kichapo wanachochezea waziri wao mkuu leo kaomba "truce".
Waislam WaarabuNANI ANAOMBA CEASE FIRE KULE DOHA???
WAISLAMU WAARABU AU WAYAHUDI????
Wewe unaweza kuleta picha zozote na ukasema hao ni Hamas hamna tatizo Waisrael wenyewe wanajua Beto lilipo Gaza ni kaeneo kadogo sana kama Kigamboni mwezi wa tatu sasa hata mateka hajapata tumeona wamewakamata Hamas wengi kweli wamewavua nguo😂😂Ok. kwahiyo hamas wameshinda? hamas wenyewe sasa ndio wale waliovuliwa nguo na wanaupinde na makalio yao yamechubuka, si ndio?
Hatari sana….Na wewe hapo una mabwana wangapi?