sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Wanavuna walichopanda.jeshi la Israel limefanikiwa kuwaweka chini ya ulinzi wanamgambo wa Hamas kikosi cha Shejaiya
Ni kikosi kikuu mojawapo ndani ya Hamas kilichohusika zaidi kwenye shambulio la October 7 kwa kurusha mamia ya roketi kuelekea Israel, Siku 3 zilizopita makao ngome kuu ya kikosi hicho iliyopo Wissam Farhat, ikiteketezwa na Jeshi la Israel .
Raia wema wa kipalestina kwa sasa wapo Gaza kusini kwa muda na watarudi hapo baadae operesheni zitapomalizika.
magaidi wa Hamas walipewa amri wavue nguo za nje kwa tahadhari za kiusalama ikiwemo hofu mabomu ya kujitoa muhanga.
View attachment 2836051
Mkuu sky soldier,jeshi la Israel limefanikiwa kuwaweka chini ya ulinzi wanamgambo wa Hamas kikosi cha Shejaiya
Ni kikosi kikubwa ndani ya Hamas kilichohusika zaidi kwenye shambulio la October 7 kwa kurusha mamia ya roketi kuelekea Israel, Siku 3 zilizopita ngome kuu ya kikosi hicho iliyopo Wissam Farhat, iliteketezwa na Jeshi la Israel .
Raia wema wa kipalestina kwa sasa wapo Gaza kusini kwa muda na watarudi hapo baadae operesheni zitapomalizika.
magaidi wa Hamas walipewa amri wavue nguo za nje kwa sababu za kiusalama ikiwemo kuchukua tahadhari dhidi ya mabomu ya kujitoa muhanga yanayoshonwa kwenye nguo.
View attachment 2836051
Raia wa kawaida wapo Gaza ya Kusini.Mkuu sky soldier,
Tunaomba source ya habari hii?
Kuondoa utata tu maana wapo wanasema hao ni raia wakawaida.
Ahsante.
Mara wapo 3000 mara ni sawa na panya road mara allah akbal yaani hata hamueleweki ili mradi tu mpigwe na kutafuta huruma.Tumieni askari wasioonekana(majini wema) mtawashinda Wayahudi.Wanamgambo 3000 ndo wanawasumbua Israel mpaka leo?
Unyama waliufanya Hamas October 7 kuua watu wakiwa vitandani kuteka wazee na vitoto vichanga yaani hata Majini na baba lao iblisi yamewakataa Hamas yamesema Allah hajawafundisha waliyofanya Hamas wameanzisha group la Shetani MpyaMara wapo 3000 mara ni sawa na panya road mara allah akbal yaani hata hamueleweki ili mradi tu mpigwe na kutafuta huruma.Tumieni askari wasioonekana(majini wema) mtawashinda Wayahudi.
Kuna raia Zaidi ya 300,000 bado wako gaza kaskazini na wengi walirudi kipindi cha usitishaji wa mapigano.jeshi la Israel limefanikiwa kuwaweka chini ya ulinzi wanamgambo wa Hamas kikosi cha Shejaiya
Ni kikosi kikubwa ndani ya Hamas kilichohusika zaidi kwenye shambulio la October 7 kwa kurusha mamia ya roketi kuelekea Israel, Siku 3 zilizopita ngome kuu ya kikosi hicho iliyopo Wissam Farhat, iliteketezwa na Jeshi la Israel.
Raia wema wa kipalestina kwa sasa wapo Gaza kusini kwa muda na watarudi hapo baadae operesheni zitapomalizika.
magaidi wa Hamas walipewa amri wavue nguo za nje kwa sababu za kiusalama ikiwemo kuchukua tahadhari dhidi ya mabomu ya kujitoa muhanga yanayoshonwa kwenye nguo.
Hamas wameshambulia october 7 lakini israel ameizingira gaza kwa zaidi ya miaka 50 na anauwa wa palestine anavyojisikia kwahyo ulitaka miaka yote wakae kimya tu kukubali uonevu huo wanavunjiwa nyumba zao maeneo wanawekwa wazayuni wanajenga nyumba hayo maeneo wanafanya ushoga humo halafu mnawaita watakatifu,km ww unaweza kuvumilia uonevu ni wwUnyama waliufanya Hamas October 7 kuua watu wakiwa vitandani kuteka wazee na vitoto vichanga yaani hata Majini na baba lao iblisi yamewakataa Hamas yamesema Allah hajawafundisha waliyofanya Hamas wameanzisha group la Shetani Mpya
jeshi la Israel limefanikiwa kuwaweka chini ya ulinzi wanamgambo wa Hamas kikosi cha Shejaiya
Ni kikosi kikubwa ndani ya Hamas kilichohusika zaidi kwenye shambulio la October 7 kwa kurusha mamia ya roketi kuelekea Israel, Siku 3 zilizopita ngome kuu ya kikosi hicho iliyopo Wissam Farhat, iliteketezwa na Jeshi la Israel.
Raia wema wa kipalestina kwa sasa wapo Gaza kusini kwa muda na watarudi hapo baadae operesheni zitapomalizika.
magaidi wa Hamas walipewa amri wavue nguo za nje kwa sababu za kiusalama ikiwemo kuchukua tahadhari dhidi ya mabomu ya kujitoa muhanga yanayoshonwa kwenye nguo.
Chukua ndege hadi Egpty uende mpaka wa Rafah, uingie Gaza uombe kujiunga na Hamas, uombe kwendq mstari wa mbele, uje utuhadithie unyumbu wa IDF na ushujaa wa HamasPropaganda video hyo ww hamas uwakamate wengi hvyo kwa wakati mmoja hao wakitembea wengi sana 4 unafikiria km idf wanatembea makundi km nyumbu wakipgwa kombora wanakufa 50 km walivyouawa juzi 60 kwa wakati mmoja
Cc Faiza Fox na The Bossjeshi la Israel limefanikiwa kuwaweka chini ya ulinzi wanamgambo wa Hamas kikosi cha Shejaiya
Ni kikosi kikubwa ndani ya Hamas kilichohusika zaidi kwenye shambulio la October 7 kwa kurusha mamia ya roketi kuelekea Israel, Siku 3 zilizopita ngome kuu ya kikosi hicho iliyopo Wissam Farhat, iliteketezwa na Jeshi la Israel.
Raia wema wa kipalestina kwa sasa wapo Gaza kusini kwa muda na watarudi hapo baadae operesheni zitapomalizika.
magaidi wa Hamas walipewa amri wavue nguo za nje kwa sababu za kiusalama ikiwemo kuchukua tahadhari dhidi ya mabomu ya kujitoa muhanga yanayoshonwa kwenye nguo.
Hawa ni Hamasi kweli au wameteka na wazee kwenye mitaaa na majumba?🤣🤣🤣Mamia ya wapiganaji wa HAMAS wamejisalimisha kwa jeshi la Israel kaskazini mwa GAZA. Picha zimesambaa mitandao ya kijamii ikionesha wanajeshi wa Israel wakiwa wanawatembeza uchi wa mnyama huku wengine wakipakiwa kwenye malori kupelekwa upande wa Israel. View attachment 2836141View attachment 2836142View attachment 2836143View attachment 2836144View attachment 2836145