Gaza: Wanamgambo wa Hamas waanza kujisalimisha kwa jeshi la Israel, Hakuna tena kujificha nyuma ya wanawake na watoto, ni vita ya ana kwa ana

Propaganda video hyo ww hamas uwakamate wengi hvyo kwa wakati mmoja hao wakitembea wengi sana 4 unafikiria km idf wanatembea makundi km nyumbu wakipgwa kombora wanakufa 50 km walivyouawa juzi 60 kwa wakati mmoja
Wao hamas wamekanusha? Au wewe ndio msemaji wa hamas?
 
Hamas hawawezi kutembea kama nyumbu wale wanaume
Hamas kamatieni hapo hapo
 
Ungekuwa umeielewa usingeshabikia maji kujazwa. Waisrael wanapinga ila Rabbi wewe hapo kwa mfuga mbwa!
Npo na Allah hapa napiga nae story anasema alikimbia kuvuliwa nguo🤣angehojiwa na yy akiwa naked
 
Hivi mnamuelewa huyu shoga anachosema😂 au anatafuta basha kwa nguvu
Akili za madrasa zinawaza ushoga tu😁😁😁 tofauti na ushoga madrasa mnajifunzaga nn? Au kuangalia sinema
 
Kwisha habari yako hoja ya kukamatwa Hamas imeisha baada ya kumezeshwa uharo hayp mengine endelea kuchangamsha JF😂
🤣Au cyo mwenetu! Sogea sogea hapa msikiti Idrisa tuanze kumsikiliza yule sheikh anaelalamikiaga wayahudi kila ibada
 
Sisi watanzania ni watu wastaarabu tunaojali utu wa binadamu bila kujali yeye ni nani, hizi picha nyingine hazifai mleta uzi ziondoe au ficha sehem nyingine zisionekane Moderator
 
Raia wa kawaida wapo Gaza ya Kusini.

Eneo la Gaza ya kaskazini kwa sasa ni la operesheni za kivita, Hamas vs IDF.
Kati yao Kuna mwandishi wa habari maarufu tu,huyo bonge,halafu Hamas hawawezi jisalimisha,hiyo ni jela milele Israel au kifo,Hamas atapigana Hadi umuue
 
Kati yao Kuna mwandishi wa habari maarufu tu,huyo bonge,halafu Hamas hawawezi jisalimisha,hiyo ni jela milele Israel au kifo,Hamas atapigana Hadi umuue
Kwanza ni mjinga pekee anaeamini wapigania uhuru kama hamas wanaweza wakajirundika sehem moja hvyo kama dagaa wanaongoja kuvuliwa
Yaani hamas mmoja tu kumkamata unatakiwa ufanye kazi
Israhell anatapa tapa kwasasa atakae mkalia mbele kwake yeye anakua hamas anabeba
Mayahudi yamekua muflis wanaona kama wanapigana na majini
Walijua labda hamas wataishiwa vyakula waombe poo au waishiwe na silaha matokeo yake hesabu zao zimeenda kombo
Baada ya hiki kinachoendelea ghaza yaani mayahudi wataiogopa ghaza kama hawana akili nzuri
Na ghaza ndio litakua sehem ambalo wapalestine wanaishi kwa amani kuliko popote pale kwenye ardhi zao huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…