Gazeti la Amani: Wastara atolewa mahari

Gazeti la Amani: Wastara atolewa mahari

Hahahaa hivi kuolewa ni ishu ya maana sana kiasi cha mtu kuolewa kila siku
 
Ninamwona kwa mitazamo ifuatayo. Wanaomfahamu wanaweza kusema.

1. Akili yake iko chini ya kiwango cha kawaida.

2. Ni limbukeni wa maisha na uswahili wa kutupwa.

3. Mshirikina sana.

4. Shule hakuna.

5. Kwake maisha ni ilimradi leo.

6. Mpenda show na kujilinganisha na watu kwa ushindani wa kijinga.

7. Hana maadili.

Hakuna mtu mwenye tofauiti ya hapo anaweza kuwa na life style ya namna ile.
Asilimia 80 uliyoweka hapa siyo ya kweli, acha ku judge mtu msiyemfahamu kwa kuhisi hisi
 
uairon lady umeanza kupoteza ladha, kwanini usitumie jina lako kujiendeleza kiuchumi na kijamii, achana na mambo ya kuiga hayasaidiiii
 
Duh........
Hivi wastara hawezi kukaa akaendesha maisha yake mwenyewe hadi awe na bwana? This is too much, kuolewa na kuachika kila siku.....
 
Hahahaa hivi kuolewa ni ishu ya maana sana kiasi cha mtu kuolewa kila siku

Alivyofiwa na mumewe Sajuki (RIP), si alichukuliwaga na ndugu zake akaenda kuishi sijui arabuni? kama ana ndugu arabuni anashindwaje kuwaomba ndugu zake wampe hata mtaji auze hata urembo wa kiarabu tu.....
 
Wastara Atakuwa Anapatwa Na Hamu Ya Kujamiiana, So Anaogopa Kufanya Nje Ya Ndoa, Anachofanya Ni Kutengeneza Mazingira Ya Ndoa Kisha Anakata Kiu. Ikitokea Ndoa Ikaendelea Basi Ni Heri. Ikibuma Basi
 
inavyoonekana Wastara ana matatizo yanayowafanya wanaume wamkimbie ..
 
Ninamwona kwa mitazamo ifuatayo. Wanaomfahamu wanaweza kusema.

1. Akili yake iko chini ya kiwango cha kawaida.

2. Ni limbukeni wa maisha na uswahili wa kutupwa.

3. Mshirikina sana.

4. Shule hakuna.

5. Kwake maisha ni ilimradi leo.

6. Mpenda show na kujilinganisha na watu kwa ushindani wa kijinga.

7. Hana maadili.

Hakuna mtu mwenye tofauiti ya hapo anaweza kuwa na life style ya namna ile.
Naungana na wewe hapo kwenye Maadili, KAMA KWELI HII STORY NI YA KWELI, Kwanza kwa sharia ya dini yake hapaswi kuolewa mpaka baada ya mieiz 3 yani amalize eda ndioa aolewe, Na sitaki kuamini huyo anaemuoa hamjui kwa huo uharaka ni wazi alikuwa nae kitambo, na kama hakuwa nae kitambo basi asishangae talaka nyengine ikaja, mana kwa maelezo ya mtalaka wake ni wazi anatabia ya kutegemea makubwa au ana tamaa za maisha, NAMUONEA HURUMA SANA YANI HUU MKASA WAKE NA SADIFA UMEFANYA WENGI WALOKUWA WANAMSOMA KUWA NI MPOLEE NA MTU WAKUPATWA NA MITIHANI WAMEMGEUKA AMEBAKI NA WACHACHE WANAOMUAMINI NA KULIA LIA KWAKE,B Binafsi mimi sasa hivi simchukulii kama awali.
 
Hizi ndoa zake za sasa zinamdhalilisha zaidi na si kumuongezea sifa...kama ana kaufahamu kadogo kalikobaki kichwani mwake akatumie kujitathmini mwenendo wake mbele ya jamii loh[emoji35]
 
View attachment 341257

Baada ya ndoa yake na Mwenyekiti wa UVCCM na Mbunge wa Bunge la JMT ndugu Sadifa kuvunjika,sasa Wastara apata bwana mpya na amekwisha tolewa mahali

Kweli huyu dada ana nyota ya kuolewa,ikizima hii inawaka ile
Hizi nyota zitakuwa za kuku jike...jogoo yeyote anapanda,na hana wasi wasi.
 
Hao wazazi wanaochukua mahari ya wastara wapimwe akili, kwa maana haiwezekani wanapokea tu mahari kwa kila anaetaka kumuoa huyo mama, inawezekana ni kamchezo kakibiashara kwa kila anaetaka kumla denda wastara lazima na wao wapate kamisheni.
Labda ndo aina ya ubunifu wao wa kujipatia kipato,ni wajasiriamali,hawataki kupoteza fursa.
 
Mi nimecheka hilo gazeti, eti limeandika RAIS MAGUFULI ATOA RUHUSA NDOA KUFUNGWA DARAJA LA KIGAMBONI.

Nchi inavioja kuliko maelezo.
 
Back
Top Bottom