Gazeti la Amani: Wastara atolewa mahari

Gazeti la Amani: Wastara atolewa mahari

Ninamwona kwa mitazamo ifuatayo. Wanaomfahamu wanaweza kusema.

1. Akili yake iko chini ya kiwango cha kawaida.

2. Ni limbukeni wa maisha na uswahili wa kutupwa.

3. Mshirikina sana.

4. Shule hakuna.

5. Kwake maisha ni ilimradi leo.

6. Mpenda show na kujilinganisha na watu kwa ushindani wa kijinga.

7. Hana maadili.

Hakuna mtu mwenye tofauiti ya hapo anaweza kuwa na life style ya namna ile.
kwel
 
Huyu mwanamke hii style yake ya maisha sio nzur kabsa,cku akfa historia fupi ya marehem itasomekaje??

Anatia aibu family na walezi waliomlea
 
ANA NYOTA YA NDOA, HONGERA ZAKE KWA KUONGEZA LISTI
 
ataolewa mwezi ujao lakin nimeskia et mwezi wa kumi ataachika.
 
Kwani... Huyu Dada anaona maisha ni ndoa tu hawezi kaa bila ndoa... Shauri yake wenzake wanamuonja wanakimbia wala siyo waoaji..
 
Huyu mwanamke anaweza kuwa fyatu nadhani.....
Watu wakiwa na hela wanatest flavour, wanaamini labda zipo tofauti na wengine sasa akiweka ndani akigegeda tu mara kadhaa anagundua kumbe kama wengine tu wa Kibondemaji, ila wanakata ela ndefu mfano huyo mbunge alimgharamia 18milion za matibabu India, sasa sijui fungu la uhamasishaji lilikuwa ngapi
 
Akapimwe akili kwanza maana hii bandika bandua khaaa
 
sadifa hoyeee ngoja niwaze kwa sauti eti hao wanaokuja fasta kumuoa wanauwaga wanasubiria aachwe ama inakuwa ni michepuko yake hahahaha anakutana nao wapi na saangapi mpaka wanalipa mahari


easy coming easy going hihihiii
 
Back
Top Bottom