Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga

ni wazi kuwa mpinga Kristo yuko ndani ya u-Kristo. Kiti cha enzi cha ibilisi kiko pale Vatican!

Hayo muyasikiayo ni mwanzo tu wa kujifunua wazi wazi kwa ibilisi aitwaye shetani!

sent from servant of God

 
Waislam wanawahusu nini paka unataka kuwaingiza kwenye hayo mambo yenu mtuache bwana
 
Kuna utata wa hizi habari. Hawahawa wanasemwa wanafira watoto wa kiume. Leo wanasemwa ni mashoga. Unless wafiraji ni 2% iliyobakia. Lakini hiki chanzo kina uhakika gani hadi kikasema 98% ni mashoga? Walifanya sensa? AROON kwa dini yako tu, najua unajenga lengo hasi kupitia habari hii.
 
Dini ya kweli ni moyo nafsi yako madhehebu ni kukumbushana tu wala usimwangalie shehe, mchungaji nk hao ni binadamu kama wewe ukiwafata utapotea mtazame MUNGU wako pekee.
 
Sasa wanapumuliana wenyewe kwa wenyewe au wanakodi wazee wa kazi kutoka sehemu nyingine?
 
Wabaya ni watu jamani, hakuna dhehebu au dini ambapo kuna wasafi 100%. Kila sehemu kuna kila aina ya uchafu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…