permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Leo kaamua kuwasema hao mashoga katk dini ya kifirauni vp na wewe umo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo kaamua kuwasema hao mashoga katk dini ya kifirauni vp na wewe umo
Sent using Jamii Forums mobile app
Zanzibar na Mombasa nako ni makasisi?Viongozi wengi wa kikatoriki ni mashogo uko italy.......kuwa mkatoliki inahitaji akili uweke kwenye masaburi kwa kwel
ni wazi kuwa mpinga Kristo yuko ndani ya u-Kristo. Kiti cha enzi cha ibilisi kiko pale Vatican!
Hayo muyasikiayo ni mwanzo tu wa kujifunua wazi wazi kwa ibilisi aitwaye shetani!
sent from servant of God
Waislam wanawahusu nini paka unataka kuwaingiza kwenye hayo mambo yenu mtuache bwanaDaaaaaaah wasabato hivi hamnaga cha kuhubiri zaidi ya Catholic jaman... Mbona hamuwaongelei waislam (samahanini waislam), mbona hamuwaongelei waanglicana.. Daily kuanzia kwenye media hadi makanisani kwenu ni Catholic tu yaani Duuuuuuuuh
Sent using Jamii Forums mobile app
Bwabwa unatafuta wanaume naona
Umerogwa ww
Wewe ushaacha kugongwa?Bwabwa unatafuta wanaume naona
Acha watatuwane marinda wamezoweyahata basha ana basha wake! haya mambo we acha tu'.
Unaonesha umekasirishwa na habari alizozleta mkristo mwenzio ukarukia kuleta vikatuni vya chuki visivyo na maana .
Acheni hizo kila mmoja ana uhuru wa kuabudu akitakacho/anachoamini tusijipe mamlaka ya kuhukumu wengine.Kuendelea kukaa kwenye hili kanisa ni kukata tiket ya JEHANUMView attachment 900762
Laana ya Mungu iwe juu yako
Sasa wanapumuliana wenyewe kwa wenyewe au wanakodi wazee wa kazi kutoka sehemu nyingine?Gazeti la Italia ladai asilimia 98% ya makuhani huko Roma ni mashoga
“Kanisa Katoliki, ambalo linajitokeza kwenye kamba ya kashfa ya unyanyasaji wa kijinsia, inakabiliwa na aibu mpya baada ya gazeti la Italia kuchapisha uchunguzi juu ya kile kinachoitwa maisha mawili ya makuhani ambao ni mashoga huko Roma. Kwa kutumia kamera zilizofichwa, gazeti la Panorama la kila wiki, linalomilikiwa na waziri mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi, lilinasa makuhani wakitembelea klabu za mashoga na baa na kufanya ngono. . . . Diyosisi ya Roma ilipiga kelele kwenye gazeti la waziri mkuu, ikisema lengo lake lilikuwa “kuunda kashfa [na] kutetea makuhani wote”. Lakini pia iliwahimiza mapadre ambao ni mashoga kuacha ukuhani. . . . Kuhani mmoja, wa Kifaransa mwenye umri wa miaka 30 ambaye alijulikana kama Baba Paul, alihudhuria pati ambako kulikuwa na makahaba wawili wa kiume. . . . Panorama iliripoti. Picha kwenye tovuti yake ilidai kuwa inaonyesha kuhani akiwa amevaa kola yake ya kipadre lakini bila ya suruali yake akiwa na shoga ambaye alifanya kama mtego kwa gazeti hilo. Katika picha nyingine, makuhani walionyeshwa dhahiri wakimbusu mshiriki wa Panorama. Mmoja wa mapadre alinukuliwa na gazeti akiweka idadi ya makuhani ambao ni mashoga katika mji mkuu wa Italia kama asilimia “98%”. . . . MP wa zamani wa Italia na mwanaharakati wa mashoga, Franco Grillini, alisema: “Kama mashoga wote katika kanisa Katoliki walipaswa kuondoka mara moja – kitu ambacho tungependa sana – kinaweza kusababisha matatizo makubwa ya kazi.” —(The Guardian, Friday 23 July 2010, 19:20)
Mathayo 7:15,16“Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali. 16 Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti? 17 Vivyo hivyo kila mti mwema huzaa matunda mazuri; na mti mwovu huzaa matunda mabaya. 18 Mti mwema hauwezi kuzaa matunda mabaya, wala mti mwovu kuzaa matunda mazuri. 19 Kila mti usiozaa tunda zuri hukatwa ukatupwa motoni. 20 Ndiposa kwa matunda yao mtawatambua.”
MUNGU ATUNUSURU NA HIZI LAANA
![]()
YHWH IS GOOD
Nina wasiwasi we utakuwa sehemu ya hiyo 98%