Gazeti la Kenya laichafua Tanzania, Tanzania yalaani kitendo hicho.

Gazeti la Kenya laichafua Tanzania, Tanzania yalaani kitendo hicho.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617

Hivi kuna siku ambayo gazeti au chombo chochote cha habari cha Tanzania kimeandika vibaya kuhusu Kenya?. Lengo la Kenya kugeuza habari mbaya za Kenya na kusema zinahusu Tanzania ni lipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Stupid Newspaper. Lifungiwe kwa hiyo habari ya kutunga. Habari za Kenya wanazigeuza kuwa ni za Tanzania. Ushahidi huo huo aliiotoa naibu kamishna utumike kuwafungia.
 
Wanafik katika ubora wenu. Mnakumbuka mlivomchafu Muthoki Mumo, mwanahabari kutoka Kenya?
angela-quintal-inset.jpeg
Afadhali media za Kenya ambazo zipo huru na zikiandika habari ni kwa hiari yao na sio kwa shinikizo kutoka 'juu'. Niliwadharau sana wanahabari wa Tz, baada ya wao kuandika uongo na porojo kuhusu wanahabari wenzao. Sanasana Muthoki Mumo, ambaye alipigwa na 'wasiojulikana', wakajaribu kumbaka pia, yote kwasababu tu eti ni mkenya.
 

Hivi kuna siku ambayo gazeti au chombo chochote cha habari cha Tanzania kimeandika vibaya kuhusu Kenya?. Lengo la Kenya kugeuza habari mbaya za Kenya na kusema zinahusu Tanzania ni lipi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Unalialia nini? Huu ni uhuru wa kujieleza. Sisi hatuishi katika dictatorship kama nyinyi. Gazeti zetu zinaharibia hata wanasiasa wetu jina, uliza Ruto au Raila. Bora wanatangaza ukweli basi huwezi kuwapeleka kortini.
 

Hivi kuna siku ambayo gazeti au chombo chochote cha habari cha Tanzania kimeandika vibaya kuhusu Kenya?. Lengo la Kenya kugeuza habari mbaya za Kenya na kusema zinahusu Tanzania ni lipi?

Sent using Jamii Forums mobile app


Mambo yenu ya kifala ya kuona kukoselewa ni “habari mbaya” Kenya ni nchi inayoheshimu uhuru!

Hamna namna,tulieni iwaingie!

Ilisemwa ni serikali kwa kufanya makosa,wanachi have nothing to do with that shit!

Ukisemwa kwa unachokifanya unapaniki nini?

Unakuja kutuambia tuwaisaidie nini?
 
Unalialia nini? Huu ni uhuru wa kujieleza. Sisi hatuishi katika dictatorship kama nyinyi. Gazeti zetu zinaharibia hata wanasiasa wetu jina, uliza Ruto au Raila. Bora wanatangaza ukweli basi huwezi kuwapeleka kortini.
Huo ndio ujinga wenu ulipo, mnachotakiwa ni kuandika taarifa ya ukweli kwa kutumia vyanzo rasmi, mbona serikali yenu ilmuua Jacob Juma na yule Padre kule Kisumu baada ya kuisema serikali yenu, huo Uhuru wa kujieleza mnautoa wapi?. Mbona mlitaka kuandamana baada ya gazeti la "The Newyork time" lilipochapisha picha za wakenya waliouliwa ktk shambulio la kigaidi Naieobi?, mbona serikali yenu iliomba CNN kuiomba radhi Kenya baada ya kusema kwamba "Kenya is the hotbed of terrorism?.

Ukweli ni kwamba Kenya mnaumia sana mnapoona Tanzania inafanya vizuri na kusifika duniani, mtajaribu kutafuta kila njia ili kuishisha chini. UN yenyewe imesema Tanzania inafanya vizuri sana katika kupambana na "Drugs"UNODC hails Dar’s three years achievements on drug war
Ninyi hivyo vyanzo mnavyotumia mumevitoa wapi kama sio wivu na roho mbaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mambo yenu ya kifala ya kuona kukoselewa ni “habari mbaya” Kenya ni nchi inayoheshimu uhuru!

Hamna namna,tulieni iwaingie!

Ilisemwa ni serikali kwa kufanya makosa,wanachi have nothing to do with that shit!

Ukisemwa kwa unachokifanya unapaniki nini?

Unakuja kutuambia tuwaisaidie nini?
Wasenge ninyi mumejawa na wivu kwasababu nchi yenu imesambaratika kwasababu ya ukabila, mliposikia tumewazidi kwa idadi ya matajiri mumeanza kuchanganyikiwa mnajaribu kutumia kila njia kutupakazia, kama UN yenyewe wanaipongeza Tanzania, ninyi wasenge mnaoishi kwenye slums na kutegemea chakula cha msaada mnapata wapi hizo habari zenu kama sio wivu?UNODC hails Dar’s three years achievements on drug war

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya wanaumia sana wakiona jirani wao "hasa Tanzania" ikifanya vizuri, wamehamisha taarifa mbaya za Kenya kuhusu madawa ya kulevya na kuipachika Tanzania kwa makusudi

Sent using Jamii Forums mobile app

Unalia nini? Tz na Nigeria ndio kingpins kwa huu mchezo..
Tazama hii video ya "Binti Kiziwi" alikuwa maarufu enzi zile akiimba na Z Anto. Juzi tu kaachiliwa toka jela miaka 7 kule Uchina.
 
Huo ndio ujinga wenu ulipo, mnachotakiwa ni kuandika taarifa ya ukweli kwa kutumia vyanzo rasmi, mbona serikali yenu ilmuua Jacob Juma na yule Padre kule Kisumu baada ya kuisema serikali yenu, huo Uhuru wa kujieleza mnautoa wapi?. Mbona mlitaka kuandamana baada ya gazeti la "The Newyork time" lilipochapisha picha za wakenya waliouliwa ktk shambulio la kigaidi Naieobi?, mbona serikali yenu iliomba CNN kuiomba radhi Kenya baada ya kusema kwamba "Kenya is the hotbed of terrorism?.

Ukweli ni kwamba Kenya mnaumia sana mnapoona Tanzania inafanya vizuri na kusifika duniani, mtajaribu kutafuta kila njia ili kuishisha chini. UN yenyewe imesema Tanzania inafanya vizuri sana katika kupambana na "Drugs"UNODC hails Dar’s three years achievements on drug war
Ninyi hivyo vyanzo mnavyotumia mumevitoa wapi kama sio wivu na roho mbaya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuambia wanahabari huku kwetu wana uhuru wa kujieleza wewe unakimbia kumtaja Jacob Juma. Jacob Juma alikuwa mwanahabari?
 
Wasenge ninyi mumejawa na wivu kwasababu nchi yenu imesambaratika kwasababu ya ukabila, mliposikia tumewazidi kwa idadi ya matajiri mumeanza kuchanganyikiwa mnajaribu kutumia kila njia kutupakazia, kama UN yenyewe wanaipongeza Tanzania, ninyi wasenge mnaoishi kwenye slums na kutegemea chakula cha msaada mnapata wapi hizo habari zenu kama sio wivu?UNODC hails Dar’s three years achievements on drug war

Sent using Jamii Forums mobile app

Nchi gani imesambaratika?

Kenya au TZ?

Which country has a true functioning government?

Which country has a sophisticated economy?

Acha vichekesho wewe!

By the way,mimi Mtanzania na natoka Moshi Vijijini!

Siko hapa kutetea liserikali bovu kabisa la nchi yangu linaloongozwa na vichaa kabisa!

Tuna vya kujifunza Kenya!

Shut up your butt chicks!
 
Mwenye kuhusika kuhusu udhibiti za dawa za kulevya duniani ni Huyu hapa UNODC hails Dar’s three years achievements on drug war
Vipi Kenya watumie vyanzo visivyokua rasmi?

Sent using Jamii Forums mobile app

Tatizo hampendi kusoma mnataka wengine wasome ndo msimuliwe. Hiyo habari kuhusu madawa kwenye gazeti la The Eastafrican. Hawakusema kwamba Tanzania kuna ongezeko la utumiaji wa madawa ya kulevya. Walisema bandari za Tanzania zinatumika kama “hub” ya kusafirisha madawa kuelekea China na Ulaya. Yaani uchunguzi ulithibitisha madawa yanapitishwa kwenye bandari bubu za Tanzania. Hakuna sehemu waliosema kuhusu uuzwaji wa madawa ndani ya Tanzania. Kwahiyo hizo link zako usiziweke tena humu.
 
Nimekuambia wanahabari huku kwetu wana uhuru wa kujieleza wewe unakimbia kumtaja Jacob Juma. Jacob Juma alikuwa mwanahabari?
Uhuru upi huo, mbona mlilalakima CNN na "The new York Times" walipotumia uhuru wa kujieleza kuhusu Kenya?, punguzeni wivu kidogo.

Uhuru wa habari ni pale ambapo chombo cha habari kitatumia vyanzo rasmi vya kupata taarifa, sio kuandika habari kutokana na vile wanavyotaka, kuhusu Corona Virus, WHO ndio chanzo cha mwisho kabisa duniani, huwezi kwenda kinyume na WHO kuhusu Covid-19. Kuhusu dawa za kulevya, chanzo cha mwisho kabisa ni UNODC hails Dar’s three years achievements on drug war
Ninyi huo Uhuru wenu wa habari maana yake ni nini?, mbona serikali yenu inawakamata wanahabari wanaoandika kuhusu ugaidi na kuwatia ndani wakidai wanapingana na vita dhidi ya ugaidi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom