tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,972
- 20,221
Uhuru unamipaka na wewe Acha kushabikia usengeUnalialia nini? Huu ni uhuru wa kujieleza. Sisi hatuishi katika dictatorship kama nyinyi. Gazeti zetu zinaharibia hata wanasiasa wetu jina, uliza Ruto au Raila. Bora wanatangaza ukweli basi huwezi kuwapeleka kortini.
Sent using Jamii Forums mobile app