Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Mkuu kuna haja ya kuweka siasa pembeni kwenye mambo ya msingi hao wajaluo wamegeuza habari yao kua yetu kitu ambacho ni kizuri kwao ila kwetu ni janga maana sio ukweli unless wewe pia ni mkenya
Mjaluo kadanganya nini?
Toa jibu moja baada ya jingine!
Na wewe weka evidence ya ukweli wako against huo uongo wa Mjaluo!
Siasa gani nilizonazo?
Mimi siwezi kaa hapa natetea serikali,serikali sio nchi,ni gengenla watu wachache wapumbavu beyond measure na wanafanya maamuzi mabovu kila siku halafu nikae hapa nawatetea,for what hasa?
Nchi ni sisi wananchi wa kawaida na sio serikali!
Mimi ni Mtanzania,na sipo hapa kutetea maovu yanayofanywa na serikali ya Tanzania!
Kwa jinsi serikali ilivyo na tendency ya kusema vitu vya uongo often,nipo inclined kuamini anachosema Mjaluo labda mje na evidences za facts to make me believe otherwise!
Zaidi ya hapo,fvck the govt!