Gazeti la Kenya laichafua Tanzania, Tanzania yalaani kitendo hicho.

Gazeti la Kenya laichafua Tanzania, Tanzania yalaani kitendo hicho.

Mkuu kuna haja ya kuweka siasa pembeni kwenye mambo ya msingi hao wajaluo wamegeuza habari yao kua yetu kitu ambacho ni kizuri kwao ila kwetu ni janga maana sio ukweli unless wewe pia ni mkenya

Mjaluo kadanganya nini?

Toa jibu moja baada ya jingine!

Na wewe weka evidence ya ukweli wako against huo uongo wa Mjaluo!

Siasa gani nilizonazo?

Mimi siwezi kaa hapa natetea serikali,serikali sio nchi,ni gengenla watu wachache wapumbavu beyond measure na wanafanya maamuzi mabovu kila siku halafu nikae hapa nawatetea,for what hasa?

Nchi ni sisi wananchi wa kawaida na sio serikali!

Mimi ni Mtanzania,na sipo hapa kutetea maovu yanayofanywa na serikali ya Tanzania!

Kwa jinsi serikali ilivyo na tendency ya kusema vitu vya uongo often,nipo inclined kuamini anachosema Mjaluo labda mje na evidences za facts to make me believe otherwise!

Zaidi ya hapo,fvck the govt!
 
Unaongea kwa mamlaka namna hii as if JF ni yako!?

Acha masturbation wewe mamalia

Anaetakiwa kuongea kwa vitisho namna hii ni CEO wa JF ambae infact anaweza nifanyia hata ban

Kumbe ni wewe mavi kunuka!

Piss me off?Kwa maana you think Im a slouch?

Post yangu,andika yako!

Kama umechukia sana jump into the ocean,who gives a fvck about you?

Ji-squeeze halafu upizi!

Fakayaaah!
Kwan wewe "piss off" umeielewaje
 
Kwan wewe "piss off" umeielewaje

Wewe ndio wa kukaa na kunifundisha mimi Kingereza!?

I wish ungekua na hayo mamlaka ila,Im sorry you cant teach me nuttin’!

Wewe upo hapa kuitetea “serikali” mimi siko hapa kuitetea

Tuheshimiane kila mtu na uchaguzi wake!
 


Unalia nini? Tz na Nigeria ndio kingpins kwa huu mchezo..
Tazama hii video ya "Binti Kiziwi" alikuwa maarufu enzi zile akiimba na Z Anto. Juzi tu kaachiliwa toka jela miaka 7 kule Uchina.
We unaongelea story za nyuma huko,ina maana haujaona/soma mabadiriko yaliyofanywa na serikali ya awamu ya tano au ndio wivu tu?!

macson
 
Wewe ndio wa kukaa na kunifundisha mimi Kingereza!?

I wish ungekua na hayo mamlaka ila,Im sorry you cant teach me nuttin’!

Wewe upo hapa kuitetea “serikali” mimi siko hapa kuitetea

Tuheshimiane kila mtu na uchaguzi wake!
Aliyeleta kushade PSLE ndo aliyeharibu mambo

Done.
 
Aliyeleta kushade PSLE ndo aliyeharibu mambo

Done.

Weka tokeo lako la Form Four na la Form Six hapa,cheti original piga picha weka hapa!

Na mimi niweke changu halafu tuone nani aliburuza wenzie!

Eti multiple choice,nigga shut it,you are embarrassing yourself!
 
Weka tokeo lako la Form Four na la Form Six hapa,cheti original piga picha weka hapa!

Na mimi niweke changu halafu tuone nani aliburuza wenzie!

Eti multiple choice,nigga shut it,you are embarrassing yourself!
To what ends?
 
To what ends?

Unajifanya umeelimika sana kila mtu unamuona alifeli shule!

Elimu sio kipimo cha true capability ya mtu ila umechekesha sana kujifanya uliweza sana shule!

Huwenda uliweza,ila kama ulishawahi pata chini ya herufi A basi acha hizo biashara za mashauzi!
 
Nchi gani imesambaratika?

Kenya au TZ?

Which country has a true functioning government?

Which country has a sophisticated economy?

Acha vichekesho wewe!

By the way,mimi Mtanzania na natoka Moshi Vijijini!

Siko hapa kutetea liserikali bovu kabisa la nchi yangu linaloongozwa na vichaa kabisa!

Tuna vya kujifunza Kenya!

Shut up your butt chicks!
Wee ni saa mbovu asee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajifanya umeelimika sana kila mtu unamuona alifeli shule!

Elimu sio kipimo cha true capability ya mtu ila umechekesha sana kujifanya uliweza sana shule!

Huwenda uliweza,ila kama ulishawahi pata chini ya herufi A basi acha hizo biashara za mashauzi!
Kha yaani wewe utumie kiingereza halafu mimi kutumia ni kosa!!! Kama hutaki mimi nitumie,wewe pia usikitumie kwangu... Swali la kawaida tu nimekuuliza eti najikweza... Nimekupuuza rasmi... Hujakua bado.
 
Mkuu nina shaka mtandao huu una watanzania wachache sana kuliko wakenya! Angalia comment ya mtu wa kwanz alieye support kile kilichofanywa na magazeti ya Kenya Ana like kama Nane au kumi, wewe ulietoa hapa Fact za Uharamu wa Kenya katika habari zao na kuambatanisha na mifano hai una like moja tu.

Huu ndio uhuru wa habari tunaoutafuta na bila shaka Nchi yetu imevamiwa na hawa watu,(Wakenya) wapo wengi sana kule Twitter wengine ni wakosoaji wakubwa wa serikali ya Jpm, wanajitambulisha mpaka kwa bendera za Taifa lao, lakini Watanzania halisi bado wamelala.
Kongore kwa jitihada zako Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Akina kigogo na etc, na wanaweka bendera zao kabisa, watu wanawa follow, hawajui ni puppets

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya wanatumika na mabeberu kutuhafua.
 
Kha yaani wewe utumie kiingereza halafu mimi kutumia ni kosa!!! Kama hutaki mimi nitumie,wewe pia usikitumie kwangu... Swali la kawaida tu nimekuuliza eti najikweza... Nimekupuuza rasmi... Hujakua bado.

Kupuuza rasmi ni kuacha kumjibu uliempuuza!

Cha ajabu unajibu inavyotakiwa!

Kumbe I still call shots on ya!

Nikisena jump wewe unasema how high!

Mbwembwe za kusema “nimekupuuza” ni another nonsense maana unajibu uliempuuza supposedly!

Nimesema usitumie Kingereza wapi!?Nilikuambia huwezi nifundisha Kingereza!

Una matatizo gani mzee?
 
Back
Top Bottom