joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
- Thread starter
-
- #21
Nimekuelewa baada ya kujitambulisha, sina sababu ya kuendelea kujibishana na wewe.Nchi gani imesambaratika?
Kenya au TZ?
Which country has a true functioning government?
Which country has a sophisticated economy?
Acha vichekesho wewe!
By the way,mimi Mtanzania na natoka Moshi Vijijini!
Siko hapa kutetea liserikali bovu kabisa la nchi yangu linaloongozwa na vichaa kabisa!
Tuna vya kujifunza Kenya!
Shut up your butt chicks!
Si upeleke kichwa chako ukajifunze mwnyw unatuambia sisi ili iwejeNchi gani imesambaratika?
Kenya au TZ?
Which country has a true functioning government?
Which country has a sophisticated economy?
Acha vichekesho wewe!
By the way,mimi Mtanzania na natoka Moshi Vijijini!
Siko hapa kutetea liserikali bovu kabisa la nchi yangu linaloongozwa na vichaa kabisa!
Tuna vya kujifunza Kenya!
Shut up your butt chicks!
Wewe ndio hujaaelewa" muktadha" mzima wa mapambano dhidi ya madawa ya kulevya. Tanzania imesifiwa katika vita dhidi ya madawa ya kulevya, sio katika kupunguza matumizi ya madawa ya kulevya pekee, vita dhidi ya madawa ya kulevya vinahusishaTatizo hampendi kusoma mnataka wengine wasome ndo msimuliwe. Hiyo habari kuhusu madawa kwenye gazeti la The Eastafrican. Hawakusema kwamba Tanzania kuna ongezeko la utumiaji wa madawa ya kulevya. Walisema bandari za Tanzania zinatumika kama “hub” ya kusafirisha madawa kuelekea China na Ulaya. Yaani uchunguzi ulithibitisha madawa yanapitishwa kwenye bandari bubu za Tanzania. Hakuna sehemu waliosema kuhusu uuzwaji wa madawa ndani ya Tanzania. Kwahiyo hizo link zako usiziweke tena humu.
Kama ccm wanavyosumbuliwa na Chadema
Huyo ni mropokaji.Nimekuelewa baada ya kujitambulisha, sina sababu ya kuendelea kujibishana na wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ndio ujinga wenu ulipo, mnachotakiwa ni kuandika taarifa ya ukweli kwa kutumia vyanzo rasmi, mbona serikali yenu ilmuua Jacob Juma na yule Padre kule Kisumu baada ya kuisema serikali yenu, huo Uhuru wa kujieleza mnautoa wapi?. Mbona mlitaka kuandamana baada ya gazeti la "The Newyork time" lilipochapisha picha za wakenya waliouliwa ktk shambulio la kigaidi Naieobi?, mbona serikali yenu iliomba CNN kuiomba radhi Kenya baada ya kusema kwamba "Kenya is the hotbed of terrorism?.
Ukweli ni kwamba Kenya mnaumia sana mnapoona Tanzania inafanya vizuri na kusifika duniani, mtajaribu kutafuta kila njia ili kuishisha chini. UN yenyewe imesema Tanzania inafanya vizuri sana katika kupambana na "Drugs"UNODC hails Dar’s three years achievements on drug war
Ninyi hivyo vyanzo mnavyotumia mumevitoa wapi kama sio wivu na roho mbaya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo ni uongo. Serikali ya KE haijawahi kutia mwanahabari ndani kwa kuandika ukweli kuhusu jambo lolote. Korti zetu zitamuachilia tu hata akikamatwa. Leta evidenceUhuru upi huo, mbona mlilalakima CNN na "The new York Times" walipotumia uhuru wa kujieleza kuhusu Kenya?, punguzeni wivu kidogo.
Uhuru wa habari ni pale ambapo chombo cha habari kitatumia vyanzo rasmi vya kupata taarifa, sio kuandika habari kutokana na vile wanavyotaka, kuhusu Corona Virus, WHO ndio chanzo cha mwisho kabisa duniani, huwezi kwenda kinyume na WHO kuhusu Covid-19. Kuhusu dawa za kulevya, chanzo cha mwisho kabisa ni UNODC hails Dar’s three years achievements on drug war
Ninyi huo Uhuru wenu wa habari maana yake ni nini?, mbona serikali yenu inawakamata wanahabari wanaoandika kuhusu ugaidi na kuwatia ndani wakidai wanapingana na vita dhidi ya ugaidi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Si upeleke kichwa chako ukajifunze mwnyw unatuambia sisi ili iweje
Wewe ndio hujaaelewa" muktadha" mzima wa mapambano dhidi ya madawa ya kulevya. Tanzania imesifiwa katika vita dhidi ya madawa ya kulevya, sio katika kupunguza matumizi ya madawa ya kulevya pekee, vita dhidi ya madawa ya kulevya vinahusisha
1)Uagizaji
2)Usafirishaji(Uingizaji, upitishaji, utoaji)
3)Usambazaji
4)Utumiaji
Katika yote haya, Tanzania imefanikiwa sana zaidi ya 90% kama inavyosema UNODC hails Dar’s three years achievements on drug war
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekwambia mimi nipo serikalini nan... Sio lazima uonyeshe utoto wako everywhere.Wewe ndio hutaki kujifunza
Jisemee mwenyewe
Hajifunzi ni wewe na mavi yako kichwani
Huwezi zuia au kuamulia wengine wafuate mavi yako wewe kichwani kwako!
Najifunza na kuna kenge kibao naowajua wanajifunza
Wewe hujifunzi pamoja na wenzako,ni haki yenu,usituingilie
Nilichoandika hukukipenda ruka my post,soma unazozipenda!
Serikali imejaa mavichaa,na wewe unaongeza idadi,yall part of the problem!
Nimekuelewa baada ya kujitambulisha, sina sababu ya kuendelea kujibishana na wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aliyekwambia mimi nipo serikalini nan... Sio lazima uonyeshe utoto wako everywhere.
I feel quite pity for you... Wewe huwa una mawazo tu ndo maana unaibuka na post za namna hii....Let this be our last argument else I'll piss you off!!Nimesema wewe upo serikalini?
Maafaka use your brain!
Kweli wewe ni Drone Camera!
Likiongozi hovyo la serikali likisema Kenya ni wabaya na wewe ulivyo kiazi utasema “tawire” ni kweli!
Nonsense!
Una ubongo,think for yourself na sio some stupid political leader in an incompetent government ana think on your behalf!
I feel quite pity for you... Wewe huwa una mawazo tu ndo maana unaibuka na post za namna hii....Let this be our last argument else I'll piss you off!!
Mkuu kuna haja ya kuweka siasa pembeni kwenye mambo ya msingi hao wajaluo wamegeuza habari yao kua yetu kitu ambacho ni kizuri kwao ila kwetu ni janga maana sio ukweli unless wewe pia ni mkenyaMambo yenu ya kifala ya kuona kukoselewa ni “habari mbaya” Kenya ni nchi inayoheshimu uhuru!
Hamna namna,tulieni iwaingie!
Ilisemwa ni serikali kwa kufanya makosa,wanachi have nothing to do with that shit!
Ukisemwa kwa unachokifanya unapaniki nini?
Unakuja kutuambia tuwaisaidie nini?
Ni haya mapigo tunayowapiga ya kiuchumi ndio maana wana tupaka matope 😂😂
Unalia nini? Tz na Nigeria ndio kingpins kwa huu mchezo..
Tazama hii video ya "Binti Kiziwi" alikuwa maarufu enzi zile akiimba na Z Anto. Juzi tu kaachiliwa toka jela miaka 7 kule Uchina.
Hayo yalitokea zamani siyo awamu hii.HEROIN ROUTE EAST AFRICA
Huu mzigo Makonda akiupata anaupa ulinzi kabisa.UHURU BLOWS DRUG SHIPS,REMEMBER ,SEALING THE ROUTE !View attachment 1388036View attachment 1388037View attachment 1388038