Raisi si mwanasheria na si mtaalam wa sheria na kazi ya mikataba ni kwa ajili ya wanasheria na rais anategemea sana utaalam wa watu hao kulingana na viapo vyaoKama kweli Waheshimiwa Mkapa na Kikwete hawahusiki kwa moja kwa moja katika sakata hili la madini, Basi wahusishwe japo kwa uzembe (Negligence) iliyopelekea nchi kuingia katika mikataba yenye utata na hasara kubwa kwa nchi wakati wakiwa waajiriwa namba 1 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Uliza maswali yafike kumi ndio nikujibu kwa mpigo.Sasa huyo Lisu anangoja nini kwenda mahakamani?
hovyo sanaJamuhuri hii haijawahi kufungua kesi za MIHEMKO Kama hizi na WAKABAKI SALAMA, ifike Wakati kesi za MIHEMKO Kama hizi zikikosa kumtia mtu hatiani, gharama za kesi ziwe za mifukoni mwao LABDA TUTAHESHIMIANA
Wazalendo wa "kusitiri" wezi kisa walikuwa Marais?Tanzania ni takataka? wewe mwenzetu raia wa nchi gani maana hili ni tusi kwetu wazalendo, kama wewe ni mtanzania pia tafadhali tangulia dampo tutakukuta.
Mmmm,eti wapambanaji!Lama una nakala za kabla sijazaliwa basi wewe ni mstaafu,ndiyo maana unaomuda wa kusoma magazeti,wapambanaji hawana muda huo.
Je,wa sasa anayoyasema,kuagiza n.a. kutenda watakuja kulaumiwa washauri wake kisheria? Maana ni "haambiliki" n.a. anajua Katiba inampa jeuri hiyo.Raisi si mwanasheria na si mtaalam wa sheria na kazi ya mikataba ni kwa ajili ya wanasheria na rais anategemea sana utaalam wa watu hao kulingana na viapo vyao
Mkuu naona umevaa viatu vya Lizaboni[emoji23] [emoji23] [emoji23] na vimekutosha kweliMuhariri wa hilo gazeti ni muhaini...anafaa kunyongwa kabisa....
Halafu wenye mtindio wa ubongo wanatuhimiza tushikamane na rais eti anachukua hatua za kizalendo kulejesha Rasilimali zetu,sasa kama hataki hata tuwataje viongozi waliokuwepo madarakani wakati mikataba hii ya kinyonyaji inasainiwa kile kinachoitwa uzalendo kiko wapi?
Haina maana kuwa wewe unauchukia sana ufisadi,siku nyingine chagua maneno ya kuongea, usiwe kama nyani.
= kurejesha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
wenye Akili ndo tunakuelewa wale kijani wao kuandamana na kupongeza tuSizonje aliwahi kusema hatafukua makaburi. Lakini kila uchwao anayafukua. Ufukuaji huo unawahusu moja kwa moja namba 2, 3 na 4.
Unapofukua Makinikia na Escrow, unakuwa umewataja hao 2,3&4. Unaposimama na kuzuia wasitajwe unakuwa unajipinga mwenyewe.
Sizonje amua moja, ondoa Kinga tuwashtaki haki itendeke.